Baada ya kugundua ana mimba isiyo yangu, nipo katika wakati mgumu sana. Nishaurini

Baada ya kugundua ana mimba isiyo yangu, nipo katika wakati mgumu sana. Nishaurini

mimi nalea mtoto ambae hesabu zangu zinaonesha si wangu na niko kwenye ndoa isiyoisha migogoro. mtoto ana miaka minne sasa mke wangu kakataa kumtaja mhusika kalazimisha ni wangu na mtoto nikampa jina mimi wakati sikuwa nae kama miezi sita nikaibuka nikalala nae nikasafiri tena baada ya miezi sita na nusu akazaa!!

siamini tena mwanamke yoyote mzuri na mweupe!!lazima awe kahaba tu hata umpe nini!
Usitutishe chief,mke wangu mweupe[emoji23][emoji23].
 
Mkuu kwanza pole sanaaa lakin ktk hili ww ndo mwamuzi wa mwisho wengine tunashauri tu inshort dada sio mwaminifu hilo moja lakin je sisi sote ni waaminifu???? Inawezekana ww ni mwaminifu kwake a ndo ushajua kuwa yeye sio mwaminifu mbaya zaid kakusaliti halafu bado anataka akupe na mzigo ambao sio wako. Kama ww unajiamin ulikuwa mwaminifu kwake basi kuwa wa kwanza kurusha jiwe kama yesu alivyosema hivyo achana nae maana hiyo ni tabia na ameionesha kabla hata ya ndoa usitegemee akabadilika huyo ndio alivyo. Kama naww hukuwa mwaminifu basi nae ni binadam kateleza kaeni chini muanze upya. All in all ww ndo umetendewa ubaya sio sisi mwamuzi wa hili swala ni ww mwenyewe hivyo sikiliza moyo wako then uamue. Binafsi sio muumin sanaa wa kushauri mambo ya mahusiano ya watu au ndoa mm naamin kwenye BIBI NA BWANA WAKIGOMBANA SHIKA JEMBE KALIME waamuzi wa hatma yap ni wao wenyewe.
 
Mkuu kwanza pole sanaaa lakin ktk hili ww ndo mwamuzi wa mwisho wengine tunashauri tu inshort dada sio mwaminifu hilo moja lakin je sisi sote ni waaminifu???? Inawezekana ww ni mwaminifu kwake a ndo ushajua kuwa yeye sio mwaminifu mbaya zaid kakusaliti halafu bado anataka akupe na mzigo ambao sio wako. Kama ww unajiamin ulikuwa mwaminifu kwake basi kuwa wa kwanza kurusha jiwe kama yesu alivyosema hivyo achana nae maana hiyo ni tabia na ameionesha kabla hata ya ndoa usitegemee akabadilika huyo ndio alivyo. Kama naww hukuwa mwaminifu basi nae ni binadam kateleza kaeni chini muanze upya. All in all ww ndo umetendewa ubaya sio sisi mwamuzi wa hili swala ni ww mwenyewe hivyo sikiliza moyo wako then uamue. Binafsi sio muumin sanaa wa kushauri mambo ya mahusiano ya watu au ndoa mm naamin kwenye BIBI NA BWANA WAKIGOMBANA SHIKA JEMBE KALIME waamuzi wa hatma yap ni wao wenyewe.
[emoji4]
 
Wewe ulikuwa unakula kwa mpira, mwenzio akataka kuonja nyama!
Pole.

Mimi nilisalitiwa na mchepuko wangu. Nilimpenda na kumwamini sana. Alikuwa mwanachuo akisoma mkoa tofauti na ninaoishi.
Best yake ndiye aliyefanya nijue, na akanipa na details za huyo jamaa pamoja na phone namba yake.
Nilianza na huyo jamaa, akakubali kirahisi na kutoa maelezo yote niliyoyataka, nikiwa na hizo details, ndio nikampigia.
Alilia sana, akaomba sana. Akarudi mkoani kuja kubembeleza.
Lkn niligundua jambo moja ambalo kibinadamu lilimpa mazingira ya kuangukia huko. Na yule jamaa kwa kuwa alijua bint ana mtu, alitengeneza mazingira kupitia yule best wake ili mm nigundue nimuache ili yeye aendelee naye kwa uhuru zaidi.
Japo bint alinisaliti, lkn haikjwa ile "falling in love" kwa huyo jamaa.
Jamaa hakuwa akipewa "air-time" ya kutosha ndio akaamua kufanya hivyo.
Baada ya kuona yale mazingira kweli yana weza kumuangusha mtu, nikamsamehe!
Na hasa ukichukulia ni "mchepuko".
Lakini kumwamini kulipungua, na yeye alijua hivyo.
Niliendelea naye hadi nilipoona sasa anafaa apate mume, nikamshauri juu ya hilo, tukawadiscuss wote waliojitokeza kumtaka, tukaona anayefaa, tukawaozesha, sasa ni familia ya watoto wawili. Na nimekuwa rafiki na ndugu wa familia.
Na hajawahi nisaliti tena, japo nami alinipa ofa ya kuendelea "kumla au kulana" kwa miaka mitano ya mwanzo ya ndoa yake!

