Baada ya kufutiwa kesi ya Uhujumu Uchumi, Raia wa China watoka Nduki mahakamani

Baada ya kufutiwa kesi ya Uhujumu Uchumi, Raia wa China watoka Nduki mahakamani

Ukiachiwa Huru mahakamani kukimbia ni jambo la kawaida, maana unaeza kuta wajomba washakuandalia shitaka lingine, wapo wanaoachiwa kabla hawajatoka viunga vya mahakama wanakamatwa tena.
 
Haya majina hata sijui nani wakike nani wakiume
 
Wakikumbuka mazingira ya mahakamani chini ya ulinzi na jela chini ya ulinzi, familia zao walizoziacha China, halafu ghafla mnaambiwa mko huru kukimbia ni lazima tena inawezekana safari ya kurudi China imeshaanza kwa miguu, ndege watapandia mbele ya safari.
weeeeeee
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787], aisee hatari, lkn
DPP ameamua kusafisha takataka na uchafu wote.

Hakuna ushahidi tupa kulee, zibaki kesi zenye ushahidi wa maaana tu.

Hapa tunajifunza kutoka kwa DPP mpya kuwa sio kila kesi lazima upeleke mahakamani, kuna kesi zingine ni za kipuuzi kabisa unapotezea watu muda wao buree!! unawaharibia watu maisha yao bureee!!
 
Ila Hapa bongo kuna mashtaka mengne ya ajabu yani mtu unamweka mahabusu kisa tausi kweli itahitajika miaka mngne 300 kufikia level ya wenzetu

Maajabu yetu hayo

Tena ukiwaambia hao wazalishe hao Tausi unaweza ukakuta wanaongeza kiwango kikubwa kuliko waliopo

Kuna kesi za kijinga sana kama Kigwa aliposema alieuwa nyoka ataona
 
Mama ameamua kuachana na kesi ambazo hazina msingi wowote..

Anafanya vizuri coz kulisha wafungwa ni gharama sana..
 
Bongo hata ukifuga kasuku ni uhujumu uchumi
 
Tanzania, muda si mrefu, itaondoka kwenye kundi la nchi zinazoongoza, watu wake kutokuwa na furaha.

Hujitaji watu wengi kuondoa furaha na ustawi wa watu, mtu mmoja tu, hasa akiwa kiongozi, anaweza kuharibu kila kitu.
 
Asante Mh. RAIS ZIKO KESI NYINGINE HUWA HAZINA MAANA KABISA,ZAIDI TU YA KUITIA HASARA SEREKALI YETU, THANK YOU IN ADVANCE,
*ALLAH AKUONGEZEE UMRI MAMA YETU.
Ameen mkuu umehitimisha vema kwenye mchango wako wa mada hii,welldone mkuu
 
Wakikumbuka mazingira ya mahakamani chini ya ulinzi na jela chini ya ulinzi, familia zao walizoziacha China, halafu ghafla mnaambiwa mko huru kukimbia ni lazima tena inawezekana safari ya kurudi China imeshaanza kwa miguu, ndege watapandia mbele ya safari.
Hao hata nchini hawalali uenda midaa wanakaribia airport kwa nduki,tiketi zitawakutia airport
 
Washtakiwa baada ya kuachiwa walitoka mahakamani huku wakikimbia na kupanda gari kisha kuondoka.
walifikiri ule mchezo wa kuachiwa na kukamatwa upya bado upo, kumbe uliondoka na muasisi wake !! poleni wachina ili muishi kwa adabu hapa Tanzania.
 
Back
Top Bottom