Na sisi wasukuma tuliopo Unguja na Pemba mbona unatutenga!.Wasukuma ndio kabila kubwa kuliko makabila yote Tanzania, sio kwa kanda ya ziwa tu.
Mikoa yote ya Kanda ya ziwa wasukuma wapo, Mara, Shinyanga, Tabora, Simiyu, Mwanza, Geita, pande za Kigoma na Katavi.
Wewe kama ulidungwa mimba na msukuma alafu ukaachwa ukae utulie hivyohivyo.Karne ya 21! Hii inasaidia nini?
Vipi mchango wao kwenye pato la Taifa?Nenda Arusha uone watu wanavyofsnya shughuri za kiuchumi.
Richa ya kuwa na madini Mengi,Kanda ya ziwa imejaa ujinga,na umaskini.
Unaweza ukaamini njia ya kwenda mgodini Kakola,kutokea Kahama,kuanzia njiapanda ya manzese,ni vumbi tupu.
Kahama Kuna mgodi wa buzwagi,nilitegemea Kahama iwe kama Arusha,lakini wapi!kumejaa magesti tu ya bei rahisi.
Kuanzia Tinde,kagongwa,isaka,ushirombo,mpaka nyakanazi,ardhi yote imejaa madini,wapo matajiri wachache,lakini watu wengi ni mafukara wakutupwa.
Wingi sio hoja,wanaoshika nchi hii ni wenye pesa wachache,maana wapiga kura wa nchi hii wanohongeka kwa kanga na vilemba ni wajinga na ndio wamejaa Kanda ya ziwa.
Nzega,Igunga,Kalumwa,Isakamaliwa Kuna nini zaidi ya ufukara mtupu,
Technically wanawake wajanja lazima watafute mwanaume wa kisukuma kwa sababu Hawa wanaume huwa wanakamatwa na wanatumikishwa kama magreda ,kiufupi wanawake ndio wenye maamuzi.huwa naona wanawake wanasema kuwa wanaume wa kisukuma wanajua kucare na kuwajali wanawake
wanatumikishwa kwa madawa au ndo walivyo?Technically wanawake wajanja lazima watafute mwanaume wa kisukuma kwa sababu Hawa wanaume huwa wanakamatwa na wanatumikishwa kama magreda ,kiufupi wanawake ndio wenye maamuzi.
hilo silijui ila huko mwanaume hanaga sauti ,mtoto mkubwa fa kiume kwenye familia ndio final saywanatumikishwa kwa madawa au ndo walivyo?
Mbeya wapo huko chunya tele wanafuga mang'ombe porini,mbarali, morogoro, ndanindani, Singida .Wasukuma ndio kabila kubwa kuliko makabila yote Tanzania, sio kwa kanda ya ziwa tu.
Mikoa yote ya Kanda ya ziwa wasukuma wapo, Mara, Shinyanga, Tabora, Simiyu, Mwanza, Geita, pande za Kigoma na Katavi.
Ngoja yaamke ya mtu ya kaskazini ambayo yenyewe yamejaaga wivu tu, utatukanwa kama nini sijuiWatu wa kanda ya ziwa ni wengi sana nchini na ndiyo maana kila mgombea urais huwa anakimbilia huko kuomba akubalike. Watu wa kanda ya ziwa wanakadiliwa kufikia million 32 kwa mjibu wa sensa ya 2002.
2. Kanda ya ziwa imetawaliwa na kabila la Wasukuma ambao wamejaa mikoa ya Simiyu, Shinyanga, Mwanza, Geita na Tabora. Maeneo yote haya watu wanazungumza lugha ya kisukuma iwe mjini au vijijini.
Nimejifunza kabila la wasukuma ni kama maji usipoyanywa utayaoga.
3. Kanda ya ziwa ni wachapa kazi sana lakini hawana tamaa ya pesa kabisa ukilinganisha na kanda ya Kaskazini na siyo wanafiki kabisa.
Kanda ya ziwa wana msimamo usioyumba kabisa.
Mtu katoa sifa ya eneo fulani,angetoa sifa ya watu wa eneo lako ungekaa kimya au ungesifia sana mada,itoshe kusema huna la maanaAcheni kuleta ukabila kwa mlango wa nyuma. Ongelea watanzania badala ya ukanda. Baada ya hapo mtaanza ujinsia, udini, na upuuzi mwingine.
Sehemu gani Tanzania na Africa hii isiyo na ushirikina? Punguani kabisaUmeeleweka msukuma ila umesahau Umesahau kusema Kanda ya ziwa kwa ushirikina Ni Kama uji na mgonjwa.
Pia ni waasisi wa kauli ya kufyatua watotoWatu wa kanda ya ziwa ni wengi sana nchini na ndiyo maana kila mgombea urais huwa anakimbilia huko kuomba akubalike. Watu wa kanda ya ziwa wanakadiliwa kufikia million 32 kwa mjibu wa sensa ya 2002.
UbaguziUnalenga nini hasa?