Baada ya kugundua ana mimba isiyo yangu, nipo katika wakati mgumu sana. Nishaurini

Baada ya kugundua ana mimba isiyo yangu, nipo katika wakati mgumu sana. Nishaurini

Pole sana mkuu, yalishanikuta nikalea kwa taabu sana hali haikuwa nzuri kipindi hicho, mtoto mpaka kafika miaka minne nkagundua si wangu kutokana na mambo fulani niliyohisi na binti akakubali kweli mtoto si wangu.

Niliumia sana lakini hakukuwa na jinsi, muhimu endelea na maisha yako muhimu umejifunza. Wanawake muda fulani si wa kuwaamini sana 100% .
Nilimpiga chini huyo dem nikaendelea na mishe zangu ingawa niliumia sana ila nikapiga moyo konde.

Ila nilijawa sana na kisasi
Pole sana asee!
 
Habari zenu wakuu, Jf ni sehem nayoiheshimu na imejaa watu wazima wenye hekima na wanaojitambua natumaini mtanipa ushauri mzuri na wenye hekima.

Nipo kwenye mahusiano na binti 24 years old, Tumekuwa na mahusiano kwa mda wa miaka miwili na mda wote nilikuwa nikijitahidi sana kumlinda na mimba sababu yupo kwao mipango yetu ilikuwa ni kuzalia kwenye ndoa hivyo mda wote tuliokuwa tunakutana nilizingatia sana kinga ili kumlinda na mimba.

Sasa shida imekuja tokea miezi miwili iliyopita alikuwa kabadilika sana yani hata kukutana na mimi ni hadi aamue kwa kujiskia yeye tofauti na zamani, akija kwangu simu ataiacha kwao sababu hatuishi mbali na simu nilimnunulia mimi, hadi nikajiuliza simu imeficha nini lakini niliendelea kuwa mvumilivu.

Mara ya mwisho nikakutana nae kimwili siku moja baada ya kumaliza period na siku ya 27 ya mzunguko wa hedhi ndio ikawa mara ya mwisho kusex nae na mara zote nilitumia condom kwa usahihi na wala haikupasuka wala kupata damage yoyote,na hata mda wa kusex alikuwa yupo yupo tu yani najihisi nipo peke yangu kitandani.

Sasa baada ya kupita siku karibia 36 bila kuona siku zake, ikabidi nimuulize vipi kuna tatizo, akawa kakaa kimya tu anasema hajielewi labda ni mabadiliko tu, kwa vile nilishaona ile sio hali ya kawaida na haijawahi kutokea ikanibidi niende pharmacy nikanunua Baby check, kwa ajili ya kupima mkojo wake ili nijue kama ana ujauzito

Jioni nikampa nikamuekekeza acheki mkojo wa asubuhi akiamka, ilpofika asubuhi akachek na matokeo yakawa ni haya [emoji116], akanitumia hiyo picha whatsap

View attachment 1500024

Alama mbili zikatiki kuwa ni mjamzito, ikanibidi nionane nae jioni ile tujadiliane na maswali nliyokuwa nayo kichwani inawezekana vipi mtu usex kwa kutumia condom kwa usahihi na tena kwenye siku ambazo sio za kushika mimba na mtu apate mimba?

Nilivyoonana nae ikanibidi nimbane kisawa sawa kwa tecknic nazozijua mimi ili aseme ukweli kama aliteleza, baada ya kumbana huku akilia kuwa mimba ni yangu nikamwambia pia kama bado utaniaminisha mimba ni yangu mimi sina tatizo mtoto akizaliwa tutaenda kucheki DNA, kuthibitisha kuwa ni wangu ili nilee damu yangu, Akasema hataki kuzaa hivyo tuitoe, mimi nikasimamia msimamo wangu kuwa damu yetu haipotei kama mimba ni yangu ajiamini kwanini aogope hadi atake kuitoa na uwezo wa kulea upo.

Ikabidi aongee ukweli kuwa alinisaliti na mtu mwenyewe aliyechepuka nae haijui hata background yake hata kazi anazofanya hazijui, niliishiwa nguvu pale nilipo mwambia alete simu yake ampigie huyo jamaa kuwa ana mimba yake

Baada ya kumpigia jamaa akakubali na kusema hana tatizo , nilibaki na mshangao na machozi yalinitoka, na kama isingekuwa kutumia condom basi ile mimba ilikuwa niikubali kwa mikono miwili na ukiangalia kwetu kutoa mimba ni haram na kosa kubwa wakati uwezo wa kulea upo

