FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Nimeona niulize hili baada ya kukaa kwenye foleni kwa takriban masaa matatu kutoka Bandarini hadi kuvuka Tazara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni pale Buguruni,siyo rafiki na kwa kuwa ni jirani na TAZARA,hata ukiruhusu yanawahi kujaa. Ila pale Fly Over haina shida yoyote.Nimeona niulize hili baada ya kukaa foleni takriban masaa matatu toka bandarini hadi kuvuka Tazara
Yaani unaweza ukatamani umcharaze kiboko yule Traffic wa pale Buguruni, ni vyema wakatumie radio calls ili ku-synchronise uitaji wa magari kati ya traffic wa Tazara na yulewa Buguruni, haiwezekani wa Tazara anaruhuzu magari halafu wewe unayazuia, halafu wa Tazara akiyazuia wewe ndio unayaruhusu, sasa maana yake nini hiyo? nadhani mtu bila kuwa na degree asiruhusiwe kuongoza magari.., ni ujinga huu..!!!Tatizo Hakuna connection kati ya daraja na hapo Junction ya Buguruni.
Panaleta bottleneck effect jam inahamia Buguruni
Basi hata underpass sio mbaya...SGR si inapita juu pale si itakua ngumu maana au
Urembo si kwa kuongoza magari zinamaliza unit za umeme bureNaomba mnijibu hili swali ndugu wavuja jasho wenzangu.
Taa za kuongozea Magari dhumuni lake ni nini!?
Kuongoza magari.Naomba mnijibu hili swali ndugu wavuja jasho wenzangu.
Taa za kuongozea Magari dhumuni lake ni nini!?
Na Askari anapokuwa chini ya Taa zikiwa zinafanya kazi inamaanisha niniKuongoza magari.