Wakati mwingine mtu hujikuta amesaliti kutokana na mazingira na sio dhamira!
Daaaah..hapa tutaoa kweli?.mamammamam watu hawana huruma kwa kweli.
 
download (2).jpg
soma hiki kitabu. then utamsahau mazima huyo binti.
 
Kuna watu wabaya sana humu duniani
 
kufanya DNA au partenity test kibongo bongo ninkujiumuza kabla ya DNA test unaenda kuapa mahakamani kwamba hata ikitokea mtoto sio wangu nitaendelea kumuhudumia sasa ndo nini. Kaka sepa kimya kimya kuliko kuja kuanza kupokelea mshahara nusu. Nusu inapigwa panga na mahakama inaenda kwa huyo malaya na mtoto wake na mbaya zaidi analihonga lijamaa lake na status anapost unaliona jinsi linavyooneemeka na nusu ya mshahara wako afu mtoto sio wakoo. Sepa kimya kimya. Kila mtu akashinde mechi zake kuliko kuhitakia makubwa
Sio kwel mkuu, kwa ninavyoelewa ukienda kupima DNA utaendelea kulea mtoto mpaka pale majibu ya vipimo yatakavyotoka maana huwa yanachukua approx 3 months. Baada ya hapo Kama mtoto ni wako utaendelea kulea na kama sio wako una achana na majukumu yasiyokuhusu.
 
3 months?
Sio kwel mkuu, kwa ninavyoelewa ukienda kupima DNA utaendelea kulea mtoto mpaka pale majibu ya vipimo yatakavyotoka maana huwa yanachukua approx 3 months. Baada ya hapo Kama mtoto ni wako utaendelea kulea na kama sio wako una achana na majukumu yasiyokuhusu.
 
Huyo mwanamke mjinga sana anatakiwa akanywe aache huo UPUMBAVU, shenzi kabisa.

Kabla sijakushauri hebu nipe namba yake kwanza nimpe makavu yake, maana kaniudhi sana.
Aiseeee !!

Sent
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji56]

Watu wangesoma hichi kisa basi wasingemtetea shilole
mbwa kabisa wale watu!! wadada wa kibongo wa kileo wamejawa na mapepo ya ngono na uchafu! jamaa Uchebe akifungua moyo akamwaga ya Shishi Baby mnampa Shishi 24 hrs ahame nchi!!

Kuna mambo matatu lazima Shishi kafanya akadundwa mbaya na kufukuzwa na Uchebe

1. ukahaba , huu lazima kaufanya sana kupitia mawasiliano ya simu yake na mitoko isiyoeleweka kwenda kukutana na mahawara anarudishwa home kalewa ana harufu mbaya na wanaume washamchafua na maji machafu na jamaa kagundua kavumilia jamaa wamemfuata Shishi hadi home wamchukue wakamle Uchebe uvumilivu umemshinda kapiga na kukata funua!!kitu kizuri sasa wale masharo wote waliokuwa wanamchatisha na kumchukua kwenda kumla Shishi baby wataingia mitini hawamtaki tena kaachwa na mumewe unakuwa mzigo nani anataka kutunza mizigo ulimpie demu kila kitu kodi ya nyumba avae ale alewe nani mjinga wa hivyo!! Shishi atashangaa mno masharo wote waliomvuruga akiwa amestirika kwa mumewe wakimchatisha na kumla kwa fujo hivi sasa wote upendo umeyeyuka na line za simu zao watabadili!!