Pale ndipo nilipoamini kuwa wanawake ni watu wakuishi nao kwa akili sana, kukuletea mtoto asie wako hawaoni kazi, naamini kuna watu wengi mnalea watoto ambao sio wenu, mimi nimeponyea kwenye tundu la sindano

nichukue fursa hii kuwashauri vijana ambao hamko kwenye ndoa acheni kuruka na wanawake kavu kavu, hasa hawa mabinti under 28, hawafai hata kidogo ni wachache sana wametulia ila wengi ni mafia, kukuleta mimba isiyo yako huwa hawaoni tabu

Ni heri mtumie condom tu ili kuepukana na huu mchezo tunaochezewa wanaume, ifike mahali tuseme basi kulea watoto ambao sio wetu tumechoka

Vile vile tokea hili tukio litokee nipo katika wakati mgumu sana, mawazo hayaniishi sababu kutendewa unyama kama huu na mtu niliyempenda inaumiza sana, na huyu mwanamke kila kukicha ananiomba msamaha akilia, hivi nawezaje kusamehe usaliti kama huu? ndio maana kwenye heding nikaomba ushauri wenu namna ya kuanza maisha mapya yenye amani nimechanganyikiwa kwa kweli

Hao ndio wanawake bwana...full kutegana. Hatari mzee kamwe usidhani upo weye peke kwenye papuchi. Wee gegeda enjoy basi tafuta pisi nyingine uburudike nayo
 
Ilinichukua muda sana siwezi jua nj muda gani hasa ila kuna muda unasahau halafu ukikumbuka unaumia tena.

Hata leo nilivyosoma kisa chako na mimi nikakumbuka ndo maana nikaandika. Nadhani mambo kama haya tutaishi nayo milele sidhani kama yanaweza sahaulika
pole kaka
 
Haya mambo yasikie kwa jirani tu kwa kweli...
Yanaumiza sana kuliko kawaida na usiombe yakukute. Na kinachouma zaidi ni pale unapojaribu kusahau lakini inashindikana. Unakumbuka zile good moments zote,unakumbuka visenti vyako ulivyotumia ili bibie afurahi....
Moyo unauma, unajawa na visasi,lakini unaamua kuvumilia labda ipo siku yatakwisha na kusahau.

Wanawake wanaumiza sana,sio wa kupenda mazima. Tupende kiasi ikibidi.
 
Pole sana mkuu, yalishanikuta nikalea kwa taabu sana hali haikuwa nzuri kipindi hicho, mtoto mpaka kafika miaka minne nkagundua si wangu kutokana na mambo fulani niliyohisi na binti akakubali kweli mtoto si wangu.

Niliumia sana lakini hakukuwa na jinsi, muhimu endelea na maisha yako muhimu umejifunza. Wanawake muda fulani si wa kuwaamini sana 100% .
Pole Sana miaka 4 una gharimika
 
mimi nalea mtoto ambae hesabu zangu zinaonesha si wangu na niko kwenye ndoa isiyoisha migogoro. mtoto ana miaka minne sasa mke wangu kakataa kumtaja mhusika kalazimisha ni wangu na mtoto nikampa jina mimi wakati sikuwa nae kama miezi sita nikaibuka nikalala nae nikasafiri tena baada ya miezi sita na nusu akazaa!!

siamini tena mwanamke yoyote mzuri na mweupe!!lazima awe kahaba tu hata umpe nini!
Pole Sana mtoto alizaliwa na miezi 6.5 toka umkune mama yake, na hakuwa njiti.

Mungu akufukishe mbinguni una moyo wa huruma
 
Mpenzi wako kachezea ukuni Hadi kanasa mimba, haitoshi alitaka kukubambikiza mtoto.

Sasa, ushauri wangu achana nae mrudie Mungu kwa kufanya ibada atakupa faraja ya kweli na utampata mwingine.

Huyo achana nae...Kama huna kifua cha kiume Kuna siku utamjeruhi na kuishia gerezani
 
Ngumu kumeza hiyo.
Ongera kwa kuujua ukweli mapema. Huna hatia na hutalaumiwa kwani ww si muhusika. Hiyo pia rihastle ktk mahusiano hivyo sahau na chagua binti mwingine aliye sahihi kwako.
 
Habari zenu wakuu, Jf ni sehem nayoiheshimu na imejaa watu wazima wenye hekima na wanaojitambua natumaini mtanipa ushauri mzuri na wenye hekima.

Nipo kwenye mahusiano na binti 24 years old, Tumekuwa na mahusiano kwa mda wa miaka miwili na mda wote nilikuwa nikijitahidi sana kumlinda na mimba sababu yupo kwao mipango yetu ilikuwa ni kuzalia kwenye ndoa hivyo mda wote tuliokuwa tunakutana nilizingatia sana kinga ili kumlinda na mimba.

Sasa shida imekuja tokea miezi miwili iliyopita alikuwa kabadilika sana yani hata kukutana na mimi ni hadi aamue kwa kujiskia yeye tofauti na zamani, akija kwangu simu ataiacha kwao sababu hatuishi mbali na simu nilimnunulia mimi, hadi nikajiuliza simu imeficha nini lakini niliendelea kuwa mvumilivu.

