OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kweli unauza nchi kwa kupokea bodaboda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania hatuna TISS yenye meno ni kundi la kuonea wanyonge na kulinda watawala tu.Hivi haya yote yanayosemwa TISS inafanyia kazi?Kama kweli ni nchi inauzwa ?
Wanajua wataozea jela kwa ushenzi walioifanyia nchi tangu tupate uhuru. Nitafurahi nimuoene JK ametinga zile pamba za rangi ya chungwa.Duh,
Kwa uwekezaji huu ,kuna nini hicho ambacho WANAHoFU nacho ikiwa wataondolewa madarakani?
Wewe lazima ni kapuku.Endeleen kusema hvy tuu, nyie jifanyeni hamtaki kutoa kitu kwa wananchi, wapiga kura wenyw hawa vichwa maji bila kitu hakupi kura
Hivi hawa ccm mbona wana mashaka sana na uchaguzi unaokuja?Maandalizi ya kampeni za mwakani yameisha kamilika upande wa Mama na kilichobakia ni kipenga kipulizwe tu.
Inadaiwa Pikipiki zaidi ya 18,000 ni zawadi kutoka UAE na pia kuna Helcopta moja na Magari 400.
Inadaiwa hawa ndio wanao miliki Loliondo na pia wanataka kupewa eneo la Poli la Longido ili waunganishe na Loliondo, kumbuka Longido imepakana na Loliondo hivyo Mwarabu anataka apewa pia Longido ambapo kuna baadhi ya Vijiji wananchi watahamishwa mapema baada ya uchaguzi Mkuu.
Pikipiki zimetangulia zisaidie uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ila Magari na Helcopta inadaiwa ni kwa ajili ya mwakani, Helcopta italetwa mapema mwisho mwa mwaka huu au mapema mwakani ikiwa pia ni pamoja na Toyota Landcluser 400 ambazo pia zinaandaliwa na zitaanza kuingia mwisho wa mwaka huu na hizi ni special order kutoka kiwandani make zitakuja zikiwa na rangi ya kijani kutoka Japani na pia zinatakuwa na picha ya Raisi Samia.
Kampeni za mwakani huenda tukawa hatujawahi shujudia.
View attachment 3013272
View attachment 3013277
Pia soma: Lissu: Wasijifiche nyuma ya msikiti, waje hadharani tuyaseme matendo yao maovu
Kwahiyo wewe ulitlyeamua kuunga mkono ni shoga?Kula kwa urefu wa kamba yako! Unadhani upewe LC 300 moja safi zero kilometre! Huache kuunga mkono juhudi ww utakuwa gasho.
Baada ya Bashite kukupiga teke naona sasa akili zimeanza kurudiRaha sana awamu hii.. mwananchi Mimi nasubiri lifti za hayo..
Kazi iendeleee...
Sawa, kaeni hvy hvy mtajua 2025Wewe lazima ni kapuku.
Ili upige kura lazima upewe kitu??
Nonsense.
Kwahiyo umeona kuwa chadema ndiyo chama pekee ya upinzani hapa Tanganyika?Daah! chadema wajipange kisawasawa kampen zikianza
Mama 10 tenaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama yenu hauziki ndio maana PR ni kubwa!
Maderu hapo ndiyo anafurahia kabisa aongeze ma YutongHapa ni ku-double cross mfumo nakujizolea pesa
Chadema nyie mmetulia tuu hata hamgawi kanga kwa akina mama au nyie hamna pesa?
Raha sana awamu hii.. mwananchi Mimi nasubiri lifti za hayo..
Kazi iendeleee...
Hapiti na akilazimisha niko pale natembea uchi , nilisema kwa mwenda zake na nasema kama anitumavyo ,Maandalizi ya kampeni za mwakani yameisha kamilika upande wa Mama na kilichobakia ni kipenga kipulizwe tu.
Inadaiwa Pikipiki zaidi ya 18,000 ni zawadi kutoka UAE na pia kuna Helcopta moja na Magari 400.
Inadaiwa hawa ndio wanao miliki Loliondo na pia wanataka kupewa eneo la Poli la Longido ili waunganishe na Loliondo, kumbuka Longido imepakana na Loliondo hivyo Mwarabu anataka apewa pia Longido ambapo kuna baadhi ya Vijiji wananchi watahamishwa mapema baada ya uchaguzi Mkuu.
Pikipiki zimetangulia zisaidie uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ila Magari na Helcopta inadaiwa ni kwa ajili ya mwakani, Helcopta italetwa mapema mwisho mwa mwaka huu au mapema mwakani ikiwa pia ni pamoja na Toyota Landcluser 400 ambazo pia zinaandaliwa na zitaanza kuingia mwisho wa mwaka huu na hizi ni special order kutoka kiwandani make zitakuja zikiwa na rangi ya kijani kutoka Japani na pia zinatakuwa na picha ya Raisi Samia.
Kampeni za mwakani huenda tukawa hatujawahi shujudia.
View attachment 3013272
View attachment 3013277
Pia soma: Lissu: Wasijifiche nyuma ya msikiti, waje hadharani tuyaseme matendo yao maovu
Tena kwa gharama za kuuza rasilimali za nchi!!
Pikipiki moja ni 2500000 huyu Mama "Uza Uza" kaleta Pikipiki 18000 hizo fedha kazitoa wapi?!
Nasikia Elon Musk atachangia CHADEMADaah! chadema wajipange kisawasawa kampen zikianza
Huyu mama huyu!! Mpaka tutayakumbuka Maandiko matakatifu na habari za Wanawake kuangusha Mataifa duniani.
Tumekwisha
Duh sema ili kuwa jambo la muda tu, ni bonge moja ya kisiwa kile.Nasikia wameuza kisiwa Cha mafia