Baada ya kukaa kanda ya ziwa kwa miaka 5, nimejifunza yafuatayo

Baada ya kukaa kanda ya ziwa kwa miaka 5, nimejifunza yafuatayo

1. Watu wa kanda ya ziwa ni wengi sana nchini na ndiyo maana kila mgombea urais huwa anakimbilia huko kuomba akubalike. Watu wa kanda ya ziwa wanakadiliwa kufikia million 32 kwa mjibu wa sensa ya 2002.

2. Kanda ya ziwa imetawaliwa na kabila la wasukuma ambao wamejaa mikoa ya Simiyu , Shinyanga, Mwanza , Geita na Tabora. Maeneo yote haya watu wanazungumza lugha ya kisukuma iwe mjini au vijijini.
Nimejifunza kabila la wasukuma ni kama maji usipoyanywa utayaoga.

3. Kanda ya ziwa ni wachapa kazi sana lakini hawana tamaa ya pesa kabisa ukilinganisha na kanda ya Kaskazini na siyo wanafiki kabisa.
Kanda ya ziwa wana msimamo usioyumba kabisa.
Mengi ni maoni yako binafsi.
 
yaani kwa miaka 5, hivyo vitu3 tuu ndivyo ulivyogundua?? are you serious??
 
1. Watu wa kanda ya ziwa ni wengi sana nchini na ndiyo maana kila mgombea urais huwa anakimbilia huko kuomba akubalike. Watu wa kanda ya ziwa wanakadiliwa kufikia million 32 kwa mjibu wa sensa ya 2002.

2. Kanda ya ziwa imetawaliwa na kabila la wasukuma ambao wamejaa mikoa ya Simiyu , Shinyanga, Mwanza , Geita na Tabora. Maeneo yote haya watu wanazungumza lugha ya kisukuma iwe mjini au vijijini.
Nimejifunza kabila la wasukuma ni kama maji usipoyanywa utayaoga.

3. Kanda ya ziwa ni wachapa kazi sana lakini hawana tamaa ya pesa kabisa ukilinganisha na kanda ya Kaskazini na siyo wanafiki kabisa.
Kanda ya ziwa wana msimamo usioyumba kabisa.
Wanakadiliwa?
ndio nini mkuu?
 
chunguza tena
Utawakuta wanyakyusa/waha/wabondei/wapare/etc/CHAGGA wengi sana wapo mikoa hiyo na wanazungumza KISUKUMA,

ukitaka ishi na watu jifunze yakwaoo, ndivyo makabila hayo yalivyomudu kupenya hadi usukumani na kuishi naooo
 
Kanda ya ziwa ni wachapa kazi sana lakini hawana tamaa ya pesa kabisa ukilinganisha na kanda ya Kaskazini na siyo wanafiki kabisa.

Kanda ya ziwa wana msimamo usioyumba kabisa.
Kwanza Kabisa umemaliza vibaya, kulikuwa na haja gani ya kuzungumzia kanda ya kaskazini?

Okay kwa taarifa yako katika taifa hili hakuna watu waoga na wanafiki kama watu wa kanda hiyo unayoisakafia.
 
Hawa ambao wakiona mabinti weupe wanachanganyikiwa kabisa bado wanaushamba wa hali ya juu.
Mtu wa kanda yeyote kama maisha yake yote ameishi kijijini akifika mjini lazima ataonekana mshamba
 
Kwanza Kabisa umemaliza vibaya, kulikuwa na haja gani ya kuzungumzia kanda ya kaskazini?

Okay kwa taarifa yako katika taifa hili hakuna watu waoga na wanafiki kama watu wa kanda hiyo unayoisakafia.
Ndiyo kanda pendwa kwa wizi
 
Watu wa kanda ya ziwa ni wengi sana nchini na ndiyo maana kila mgombea urais huwa anakimbilia huko kuomba akubalike. Watu wa kanda ya ziwa wanakadiliwa kufikia million 32 kwa mjibu wa sensa ya 2002.

2. Kanda ya ziwa imetawaliwa na kabila la Wasukuma ambao wamejaa mikoa ya Simiyu, Shinyanga, Mwanza, Geita na Tabora. Maeneo yote haya watu wanazungumza lugha ya kisukuma iwe mjini au vijijini.

Nimejifunza kabila la wasukuma ni kama maji usipoyanywa utayaoga.

3. Kanda ya ziwa ni wachapa kazi sana lakini hawana tamaa ya pesa kabisa ukilinganisha na kanda ya Kaskazini na siyo wanafiki kabisa.

Kanda ya ziwa wana msimamo usioyumba kabisa.
umesahau kimoja, wanawake wao ni wanyenyekevu mno, na hata ukiwaomba ni mama huruma. nilikuwa sijui hili hadi nilipoishi huku, sisemi kwa ushabiki au kwa nini, mwanamke wa kisukuma kwa muonekano huwa anaonekana sio malaya, ila ukimwomba akakataa, kaoge maji ya bahari ya pasific. ngono usukumani ni kitu cha kawaida kama ilivyo kagera tu. tofauti na wachaga wengi wanaanza ngono wakipitisha miaka 20.
 
Back
Top Bottom