Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
Pengine we we ndio mshamba zaidi ya hao
Umesahau kuwa ni washamba sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau kuwa ni washamba sana.
Sometime Ni ukarimu wa kinafiki, take careNa ni wakarimu sana.
Ushamba ni serikali nzima kwenda kupokea ndege ambapo ni kazi ya waziri tuUshamba ni nini ?
Ni kazi ya Waziri kwa mujibu wa nani ?Ushamba ni serikali nzima kwenda kupokea ndege ambapo ni kazi ya waziri tu
Sio kwelUmenena vyema, pia kina ngosha ni husband material haswaa.
Hapa unamaanisha nini?Nimejifunza kabila la wasukuma ni kama maji usipoyanywa utayaoga.
Haya ndio husababisha mauaji yasiokwisha kwa visababu vidogo tu kama mbuzi na mapenzi?Kanda ya ziwa wana msimamo usioyumba kabisa.
Rudi kafanye utafiti tena.umesahau kimoja, wanawake wao ni wanyenyekevu mno, na hata ukiwaomba ni mama huruma. nilikuwa sijui hili hadi nilipoishi huku, sisemi kwa ushabiki au kwa nini, mwanamke wa kisukuma kwa muonekano huwa anaonekana sio malaya, ila ukimwomba akakataa, kaoge maji ya bahari ya pasific. ngono usukumani ni kitu cha kawaida kama ilivyo kagera tu. tofauti na wachaga wengi wanaanza ngono wakipitisha miaka 20.
Unajitia kidole matakoni unanusaWatu wa kanda ya ziwa ni wengi sana nchini na ndiyo maana kila mgombea urais huwa anakimbilia huko kuomba akubalike. Watu wa kanda ya ziwa wanakadiliwa kufikia million 32 kwa mjibu wa sensa ya 2002.
2. Kanda ya ziwa imetawaliwa na kabila la Wasukuma ambao wamejaa mikoa ya Simiyu, Shinyanga, Mwanza, Geita na Tabora. Maeneo yote haya watu wanazungumza lugha ya kisukuma iwe mjini au vijijini.
Nimejifunza kabila la wasukuma ni kama maji usipoyanywa utayaoga.
3. Kanda ya ziwa ni wachapa kazi sana lakini hawana tamaa ya pesa kabisa ukilinganisha na kanda ya Kaskazini na siyo wanafiki kabisa.
Kanda ya ziwa wana msimamo usioyumba kabisa.
upo sahihi kabisa , nilifikiri kuna taarifa Muhimu za kumsaidia mtu anaetarajiwa kuishi ,kusoma au biashara ukanda huo kumbe ni porojo na propaganda za ukabila.Sasa kama ulitaka kuwazungumzia wasukuma kwa nini uzunguke zunguke kama mwenye kuharisha!
Wewe ni kati ya wasukuma wabaya. Kanda ya ziwa kuna waTanzania wengi, wakiwemo wasukuma ambao hawana tabia za hovyo kama ulizo nazo wewe, za ukabila.
Bila kusahau Kanda ya ziwa albino wengi waliuwa miaka ile, yaani wanaongoza kwa ushirikina
Nakubaliana na wewe ndugu niliwahi kwenda mara moja kule.Watu wa kanda ya ziwa hatuna roho mbaya, hatuna kinyongo. Halafu pia sisi hatukatai watu. Mtu akikimbilia kwako unampa hifadhi, huwezi kumtupa.
Muhimu zaidi shughuli zetu ni za kilimo na ufugaji hivyo warundi ama warwanda ama wakongo wakija kwetu tunawakaribisha halafu tunawatumia kama wafanyakazi.
Sisi akija mtu kwako hiyo ni neema maana umepata nguvu kazi ya shamba ama kuchunga ng'ombe. Ukatae mtu ili iweje?
Hilo moja, la pili, makabila mengi yaliyoko upande wa nchi nyingine yako pia huku kwetu, Mara mpakani kuna wajaluo na wakurya kenya, kupande huu wa Tanganyika hivyo hivyo. Hivyo unakuta hao ndi ndugu zetu hatuwezi kuwafukuza.
Ukija kagera kama misenyi, Biharamulo, Ngara kote huko ni warundi na warwanda, hawawezi kuwafukuza ndugu zao wa Burundi ama Rwanda wakiwakimbilia. Hata ndugu zetu wa kigoma hivyo hivyo.
Ukiangalia kwa mantiki hiyo ya kupenda labor ndio maana tunazaliana sana kule.
Nafikiri ni kanda ya kati,walikufanyaje mkuu?Tabora ni kanda gani? Sina hamu nao
Mimi ni mwenyej wa hapa mwanza mzaliwa kabisa lakini kwa unafiki nakupinga kuna wanyamwezi ni wanafiki balahaWatu wa kanda ya ziwa ni wengi sana nchini na ndiyo maana kila mgombea urais huwa anakimbilia huko kuomba akubalike. Watu wa kanda ya ziwa wanakadiliwa kufikia million 32 kwa mjibu wa sensa ya 2002.
2. Kanda ya ziwa imetawaliwa na kabila la Wasukuma ambao wamejaa mikoa ya Simiyu, Shinyanga, Mwanza, Geita na Tabora. Maeneo yote haya watu wanazungumza lugha ya kisukuma iwe mjini au vijijini.
Nimejifunza kabila la wasukuma ni kama maji usipoyanywa utayaoga.
3. Kanda ya ziwa ni wachapa kazi sana lakini hawana tamaa ya pesa kabisa ukilinganisha na kanda ya Kaskazini na siyo wanafiki kabisa.
Kanda ya ziwa wana msimamo usioyumba kabisa.