2. Shishi baby lazima kamtukana sana Uchebe na kumkejeli na kumdhalilisha kila mara simu zinaingia anaongea ovyo ovyo bila heshma na wanaume wengine bila kujali sababu tu kaolewa na wakati mwingine simu na sms zinaingia hadi mida mibaya yuko na mumewe wala hajali anachat hadi saa 8 usiku! Uchebe akigomba kuwa demu hana respect Shishi baby anamuwakia mbaya anamwambia hivi, mimi Shishi ni bab kubwa ni star, jina kubwa bongo usinibabaishe, kwanza wakiambiwa wanaume watoke nawewe utatoka mwanaume suruali wewe wala mimi si saizi yako na wenzio kina nani nani anawataja majina , wananikuna zaidi we huna maajabu

3. Matumizi mabaya ya pesa ni utamaduni wanao wanawake wengi kuiba hela za waume zao kwa mkupuo au kidogo kidogo na kupeleka makwao kusaidia ndugu zao na wanawake walivyo wajinga hujifanya wajanja na kufanya siri miamala ya pesa huko makwao kumbe mume akiongea kwa simu au kukutana na ndugu wa mke huwa wanamwambia na kumshukuru kupokea pesa wakijua mkwe wao ndio humpa mkewe pesa awatumie kumbe mke huwa anaiba pesa za mumewe kuwakwamua huko kwao basi kwa ishu ya Shishi keshazoea kumuibia Uchebe daily jamaa anauchuna tu sasa mara paaaaaap unaweza kukuta Uchebe alificha kihela chake muhimu sana cha mawazo sasa Shishi baby kapagawa na ukata kijijini kwao akapita nacho na kupeleka kusaidia ndugu zake kule Nzega hilo likamuuma sana Uchebe akamwambia Shishi Baby kwetu kijijini kuna shida kuliko kwenu pale mjini tu mabasi ya Mwanza yanapita, we hunijui na hujui zamani nilishawahi kuzipiga kavu kavu na Mohamed Ally King of the Ring!!

nimesema matatu ila nyongeza ni muhimu ni utamaduni wetu

4. Shishi alichokiona kwa Uchebe kabla hajaolewa kakitafuta hajakipata , jinsi Uchebe alivyokuwa kabla sio sasa tena, mapenzi kwao wote yameshuka sababu mpunga umekata hali ngumu sana wabongo tunapitia ila Shishi ataka kupendwa vile vile siku zote na huku ameanza kumnyima papuchi Uchebe, ila Uchebe ananyimwa eti anakomolewa ila Uchebe anaona Shishi wanamla huko nje! malaya wana tabu sana kukaa nao! jamaa nae kasema ngoja niiharibu hii sura yako kwanza unayojivunia halafu peleka umalaya wako huko instagram and fb basi jamaa akapiga teke moja usoni akasema tokaaaaaaaa!! mwanamke utakuwa wewe kahaba mkubwa!!!

nimeelezea top reasons za Single Mothers kupitia hizo sindano nne za moto!!
 
mbwa kabisa wale watu!! wadada wa kibongo wa kileo wamejawa na mapepo ya ngono na uchafu! jamaa Uchebe akifungua moyo akamwaga ya Shishi Baby mnampa Shishi 24 hrs ahame nchi!!

Kuna mambo matatu lazima Shishi kafanya akadundwa mbaya na kufukuzwa na Uchebe

1. ukahaba , huu lazima kaufanya sana kupitia mawasiliano ya simu yake na mitoko isiyoeleweka kwenda kukutana na mahawara anarudishwa home kalewa ana harufu mbaya na wanaume washamchafua na maji machafu na jamaa kagundua kavumilia jamaa wamemfuata Shishi hadi home wamchukue wakamle Uchebe uvumilivu umemshinda kapiga na kukata funua!!kitu kizuri sasa wale masharo wote waliokuwa wanamchatisha na kumchukua kwenda kumla Shishi baby wataingia mitini hawamtaki tena kaachwa na mumewe unakuwa mzigo nani anataka kutunza mizigo ulimpie demu kila kitu kodi ya nyumba avae ale alewe nani mjinga wa hivyo!! Shishi atashangaa mno masharo wote waliomvuruga akiwa amestirika kwa mumewe wakimchatisha na kumla kwa fujo hivi sasa wote upendo umeyeyuka na line za simu zao watabadili!!

2. Shishi baby lazima kamtukana sana Uchebe na kumkejeli na kumdhalilisha kila mara simu zinaingia anaongea ovyo ovyo bila heshma na wanaume wengine bila kujali sababu tu kaolewa na wakati mwingine simu na sms zinaingia hadi mida mibaya yuko na mumewe wala hajali anachat hadi saa 8 usiku! Uchebe akigomba kuwa demu hana respect Shishi baby anamuwakia mbaya anamwambia hivi, mimi Shishi ni bab kubwa ni star, jina kubwa bongo usinibabaishe, kwanza wakiambiwa wanaume watoke nawewe utatoka mwanaume suruali wewe wala mimi si saizi yako na wenzio kina nani nani anawataja majina , wananikuna zaidi we huna maajabu

