Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Moja awe mwanaume mwenye mvuto, mweupe ikiwezekana shombe kabisa ulafu futi 5 baada ya hapo mahusiano yafe, mtoto nitamlea mwenyewe na
sitaki kufatiliana kwa lolote.

Mwenye sifa hizo ani pm haraka ntajibu sms 20 tu za mwanzo sitaki blabla nyingi na maswali mengi pm.

Kama unazalisha njoo pm sema nazalisha tuma picha na namba yako nitakutafuta mimi nikivutiwa na picha yako.

Narudia sitaki maneno mengi pm sms ya kwanza andika nazalisha ya pili tuma picha ya tatu namba yako ntachagua mimi wa kuzaa nae.


PM IPO WAZI
 
Umeshavulugwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata applicationa y kuomba kaz ikulu haiwezi kua n CV y aina hiyooo aiseee


Yaaan

Nazalisha
Picha
Namba



Mbona wewe hujaweka CV yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…