Baada ya kugundua Google chrome inakusanya taarifa zangu nyingi niliwahama, ni mwaka wa pili sasa natumia Brave Browser.

Baada ya kugundua Google chrome inakusanya taarifa zangu nyingi niliwahama, ni mwaka wa pili sasa natumia Brave Browser.

Yani google ni majasusi waliokubuhu, Sina tatizo kwa google kutunza baadhi ya taarifa zangu kama cintacts zangu lakini kuna muda wanavuka mipaka kuchungulia hata visivyowahusu.

  • Google chrome ukiitumia historia yako ya kila kitu ulichosechi kitaonekana,
  • Google chrome inatunza passwords za mitandao yote unayoingia
  • Google chrome wanauza taarifa zangu binafsi kwa makampuni ya matangazo (location, jinsia, umri, elimu, vitu navyosechi, n.k)
  • Google chrome ina matangazo kibao,
  • n.k.
Kiufupi mtu akipata namba yako ya simu akaingia kwenye email yako anaweza kupata passwords zako zote na kujua unachofanya mtandaoni

Kwa sasa nimehamia brave browser na wala sijutii kuchukua uaamuzi huu
  • Hali ya usiri ni kubwa na kunifanya niwe huru
  • Matangazo ni machache sana, mengi yanablokiwa
  • speed ya kuperuzi ni kubwa kuzidi chrome
  • inatumia bando kidogo kuzidi chrome
The best browser
 
Ndugu.. Google wakufanyie espionage kwa kipi hasa.. una kipi ww cha kufatiliwa taarifa zako na goggle?

Yale yale ya wapuuzi wachache wanonunua IPHONE wakisema ina security ya data zao.. unajiuliza kwa kipi hasa walichokuwa nacho mpk wazingatie security.. utakuta videos za snapchat.. tu.
 
Hii ni Kama indirect free kick.
Mnaitwa wateja( User ) na hamnunui kitu bali unauzwa Mana Jf ipo connected na Google.
Asanten Feeders wa Chat GPt.
 
Yani google ni majasusi waliokubuhu, Sina tatizo kwa google kutunza baadhi ya taarifa zangu kama cintacts zangu lakini kuna muda wanavuka mipaka kuchungulia hata visivyowahusu.

  • Google chrome ukiitumia historia yako ya kila kitu ulichosechi kitaonekana,
  • Google chrome inatunza passwords za mitandao yote unayoingia
  • Google chrome wanauza taarifa zangu binafsi kwa makampuni ya matangazo (location, jinsia, umri, elimu, vitu navyosechi, n.k)
  • Google chrome ina matangazo kibao,
  • n.k.
Kiufupi mtu akipata namba yako ya simu akaingia kwenye email yako anaweza kupata passwords zako zote na kujua unachofanya mtandaoni

Kwa sasa nimehamia brave browser na wala sijutii kuchukua uaamuzi huu
  • Hali ya usiri ni kubwa na kunifanya niwe huru
  • Matangazo ni machache sana, mengi yanablokiwa
  • speed ya kuperuzi ni kubwa kuzidi chrome
  • inatumia bando kidogo kuzidi chrome
Hapa solution achana na internet ili upate usalama unaouhitaji. Kuhamia browser nyingine ni KUOSHA MAJI KWA KUTUMIA MAJI 🤣🤣🤣
 
Ndugu.. Google wakufanyie espionage kwa kipi hasa.. una kipi ww cha kufatiliwa taarifa zako na goggle?

Yale yale ya wapuuzi wachache wanonunua IPHONE wakisema ina security ya data zao.. unajiuliza kwa kipi hasa walichokuwa nacho mpk wazingatie security.. utakuta videos za snapchat.. tu.
Hakuna mtu anaetaka kuchunguzwa, google wanarahisisha hata watu wengine wakifanikiwa kuingia kwenye email wanapata taarifa nyingi zinazorekodiwa na google.
 
Unaweza sema nahamia bidhaa hii.kumbe boss ni yule yule.ni mfano tu.
 

Attachments

  • images (59).jpeg
    images (59).jpeg
    79.3 KB · Views: 5
Yani google ni majasusi waliokubuhu, Sina tatizo kwa google kutunza baadhi ya taarifa zangu kama cintacts zangu lakini kuna muda wanavuka mipaka kuchungulia hata visivyowahusu.

