Baada ya kukabidhiwa kwa Rais Samia, Ripoti ya CAG kufikishwa leo Bungeni

Baada ya kukabidhiwa kwa Rais Samia, Ripoti ya CAG kufikishwa leo Bungeni

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Baada ya Kukabidhiwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan hatimaye leo Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali zitawasilishwa Rasmi Bungeni ambapo kwa mujibu wa taratibu ripoti nzima sasa itakuwa wazi kwa umma Orodha ya shughuli rasmi za Bunge inaonesha kupokelewa kwa ripoti hiyo na nyingine kadhaa

Bungeni ripoti hiyo itapelekwa Kamati za Bunge husika kama PAC, PIC na LAAC ambapo watzipitia na waliotjwa wataitwa kuhojiwa na kamati hizo kwa niaba ya Bunge ambapo baada ya hatua hiyo Bunge litatoa mapendekezo kwa Serikali juu ya hatua za kuchukua!

98556BA6-DBB3-4F50-847B-39F8D6C80751.jpeg
116C8EC8-2CBC-4732-BCF3-2D07104AFF9A.jpeg
565C8A78-C307-4507-96E8-C0D8AD7F51FC.jpeg
 

Attachments

  • 437F9856-DC04-4023-A315-6B8898516AEC.jpeg
    437F9856-DC04-4023-A315-6B8898516AEC.jpeg
    211.5 KB · Views: 2
Bunge nalo lipige misumari ya moto, wajiuzulu wale waliokuwa kwenye dili la hela za ndege, ila nchi yangu jamani, yaani mtu umekamatwa unapiga dili, alafu unaombwa kujiuzulu, unakataa kimya kimya hutoki, huyo si wa kunyongwa?

Mh. Rais anavyohangaika usiku na mchana kutafuta hela hizi, alafu kuna mtu anapiga dili $ 49 mil kilaini tu.. Wanyongwe jamani, wanyogweeeeee, wanyongwee, Pasaka hii tena wanyongweee Pasaka hii hii, itakuwa zawadi kubwa sana ya Pasaka kwa watanzani wote, wanyongweee, tupigeni kelele tumsaidie Mh. Rais wetu, na wasulubiwe, wasulubiweee Aaaarrghhw 😡😡😡😡😡😡😡😡
 
PICHA LINAANZIA HAPA.

1. CAGA anamkabidhi Rais Ripoti.


Mkubwa anaipokea, ananuna, anasonya, anatukana STUPID, WAPUMBAVU na kikao kinaisha. Na anaelekeza ipelekwe bungeni.

2. SPIKA wa Bunge anaipokea Ripoti Ili ijadiliwe na Bunge.

Wabunge wanatoa povu, wataonyesha kukasirishwa na vitendo vya watuhumiwa Kisha wataazimia baadhi ya masuala na kurudisha Kwa Mkubwa Ili achukue hatua.

3. MKUBWA anaipokea maazimio.

Anayasomaa, anaangalia michangoo, anatabasamu Kisha anaichukua Ripoti na kuitupa KAPUNI. Na kusubiri CAGA alete Ripoti ingine mwakani.

SWALI;

1. Bilioni 350 waliolipwa Symbion Kwa Ripoti ilopita zimerejeshwa?

2. Fedha alizohoji Mpina Trilioni 1.5 kwenye Ripoti ilopita ambayo mkandarasi wa Bwawa la JKN alizopaswa kurudisha Kwa kuongeza muda kinyume na mkataba zimerudishwa?

3.Nani aliruhusu kununua treni chakavu bila kufuata SHERIA inayotaka Serikali kununua brand new? Na change Iko wapi maana malipo yalitoka kununua mpya?

4. Ni Kweli mnadharau wananchi Kwa kiasi hicho?

Tusubiri.
 
PICHA LINAANZIA HAPA.

1. CAGA anamkabidhi Rais Ripoti.


Mkubwa anaipokea, ananuna, anasonya, anatukana STUPID, WAPUMBAVU na kikao kinaisha. Na anaelekeza ipelekwe bungeni.

2. SPIKA wa Bunge anaipokea Ripoti Ili ijadiliwe na Bunge.

Wabunge wanatoa povu, wataonyesha kukasirishwa na vitendo vya watuhumiwa Kisha wataazimia baadhi ya masuala na kurudisha Kwa Mkubwa Ili achukue hatua.

3. MKUBWA anaipokea maazimio.

Anayasomaa, anaangalia michangoo, anatabasamu Kisha anaichukua Ripoti na kuitupa KAPUNI. Na kusubiri CAGA alete Ripoti ingine mwakani.

SWALI;

1. Bilioni 350 waliolipwa Symbion Kwa Ripoti ilopita zimerejeshwa?

2. Fedha alizohoji Mpina Trilioni 1.5 kwenye Ripoti ilopita ambayo mkandarasi wa Bwawa la JKN alizopaswa kurudisha Kwa kuongeza muda kinyume na mkataba zimerudishwa?

3.Nani aliruhusu kununua treni chakavu bila kufuata SHERIA inayotaka Serikali kununua brand new? Na change Iko wapi maana malipo yalitoka kununua mpya?

