SISIS
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 10,892
- 3,112
htrii
Every woman is a crazy dog...
Mkiambiwa msioe mnagoma..
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Every woman is a crazy dog...
Mkiambiwa msioe mnagoma..
#YNWA
Hii Inachoma Kama Pasi, Yaani Ni Shida Hizi NdoaSio "yanaweza kuwakuta" yamewakuta wengi sana, wengi hawajui kuwa wanalea watoto wa wanaume wenzao.
Mbaya zaidi wake wao wanajua ila wanawacheck tu kwa dharau huku wakiwakamua kwa kuwalea watoto wa vidume wengine
hatari sanaHii Inachoma Kama Pasi, Yaani Ni Shida Hizi Ndoa
We nae tangu lini kundi la damu la baba na la mtoto lina fanana?Mimi silaha yangu ni DNA! Hata kama sikutumia sijui nini.
Bora uniambie mapemaaa sio amezaliwa mtoto nimelealea halafu niamue kwenda kupima nikute vitu havimatch hata makundi ya damu hatuendani!!!!
Hiyo kufanana umesema wewe.Mimi nimesema kuendana kibaiologia.Sasa unakuta mzazi nina group A homozygous(AA) au nina AB halafu mtoto ana blood group O,kaitolea wapi?We nae tangu lini kundi la damu la baba na la mtoto lina fanana?
Somehow kuna ufunuo kwenye blood group japo ni kwa kiasi kidogo sana so far mtoto hawezi potea kabisa kwenye vinasabaWe nae tangu lini kundi la damu la baba na la mtoto lina fanana?
Kampime vinasaba acha ujinga wa kulea damu ambayo siyo yako
Hapana asee mtoto nitalea, hana kosa so long as, kisheria ni wa kwangu, adhabu ni kwa mama yake.
Hahaa jamaa ana moyo wa plastick
Mwanamke ni mtihani alioandikiwa mwanaume! Ukishinda hila zake umefaulu.
TrueMwanamke ni mtihani alioandikiwa mwanaume! Ukishinda hila zake umefaulu.
Mmmmh poleeeeh sana, Jah awe nawe zaidi, kuwa mpole na ujue still life goez on.
Yeaaaaaaaahsure
Adhabu ni kwa mama yake lakini mateso unaanza kuyapata wewe hasa unapoishi mtaan wakiijua siri kwamba ulichapia na mtoto ndo huyuuuuu. Yaan wanawake kile kikao na shetani walifanya maamuzi mengi na yakaanza utekelezaji pale pale.Hapana asee mtoto nitalea, hana kosa so long as, kisheria ni wa kwangu, adhabu ni kwa mama yake.
Hahaa jamaa ana moyo wa plastick