  • Google chrome ukiitumia historia yako ya kila kitu ulichosechi kitaonekana,
  • Google chrome inatunza passwords za mitandao yote unayoingia
  • Google chrome wanauza taarifa zangu binafsi kwa makampuni ya matangazo (location, jinsia, umri, elimu, vitu navyosechi, n.k)
  • Google chrome ina matangazo kibao,
  • n.k.
Kiufupi mtu akipata namba yako ya simu akaingia kwenye email yako anaweza kupata passwords zako zote na kujua unachofanya mtandaoni

Kwa sasa nimehamia brave browser na wala sijutii kuchukua uaamuzi huu
  • Hali ya usiri ni kubwa na kunifanya niwe huru
  • Matangazo ni machache sana, mengi yanablokiwa
  • speed ya kuperuzi ni kubwa kuzidi chrome
  • inatumia bando kidogo kuzidi chrome
Taarifa zako zina umuhimu gani hata uhangaike kuzificha?
 
Taarifa zako zina umuhimu gani hata uhangaike kuzificha?
Hio chrome ukiitumia mtu anaweza kujua hata user name yako ya jamiiforums akipata access ya email yako.

Kumbuka mapolisi wakiweza kupata access ya laini yako tu wanaweza kureset passwrd ya email yako, hapo mchezo umeisha wanaweza kuziona username na apassword zote za mitandao tofauti tofauti.
 
Hio chrome ukiitumia mtu anaweza kujua hata user name yako ya jamiiforums akipata access ya email yako.

Kumbuka mapolisi wakiweza kupata access ya laini yako tu wanaweza kureset passwrd ya email yako, hapo mchezo umeisha wanaweza kuziona username na apassword zote za mitandao tofauti tofauti.
Kivipi wanapata access ya laini yangu ?

NA ni kivipi wakiwa na namba za simu watapata email yangu,naona umeirudia sana ebu ielezee kidogo mkuu
 
Hio chrome ukiitumia mtu anaweza kujua hata user name yako ya jamiiforums akipata access ya email yako.

Kumbuka mapolisi wakiweza kupata access ya laini yako tu wanaweza kureset passwrd ya email yako, hapo mchezo umeisha wanaweza kuziona username na apassword zote za mitandao tofauti tofauti.

Mosi ukitumia tu internet hayo unayo yaogopa yapo wazi... hujui chochote kuhusu Brave wanafanya nini

Pili unanini cha kuficha hadi uogope Google kuhifadhi data zako?

Tatu unaongea kirahisi sana kwamba mtu aki pata tu access ya email au sim card yako basi kapata password zako zote..... sio kweli, depends na settings zako

Nne mambo mengi uliotaja kuhusu Google kuhifadhi ni hiari yako na sio lazima

Mwisho matangazo ndio kipato chao so get used
 
Yani google ni majasusi waliokubuhu, Sina tatizo kwa google kutunza baadhi ya taarifa zangu kama cintacts zangu lakini kuna muda wanavuka mipaka kuchungulia hata visivyowahusu.

  • Google chrome ukiitumia historia yako ya kila kitu ulichosechi kitaonekana,
  • Google chrome inatunza passwords za mitandao yote unayoingia
  • Google chrome wanauza taarifa zangu binafsi kwa makampuni ya matangazo (location, jinsia, umri, elimu, vitu navyosechi, n.k)
  • Google chrome ina matangazo kibao,
  • n.k.

Chukulia mfano hata humu Jamiiforums hatupendi kufichua identity zetu, kuna watu hii nchi wanaweza kutumia vyeo vibaya (corruption9 kurenew laini yako ili kureset password ya email yako, wakizama ndani ya email wanaona passwords, usernames zako za mitandao kama jamiiforums na facebook, vitu unavyosechi, n.k.

Kiufupi mtu akipata namba yako ya simu akaingia kwenye email yako anaweza kupata passwords zako zote na kujua unachofanya mtandaoni

Kwa sasa nimehamia brave browser na wala sijutii kuchukua uaamuzi huu
  • Hali ya usiri ni kubwa na kunifanya niwe huru
  • Matangazo ni machache sana, mengi yanablokiwa
  • speed ya kuperuzi ni kubwa kuzidi chrome
  • inatumia bando kidogo kuzidi chrome

As long as you didn't design the browser, I bet you, you are not safe
 
Back
Top Bottom