Baada ya kukaa kanda ya ziwa kwa miaka 5, nimejifunza yafuatayo

Baada ya kukaa kanda ya ziwa kwa miaka 5, nimejifunza yafuatayo

Lengo lako lilikua ni kutunanga huku kaskazini ila pesa kila mtu anaipenda ndio maana mnaamka kwenda kutafuta kila siku
 
Nimejifunza kabila la wasukuma ni kama maji usipoyanywa utayaoga.
Hapa unamaanisha nini?

Kuwa muwazi usiogope.
Kanda ya ziwa wana msimamo usioyumba kabisa.
Haya ndio husababisha mauaji yasiokwisha kwa visababu vidogo tu kama mbuzi na mapenzi?

Mleta mada I wholeheartedly naomba ujibu haya maswali ili tujue ulichoandika umedhamiria au kama kawaida ya ukabila wa kijinga.

My conclusion is I seriously F hate this kind of threads hasa zilizojaa ukabila na udini.
 
umesahau kimoja, wanawake wao ni wanyenyekevu mno, na hata ukiwaomba ni mama huruma. nilikuwa sijui hili hadi nilipoishi huku, sisemi kwa ushabiki au kwa nini, mwanamke wa kisukuma kwa muonekano huwa anaonekana sio malaya, ila ukimwomba akakataa, kaoge maji ya bahari ya pasific. ngono usukumani ni kitu cha kawaida kama ilivyo kagera tu. tofauti na wachaga wengi wanaanza ngono wakipitisha miaka 20.
Rudi kafanye utafiti tena.
 
Watu wa kanda ya ziwa ni wengi sana nchini na ndiyo maana kila mgombea urais huwa anakimbilia huko kuomba akubalike. Watu wa kanda ya ziwa wanakadiliwa kufikia million 32 kwa mjibu wa sensa ya 2002.

2. Kanda ya ziwa imetawaliwa na kabila la Wasukuma ambao wamejaa mikoa ya Simiyu, Shinyanga, Mwanza, Geita na Tabora. Maeneo yote haya watu wanazungumza lugha ya kisukuma iwe mjini au vijijini.

Nimejifunza kabila la wasukuma ni kama maji usipoyanywa utayaoga.

3. Kanda ya ziwa ni wachapa kazi sana lakini hawana tamaa ya pesa kabisa ukilinganisha na kanda ya Kaskazini na siyo wanafiki kabisa.

Kanda ya ziwa wana msimamo usioyumba kabisa.
Unajitia kidole matakoni unanusa
 
Sasa kama ulitaka kuwazungumzia wasukuma kwa nini uzunguke zunguke kama mwenye kuharisha!

Wewe ni kati ya wasukuma wabaya. Kanda ya ziwa kuna waTanzania wengi, wakiwemo wasukuma ambao hawana tabia za hovyo kama ulizo nazo wewe, za ukabila.
upo sahihi kabisa , nilifikiri kuna taarifa Muhimu za kumsaidia mtu anaetarajiwa kuishi ,kusoma au biashara ukanda huo kumbe ni porojo na propaganda za ukabila.
 
Watu wa kanda ya ziwa hatuna roho mbaya, hatuna kinyongo. Halafu pia sisi hatukatai watu. Mtu akikimbilia kwako unampa hifadhi, huwezi kumtupa.

Muhimu zaidi shughuli zetu ni za kilimo na ufugaji hivyo warundi ama warwanda ama wakongo wakija kwetu tunawakaribisha halafu tunawatumia kama wafanyakazi.

Sisi akija mtu kwako hiyo ni neema maana umepata nguvu kazi ya shamba ama kuchunga ng'ombe. Ukatae mtu ili iweje?

Hilo moja, la pili, makabila mengi yaliyoko upande wa nchi nyingine yako pia huku kwetu, Mara mpakani kuna wajaluo na wakurya kenya, kupande huu wa Tanganyika hivyo hivyo. Hivyo unakuta hao ndi ndugu zetu hatuwezi kuwafukuza.

Ukija kagera kama misenyi, Biharamulo, Ngara kote huko ni warundi na warwanda, hawawezi kuwafukuza ndugu zao wa Burundi ama Rwanda wakiwakimbilia. Hata ndugu zetu wa kigoma hivyo hivyo.

Ukiangalia kwa mantiki hiyo ya kupenda labor ndio maana tunazaliana sana kule.
Nakubaliana na wewe ndugu niliwahi kwenda mara moja kule.
Ni watu hawana uchoyo ukienda utakula vyakula hadi uchoke mwenyewe na wala hawahitaji pesa yako kwa ajili ya kununua chakula.
Ili mradi tu ukienda uwe na reference wakujue amekuleta nani au umetokea wapi maana kule huwa wana vikundi vya sungusungu kwa ajili ya ulinzi wao binafsi
 
Mimi nimeishiwa pale ulipoandika Kanda ya ziwa wanakadiriwa kufika 32m kwa sensa ya mwaka 2002
 
Watu wa kanda ya ziwa ni wengi sana nchini na ndiyo maana kila mgombea urais huwa anakimbilia huko kuomba akubalike. Watu wa kanda ya ziwa wanakadiliwa kufikia million 32 kwa mjibu wa sensa ya 2002.

2. Kanda ya ziwa imetawaliwa na kabila la Wasukuma ambao wamejaa mikoa ya Simiyu, Shinyanga, Mwanza, Geita na Tabora. Maeneo yote haya watu wanazungumza lugha ya kisukuma iwe mjini au vijijini.

Nimejifunza kabila la wasukuma ni kama maji usipoyanywa utayaoga.

3. Kanda ya ziwa ni wachapa kazi sana lakini hawana tamaa ya pesa kabisa ukilinganisha na kanda ya Kaskazini na siyo wanafiki kabisa.

Kanda ya ziwa wana msimamo usioyumba kabisa.
Mimi ni mwenyej wa hapa mwanza mzaliwa kabisa lakini kwa unafiki nakupinga kuna wanyamwezi ni wanafiki balaha
 
Back
Top Bottom