Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
wasukuma au wanyamwezi?Mimi ni mwenyej wa hapa mwanza mzaliwa kabisa lakini kwa unafiki nakupinga kuna wanyamwezi ni wanafiki balaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wasukuma au wanyamwezi?Mimi ni mwenyej wa hapa mwanza mzaliwa kabisa lakini kwa unafiki nakupinga kuna wanyamwezi ni wanafiki balaha
hivi wajaluo Tarime wapo?Karibu tarime rorya
kuna wanawake kadhaa nimewahi kuwasikia wanasema wanaume wa kisukuma wanajua Sana kucare na kujali wanawake zaoSio kwel
ushamba ni kuleta mambo ya ukabila...kupendelea chato,kuteka watu na kukandamiza demokrasiaUshamba ni serikali nzima kwenda kupokea ndege ambapo ni kazi ya waziri tu
ohooo!!!Sometime Ni ukarimu wa kinafiki, take care
mzee umewahi kuishi mbulu au Singida?umesahau kimoja, wanawake wao ni wanyenyekevu mno, na hata ukiwaomba ni mama huruma. nilikuwa sijui hili hadi nilipoishi huku, sisemi kwa ushabiki au kwa nini, mwanamke wa kisukuma kwa muonekano huwa anaonekana sio malaya, ila ukimwomba akakataa, kaoge maji ya bahari ya pasific. ngono usukumani ni kitu cha kawaida kama ilivyo kagera tu. tofauti na wachaga wengi wanaanza ngono wakipitisha miaka 20.
wambulu je?Wanawake wa kisukuma hawana ubinafsi na si 'wachoyo'!
Hehehe tulikufanyeje mkuu, tabora ni kanda ya magharibi.Tabora ni kanda gani? Sina hamu nao
nasikia wanakula ugali mkubwa paka harukiNgosha kiasili hawana wenge wala makeke, wapo cool ndo maana ngosha unakuta ni tajiri sana lakini anakula ugali ule mgumu na mashamba boy wake, tena wananyang'anyana kwenye sinia au unaweza kukuta anakula mahindi ya kuchoma center na mashamba boy wake na hapo story zinapigwa kwa kisukuma kama kawaida.
ushamba ni kuleta ukabila.... kupendelea chato...kuteka watu na kukandamiza demokrasiaUshamba ni nini ?
bila shaka wanazaliana Sana...vipi wana utamaduni wa mitala/ ndoa za wake wengi?Wasukuma ndio kabila kubwa kuliko makabila yote Tanzania, sio kwa kanda ya ziwa tu.
Mikoa yote ya Kanda ya ziwa wasukuma wapo, Mara, Shinyanga, Tabora, Simiyu, Mwanza, Geita, pande za Kigoma na Katavi.
Hamis Kigwangalla, Lipumba nk kwa uchacheHehehe tulikufanyeje mkuu, tabora ni kanda ya magharibi.
Acha tuNafikiri ni kanda ya kati,walikufanyaje mkuu?
Tuwekee Twakimu za hiyo sensa ili tuone kama kweli hiyo mikoa 5 ya kanda ya ziwa ina jumla ya asilimia 53 ( yaani zaidi ya nusu ya watanzania) ya watanzania wote....kumbuka no research no write to speak....Watu wa kanda ya ziwa ni wengi sana nchini na ndiyo maana kila mgombea urais huwa anakimbilia huko kuomba akubalike. Watu wa kanda ya ziwa wanakadiliwa kufikia million 32 kwa mjibu wa sensa ya 2002.
2. Kanda ya ziwa imetawaliwa na kabila la Wasukuma ambao wamejaa mikoa ya Simiyu, Shinyanga, Mwanza, Geita na Tabora. Maeneo yote haya watu wanazungumza lugha ya kisukuma iwe mjini au vijijini.
Nimejifunza kabila la wasukuma ni kama maji usipoyanywa utayaoga.
3. Kanda ya ziwa ni wachapa kazi sana lakini hawana tamaa ya pesa kabisa ukilinganisha na kanda ya Kaskazini na siyo wanafiki kabisa.
Kanda ya ziwa wana msimamo usioyumba kabisa.
niambie tu mkuu maana na mimi nina mpango wa kwenda kule angalau nipate ABC kabla sijakurupuka kwendaAcha tu
Ooh hao kina kigwangalla na lipumba si wawakilishi wa wanyamwezi mkuuHamis Kigwangalla, Lipumba nk kwa uchache
Kuna picha wanaijengea jamii ya watu wa huko[emoji1][emoji1]
Hii amepuyanga yaani nusu ya watanzania ni wa kutoka kanda ya ziwa haiingii akiliniMimi nimeishiwa pale ulipoandika Kanda ya ziwa wanakadiriwa kufika 32m kwa sensa ya mwaka 2002
huyo aliyesema wako milioni 32 ndio anatakiwa atuwekee data hapa na source yake.Njoo na data