Baada ya kukaa kanda ya ziwa kwa miaka 5, nimejifunza yafuatayo

Baada ya kukaa kanda ya ziwa kwa miaka 5, nimejifunza yafuatayo

umesahau kimoja, wanawake wao ni wanyenyekevu mno, na hata ukiwaomba ni mama huruma. nilikuwa sijui hili hadi nilipoishi huku, sisemi kwa ushabiki au kwa nini, mwanamke wa kisukuma kwa muonekano huwa anaonekana sio malaya, ila ukimwomba akakataa, kaoge maji ya bahari ya pasific. ngono usukumani ni kitu cha kawaida kama ilivyo kagera tu. tofauti na wachaga wengi wanaanza ngono wakipitisha miaka 20.
mzee umewahi kuishi mbulu au Singida?
 
Ngosha kiasili hawana wenge wala makeke, wapo cool ndo maana ngosha unakuta ni tajiri sana lakini anakula ugali ule mgumu na mashamba boy wake, tena wananyang'anyana kwenye sinia au unaweza kukuta anakula mahindi ya kuchoma center na mashamba boy wake na hapo story zinapigwa kwa kisukuma kama kawaida.
nasikia wanakula ugali mkubwa paka haruki
 
Wasukuma ndio kabila kubwa kuliko makabila yote Tanzania, sio kwa kanda ya ziwa tu.

Mikoa yote ya Kanda ya ziwa wasukuma wapo, Mara, Shinyanga, Tabora, Simiyu, Mwanza, Geita, pande za Kigoma na Katavi.
bila shaka wanazaliana Sana...vipi wana utamaduni wa mitala/ ndoa za wake wengi?
 
Watu wa kanda ya ziwa ni wengi sana nchini na ndiyo maana kila mgombea urais huwa anakimbilia huko kuomba akubalike. Watu wa kanda ya ziwa wanakadiliwa kufikia million 32 kwa mjibu wa sensa ya 2002.

2. Kanda ya ziwa imetawaliwa na kabila la Wasukuma ambao wamejaa mikoa ya Simiyu, Shinyanga, Mwanza, Geita na Tabora. Maeneo yote haya watu wanazungumza lugha ya kisukuma iwe mjini au vijijini.

Nimejifunza kabila la wasukuma ni kama maji usipoyanywa utayaoga.

3. Kanda ya ziwa ni wachapa kazi sana lakini hawana tamaa ya pesa kabisa ukilinganisha na kanda ya Kaskazini na siyo wanafiki kabisa.

Kanda ya ziwa wana msimamo usioyumba kabisa.
Tuwekee Twakimu za hiyo sensa ili tuone kama kweli hiyo mikoa 5 ya kanda ya ziwa ina jumla ya asilimia 53 ( yaani zaidi ya nusu ya watanzania) ya watanzania wote....kumbuka no research no write to speak....
 
Hamis Kigwangalla, Lipumba nk kwa uchache

Kuna picha wanaijengea jamii ya watu wa huko[emoji1][emoji1]
Ooh hao kina kigwangalla na lipumba si wawakilishi wa wanyamwezi mkuu

Wanyamwezi wengi ni wakalimu sana japo wapo washenzi pia.
 
  • Thanks
Reactions: T11
Njoo na data
huyo aliyesema wako milioni 32 ndio anatakiwa atuwekee data hapa na source yake.
Maana kwa hesabu ya haraka haraka tu Dar es salaam ndio mkoa wenye population kubwa ya watu ambayo ni milioni 6,mikoa mingine iliyobaki inacheza milioni 3 au 4,sasa how comes mikoa minne itimize idadi ya milioni 32 ni hesabu ndogo ambayo haihitaji uwe msomi
 
Wanawake wa huku wanachura balaa af matumbo flat.
Wana ngozi angaavu
 
Back
Top Bottom