mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Story tu hizo,Ni kama walivyosema tukianza kutumia gas ya Mtwara tatizo la umeme litakua historia nchi hii na bei itashuka maradufu sasa wamehamia kwny tukikamilisha stiglers mgao ni ndoto.Nadhani SGR ikianza kazi hii pressure itapungua maana malorry yatachukulia mizigo huko Morogoro..
dodge