Baada ya kujenga madarasa, Rais Samia sasa ahamie kwa walimu

Baada ya kujenga madarasa, Rais Samia sasa ahamie kwa walimu

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Sote tunafahamu kuwa katika mwaka wa kwanza wa uongozi wa Rais Samia Suluhu, Serikali imefanikiwa kujenga vyumba vipya vya madarasa 15,000 kwa ajili ya wanafunzi wa Sekondari pamoja na shule za msingi (shule shikizi).

Mwaka uliokwisha (2022) Serikali imejenga vyumba vya madarasa 8,000 kwa ajili ya wanafunzi wa Sekondari wanaoanza masomo Januari 2023. Ikumbukwe wanafunzi hawa ndio zao la kwanza la wanafunzi walioanza darasa la kwanza kwa elimu bure kwa ruhusa ile ya mwaka 2016 na hii inakuja na ziada ya wanafunzi 400,000.

Kazi kubwa imefanyika kwenye ujenzi wa MIUNDOMBINU lakini ni wazi kuwa "next move" inapaswa kuwa UWEKEZAJI na kutoa AJIRA kwa HARAKA na UKUBWA kwa walimu kuendana na ongezeko la wanafunzi wanaofikia 1,073,941 mwaka huu 2023.

Serikali imeajiri walimu wa sekondari 3,000 mwaka 2021 na wengine 4,800 mwaka 2022 hii inatupa jumla ya 7,800. Tukijumumlisha na idadi ya Walimu waliokuwepo mwaka 2020 (Kwa mujibu wa BEST) ambao ni 84,614 ni wazi kuwa sasa kuna walimu takribani 92,414 kwenye shule za Sekondari 2023.

"KWA NAMBA HIZI NI WAZI KUWA BAADA YA KUJENGA MADARASA SASA NI ZAMU YA RAIS SAMIA KUWEKA KIPAUMBELE KATIKA KUBORESHA ELIMU (UBORA WA ELIMU) NA HILI SASA LINAHITAJI WALIMU BORA WA KUTOSHA, IDADI YA VITABU NA VITENDEA KAZI PAMOJA NA VITI NA MADAWATI ILI SASA MATUNDA YA UWEKEZAJI ULIOFANYIKA YAANZE KUONEKANA"

Madarasa.jpeg
 
Sote tunafahamu kuwa katika mwaka wa kwanza wa uongozi wa Rais Samia Suluhu, Serikali imefanikiwa kujenga vyumba vipya vya madarasa 15,000 kwa ajili ya wanafunzi wa Sekondari pamoja na shule za msingi (shule shikizi).

Mwaka uliokwisha (2022) Serikali imejenga vyumba vya madarasa 8,000 kwa ajili ya wanafunzi wa Sekondari wanaoanza masomo Januari 2023. Ikumbukwe wanafunzi hawa ndio zao la kwanza la wanafunzi walioanza darasa la kwanza kwa elimu bure kwa ruhusa ile ya mwaka 2016 na hii inakuja na ziada ya wanafunzi 400,000.

Kazi kubwa imefanyika kwenye ujenzi wa MIUNDOMBINU lakini ni wazi kuwa "next move" inapaswa kuwa UWEKEZAJI na kutoa AJIRA kwa HARAKA na UKUBWA kwa walimu kuendana na ongezeko la wanafunzi wanaofikia 1,073,941 mwaka huu 2023.

Serikali imeajiri walimu wa sekondari 3,000 mwaka 2021 na wengine 4,800 mwaka 2022 hii inatupa jumla ya 7,800. Tukijumumlisha na idadi ya Walimu waliokuwepo mwaka 2020 (Kwa mujibu wa BEST) ambao ni 84,614 ni wazi kuwa sasa kuna walimu takribani 92,414 kwenye shule za Sekondari 2023.

"KWA NAMBA HIZI NI WAZI KUWA BAADA YA KUJENGA MADARASA SASA NI ZAMU YA RAIS SAMIA KUWEKA KIPAUMBELE KATIKA KUBORESHA ELIMU (UBORA WA ELIMU) NA HILI SASA LINAHITAJI WALIMU BORA WA KUTOSHA, IDADI YA VITABU NA VITENDEA KAZI PAMOJA NA VITI NA MADAWATI ILI SASA MATUNDA YA UWEKEZAJI ULIOFANYIKA YAANZE KUONEKANA"

View attachment 2470517
Ukiachana na Hayo madarasa 8000 Kuna Shule mpya za kata zimejengwa na zinaanza kutumika mwaka huu.
 
Ukiachana na Hayo madarasa 8000 Kuna Shule mpya za kata zimejengwa na zinaanza kutumika mwaka huu.
Yes, hizi zikipata Walimu wa kutosha wenye ubora baada ya muda mfupi tutapiga hatua sana
 
Tuna taifa la ajabu sana! Kaliba ya ualimu inayopaswa kuheshimiwa mno kutokana na dhima yake kubwa na muhimu ndio kaliba isiyopewa umuhimu na serikali
Kuna bodi za wafamasia, wakandarasi, madaktari nknk zinazothibitisha na kudhibiti ubora lakini hakuna bodi ya walimu
 
Tuna taifa la ajabu sana! Kaliba ya ualimu inayopaswa kuheshimiwa mno kutokana na dhima yake kubwa na muhimu ndio kaliba isiyopewa umuhimu na serikali
Kuna bodi za wafamasia, wakandarasi, madaktari nknk zinazothibitisha na kudhibiti ubora lakini hakuna bodi ya walimu
 
Tuna taifa la ajabu sana! Kaliba ya ualimu inayopaswa kuheshimiwa mno kutokana na dhima yake kubwa na muhimu ndio kaliba isiyopewa umuhimu na serikali
Kuna bodi za wafamasia, wakandarasi, madaktari nknk zinazothibitisha na kudhibiti ubora lakini hakuna bodi ya walimu
Better late than never, tumechelewa lakini tunaweza kuanza sasa kuipa taaluma ya Ualimu hadhi yake stahiki.
 
Tuna taifa la ajabu sana! Kaliba ya ualimu inayopaswa kuheshimiwa mno kutokana na dhima yake kubwa na muhimu ndio kaliba isiyopewa umuhimu na serikali
Kuna bodi za wafamasia, wakandarasi, madaktari nknk zinazothibitisha na kudhibiti ubora lakini hakuna bodi ya walimu
Walimu wenyewe wanapenda kuteseka nikama mwanamke wa kikurya kuchapwa mambata na mme wake kwake ni sherehe, kwakua hawajitambui acha wateseke tu na fraha yangu nikuona wameteseka wakachapika ndipo watadai haki zao
 
Tuna taifa la ajabu sana! Kaliba ya ualimu inayopaswa kuheshimiwa mno kutokana na dhima yake kubwa na muhimu ndio kaliba isiyopewa umuhimu na serikali
Kuna bodi za wafamasia, wakandarasi, madaktari nknk zinazothibitisha na kudhibiti ubora lakini hakuna bodi ya walimu

Hii nayo ni point, hakuna bodi inayo maintain standard yao zaid wakishatoka chip ni straigh darasani
 
Takribani 2100 wa msingi wataajiriwa na 3900 wa sayansi watapewa tenda.

Sosi: ya kuaminika.
 
Back
Top Bottom