3. Matumizi mabaya ya pesa ni utamaduni wanao wanawake wengi kuiba hela za waume zao kwa mkupuo au kidogo kidogo na kupeleka makwao kusaidia ndugu zao na wanawake walivyo wajinga hujifanya wajanja na kufanya siri miamala ya pesa huko makwao kumbe mume akiongea kwa simu au kukutana na ndugu wa mke huwa wanamwambia na kumshukuru kupokea pesa wakijua mkwe wao ndio humpa mkewe pesa awatumie kumbe mke huwa anaiba pesa za mumewe kuwakwamua huko kwao basi kwa ishu ya Shishi keshazoea kumuibia Uchebe daily jamaa anauchuna tu sasa mara paaaaaap unaweza kukuta Uchebe alificha kihela chake muhimu sana cha mawazo sasa Shishi baby kapagawa na ukata kijijini kwao akapita nacho na kupeleka kusaidia ndugu zake kule Nzega hilo likamuuma sana Uchebe akamwambia Shishi Baby kwetu kijijini kuna shida kuliko kwenu pale mjini tu mabasi ya Mwanza yanapita, we hunijui na hujui zamani nilishawahi kuzipiga kavu kavu na Mohamed Ally King of the Ring!!

nimesema matatu ila nyongeza ni muhimu ni utamaduni wetu

4. Shishi alichokiona kwa Uchebe kabla hajaolewa kakitafuta hajakipata , jinsi Uchebe alivyokuwa kabla sio sasa tena, mapenzi kwao wote yameshuka sababu mpunga umekata hali ngumu sana wabongo tunapitia ila Shishi ataka kupendwa vile vile siku zote na huku ameanza kumnyima papuchi Uchebe, ila Uchebe ananyimwa eti anakomolewa ila Uchebe anaona Shishi wanamla huko nje! malaya wana tabu sana kukaa nao! jamaa nae kasema ngoja niiharibu hii sura yako kwanza unayojivunia halafu peleka umalaya wako huko instagram and fb basi jamaa akapiga teke moja usoni akasema tokaaaaaaaa!! mwanamke utakuwa wewe kahaba mkubwa!!!

nimeelezea top reasons za Single Mothers kupitia hizo sindano nne za moto!!
genius
 
mimi nalea mtoto ambae hesabu zangu zinaonesha si wangu na niko kwenye ndoa isiyoisha migogoro. mtoto ana miaka minne sasa mke wangu kakataa kumtaja mhusika kalazimisha ni wangu na mtoto nikampa jina mimi wakati sikuwa nae kama miezi sita nikaibuka nikalala nae nikasafiri tena baada ya miezi sita na nusu akazaa!!

wanawake wa kibongo ni wauwaji ni makahaba asilimia 99%! wakiwa nje ya ndoa wanazitafuta ndoa kwa nguvu watamfanyia mwanaume kila kitu ili waolewe, ukimuoa atafanya kila kitu akuzalie mtoto mmoja wa kwanza akishakuingiza kingi sasa uchafu wake unaanza atatafuta mahawara dunia nzima sababu anajua hata akibeba mimba atamsukumia mumewe! na hata ukishtukia mimba si yako ukamuacha tayari ushazaa nae kopi yako ile huwezi kukubali mwanao alale njaa utatuma tu hela za kula mwanao nayeye kahaba atapitia humo humo kwa hela za mtoto na mizinga haitaisha mwanao ataumwa magonjwa yote duniani kila siku!!!

wasichana wa kibongo 99% wameangukia kwenye ukahaba ni wachafu mno wamegeuka mashetani kwa kwasasa ! pole sana vijana hakuna mke tena wote wamebaki makahaba watupu!!

ukiwa nae na ukitaka uishi kwa amani usimfuatilie kabisa! japo saa zingine unaweza kushangaa japo mkeo humfuatilii ila cm yako ikaita mwanaume mwingine akakuuliza kama mkeo yuko karibu!!wasichana wa kibongo wamekuwa wachafu mno kila mmoja kazi kutafuta mabwana hata awe nae wanaona sifa kuwa na wanaume wengi na kujificha mtu wake asijue!

mimi ningekuwa naweza wasichana wabongo wote ningeondoa uchafu huu nikaleta mademu wa kizungu tu , mtoto mmoja mzuri wa kizungu nilikuwaga nae mwaka mzima bongo alikuwa poa sana anakuzimia kweli si haya manyang’au tuko nayo huku bongo!! mabinti wa kizungu ni waaminifu 100%

alichonifanya mke wangu niliempa kila kitu sisahau na naishi na uchungu mwingi, siamini tena demu yoyote bongo mzuri na mweupe!!lazima awe kahaba tu hata umpe nini!
Nakazia
 
Back
Top Bottom