4. Ni Kweli mnadharau wananchi Kwa kiasi hicho?

Tusubiri.
#4,,,umenena Kwa hisia sana.
 
PICHA LINAANZIA HAPA.

1. CAGA anamkabidhi Rais Ripoti.


Mkubwa anaipokea, ananuna, anasonya, anatukana STUPID, WAPUMBAVU na kikao kinaisha. Na anaelekeza ipelekwe bungeni.

2. SPIKA wa Bunge anaipokea Ripoti Ili ijadiliwe na Bunge.

Wabunge wanatoa povu, wataonyesha kukasirishwa na vitendo vya watuhumiwa Kisha wataazimia baadhi ya masuala na kurudisha Kwa Mkubwa Ili achukue hatua.

3. MKUBWA anaipokea maazimio.

Anayasomaa, anaangalia michangoo, anatabasamu Kisha anaichukua Ripoti na kuitupa KAPUNI. Na kusubiri CAGA alete Ripoti ingine mwakani.

SWALI;

1. Bilioni 350 waliolipwa Symbion Kwa Ripoti ilopita zimerejeshwa?

2. Fedha alizohoji Mpina Trilioni 1.5 kwenye Ripoti ilopita ambayo mkandarasi wa Bwawa la JKN alizopaswa kurudisha Kwa kuongeza muda kinyume na mkataba zimerudishwa?

3.Nani aliruhusu kununua treni chakavu bila kufuata SHERIA inayotaka Serikali kununua brand new? Na change Iko wapi maana malipo yalitoka kununua mpya?

4. Ni Kweli mnadharau wananchi Kwa kiasi hicho?

Tusubiri.
Welldone mkuu umechangia mada hii kwenye kiwango cha A1,mazuzu wa kitanzania within 3weeks wanasahau na kurudi kujadili ngono na simba/yanga!,kitu kidogo kabla ya kufanya push back...mbio JF kulalama!
 
#4,,,umenena Kwa hisia sana.
Viongozi wanatuona sisi kama Mazwazwa!!!

Ukiangalia Kwa makini;

1. Anayetoa pesa ofisi ya CAGA ni yule yule.

2. Anayeteua wakubwa wa TAKUKURUu ni yule yule.

3. Anayepeleka bungeni Ripoti ni yule yule akijua Bunge halina meno kuamua chochote bila Yeye, Ni yule yule.

4. UKWELI na taarifa zote za Siri hupelekewa yule yule, na akichukua hatua haraka kama mtangulizi wanasema ni UDIKTETA. Tatizo ni yule yule.

Hata kama ni matakwa ya Katiba,

Kwanini tumempa MKUU mamlaka makubwa kiasi hicho ilihali tukijua hawezi kuyatumia yote?

Ubadhirifu huo tusisahau ni pesa za MKOPO ambao wananchi tunatakiwa kulipa.

SWALI: kama wananchi ndio wanaowaweka madarakani viongozi kikatiba, MATUSI Gani yanafaa kuwatukana wezi na viongozi wa wezi tukaepuka kulipa mikopo na riba na HASARA wanazotusababishia?

Kwanini WAPUMBAVU na STUPID wanapewa ulinzi Kwa Kodi za wananchi Hadi sasa?
 
Round hii hawamtukani CAG kama walivyofanya kwa Prof. Assad ??
Ni kwasababu CAG wa sasa kapewa UHURU wa kufanya kazi yake bila kuficha chochote au bila maelekezo.

Pongezi nyingi kwa Mhe.Rais Dkt. Samia kwa kuipa uhuru ofisi ya CAG kufanya kazi zake bila kuficha au uoga.

Vivohivyo ili kuipa heshima kazi ya CAG basi ni lazima hatua za uwajibikaji/kuwajibisha wale wote walio guswa direct or indirect waondolewe.
 
Baada ya Kukabidhiwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan hatimaye leo Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali zitawasilishwa Rasmi Bungeni ambapo kwa mujibu wa taratibu ripoti nzima sasa itakuwa wazi kwa umma Orodha ya shughuli rasmi za Bunge inaonesha kupokelewa kwa ripoti hiyo na nyingine kadhaa

Bungeni ripoti hiyo itapelekwa Kamati za Bunge husika kama PAC, PIC na LAAC ambapo watzipitia na waliotjwa wataitwa kuhojiwa na kamati hizo kwa niaba ya Bunge ambapo baada ya hatua hiyo Bunge litatoa mapendekezo kwa Serikali juu ya hatua za kuchukua!

View attachment 2578060View attachment 2578061View attachment 2578066
The life goes on.. hiyo sio ya kwanza kupelekwa bungeni without any action!!
 
Ni kwasababu CAG wa sasa kapewa UHURU wa kufanya kazi yake bila kuficha chochote au bila maelekezo.

Pongezi nyingi kwa Mhe.Rais Dkt. Samia kwa kuipa uhuru ofisi ya CAG kufanya kazi zake bila kuficha au uoga.

Vivohivyo ili kuipa heshima kazi ya CAG basi ni lazima hatua za uwajibikaji/kuwajibisha wale wote walio guswa direct or indirect waondolewe.
“Watupishe” 😂
 
Back
Top Bottom