Watu watano tausi mmoja lazima mhusika awe mmoja, anywaya hkauna hata kavideo??Washtakiwa hao ambao wote ni raia wa China ni Jin Erhao (35), Chengfa Yang (49), Ren Yuangqing (55), Shu Nan (50), Chen Shinguang (45) na Gu Jugen (57) wote wakazi wa mtaa wa Sokoine, Ilala jijini Dar es Salaam.
Unaweza ukasikia hakimu anasema "watuhumiwa naomba mrudi nilichanganya ma file". πππWalidhani maamuzi yanaweza kubadilika kabla hawajapanda gari
Inatofautiana nini na Viwanja vya ulaya unapokamatwa kwa kukutwa na kobe au vinyonga? Kuna maswali yanatokana na makuzi yako huko porini ulikowalima manati ndege wote mbele yako. Yaani unaona ni mzaha tu!Ila Hapa bongo kuna mashtaka mengne ya ajabu yani mtu unamweka mahabusu kisa tausi kweli itahitajika miaka mngne 300 kufikia level ya wenzetu
HahahahahaaaUnaweza ukasikia hakimu anasema "watuhumiwa naomba mrudi nilichanganya ma file". [emoji23][emoji23][emoji23]
Jamhuri ingewataka ingewapata[emoji23][emoji28][emoji1787] wameona watoke baruti wasije kukamatwa kwa kesi nyingine