Baada ya kuhangaika miaka karibu 10 hatimaye Facebook wanataka kuniajiri

Baada ya kuhangaika miaka karibu 10 hatimaye Facebook wanataka kuniajiri

Hongera sana mkuu. Ila wakisema tuma kwenye acc hii toka nduki usiangalie hata nyuma.


Shukrani. Najua kuna matapeli ila this is real. Nimeconfirm maana kuna baadhi ya watu wanafanya kazi huko nawafahamu na wameconfirm kuwa huyu jamaa ni mwenzao. Google hilo jina mwenye utaona linkedin/twitter
 
Shukrani. Najua kuna matapeli ila this is real. Nimeconfirm maana kuna baadhi ya watu wanafanya kazi huko nawafahamu na wameconfirm kuwa huyu jamaa ni mwenzao. Google hilo jina mwenye utaona linkedin/twitter
Kapige kazi mkuu.
 
Hongera sana mkuu,ukienda huko kapige debe tanzania waweze kupata acces ya kuingiza hela kupitia video za faceboom kiurahisi...mana watu wanapiga views balaa.
 
Hongera sana mkuu,ukienda huko kapige debe tanzania waweze kupata acces ya kuingiza hela kupitia video za faceboom kiurahisi...mana watu wanapiga views balaa.
 
Hongera sana mkuu, ni process zipi umetumia kupata hiyo position/ uliapply??
Email
Wanatumia xyz@ fb.com au xyz@Facebook.com
Huwa wana-search LinkedIn kutafuta engineers. Unaweza kuapply ila mara nyingi wanakutumia email wao. Au kama kuna mtu wa ndani akupe shavu la recommendation.
 
Huwa wana-search LinkedIn kutafuta engineers. Unaweza kuapply ila mara nyingi wanakutumia email wao. Au kama kuna mtu wa ndani akupe shavu la recommendation.
Ooh ok..! So kazi utakuwa unafanya remotely au utaenda stste huko physically??
 
Ni mimi nataka nikutapeli na nimetumia hilo jina na picha ya jamaa wa facebook ili uniamini.
 
Hongera mkuu, Sema uyo jamaa kenye avatar amakaa kitapeli tapeli.
 
Kwann usianze kazi kwanza? Mapema hivi ushaanza kuanika email adress za mabosi wako wapya?
 
Back
Top Bottom