Mara ya mwisho nikakutana nae kimwili siku moja baada ya kumaliza period na siku ya 27 ya mzunguko wa hedhi ndio ikawa mara ya mwisho kusex nae na mara zote nilitumia condom kwa usahihi na wala haikupasuka wala kupata damage yoyote,na hata mda wa kusex alikuwa yupo yupo tu yani najihisi nipo peke yangu kitandani.

Sasa baada ya kupita siku karibia 36 bila kuona siku zake, ikabidi nimuulize vipi kuna tatizo, akawa kakaa kimya tu anasema hajielewi labda ni mabadiliko tu, kwa vile nilishaona ile sio hali ya kawaida na haijawahi kutokea ikanibidi niende pharmacy nikanunua Baby check, kwa ajili ya kupima mkojo wake ili nijue kama ana ujauzito

Jioni nikampa nikamuekekeza acheki mkojo wa asubuhi akiamka, ilpofika asubuhi akachek na matokeo yakawa ni haya [emoji116], akanitumia hiyo picha whatsap

View attachment 1500024

Alama mbili zikatiki kuwa ni mjamzito, ikanibidi nionane nae jioni ile tujadiliane na maswali nliyokuwa nayo kichwani inawezekana vipi mtu usex kwa kutumia condom kwa usahihi na tena kwenye siku ambazo sio za kushika mimba na mtu apate mimba?

Nilivyoonana nae ikanibidi nimbane kisawa sawa kwa tecknic nazozijua mimi ili aseme ukweli kama aliteleza, baada ya kumbana huku akilia kuwa mimba ni yangu nikamwambia pia kama bado utaniaminisha mimba ni yangu mimi sina tatizo mtoto akizaliwa tutaenda kucheki DNA, kuthibitisha kuwa ni wangu ili nilee damu yangu, Akasema hataki kuzaa hivyo tuitoe, mimi nikasimamia msimamo wangu kuwa damu yetu haipotei kama mimba ni yangu ajiamini kwanini aogope hadi atake kuitoa na uwezo wa kulea upo.

Ikabidi aongee ukweli kuwa alinisaliti na mtu mwenyewe aliyechepuka nae haijui hata background yake hata kazi anazofanya hazijui, niliishiwa nguvu pale nilipo mwambia alete simu yake ampigie huyo jamaa kuwa ana mimba yake

Baada ya kumpigia jamaa akakubali na kusema hana tatizo , nilibaki na mshangao na machozi yalinitoka, na kama isingekuwa kutumia condom basi ile mimba ilikuwa niikubali kwa mikono miwili na ukiangalia kwetu kutoa mimba ni haram na kosa kubwa wakati uwezo wa kulea upo

Pale ndipo nilipoamini kuwa wanawake ni watu wakuishi nao kwa akili sana, kukuletea mtoto asie wako hawaoni kazi, naamini kuna watu wengi mnalea watoto ambao sio wenu, mimi nimeponyea kwenye tundu la sindano

nichukue fursa hii kuwashauri vijana ambao hamko kwenye ndoa acheni kuruka na wanawake kavu kavu, hasa hawa mabinti under 28, hawafai hata kidogo ni wachache sana wametulia ila wengi ni mafia, kukuleta mimba isiyo yako huwa hawaoni tabu

Ni heri mtumie condom tu ili kuepukana na huu mchezo tunaochezewa wanaume, ifike mahali tuseme basi kulea watoto ambao sio wetu tumechoka

Vile vile tokea hili tukio litokee nipo katika wakati mgumu sana, mawazo hayaniishi sababu kutendewa unyama kama huu na mtu niliyempenda inaumiza sana, na huyu mwanamke kila kukicha ananiomba msamaha akilia, hivi nawezaje kusamehe usaliti kama huu? ndio maana kwenye heding nikaomba ushauri wenu namna ya kuanza maisha mapya yenye amani nimechanganyikiwa kwa kweli
Mkuu acha umalaya, OA!! Ulipomwingilia binti wa watu ukiyaamsha mapenzi. Sasa unashangaa nini kufanywa na wengine? Hata hui ushauri wako kwa vijana eti watumie kondomu ni dalili kwamba huna maadili kabisa. Ni kizazi kinachovuruga mabinti kwa kisingizio cha "nitamuoa."

Pia hai wazazi wake hawana ufahamu wa malezi kabisa, iweje wamtoe binti yao kwa mhuni tu wa mtaani ageuzwe kahaba? Ujinga wa hali ya juu sana, wazazi wa kidijitali. Tubadilike wakuu, uasherati ni ishara ya malezi ya hovyo na matusi kwa walezi wetu.
 
Back
Top Bottom