Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

umeona eeeeeeeeeeeeeeee
 
 
Tutume picha kwani wewe ya kwako umetuma hapa?

By the way mwanamke chura kama huna hata sura ingekusaidia ungezalishwa mtaani kwenu, sasa mpaka leo hola halafu unajishaua hapa jf?
Kila la kheri.
 
Aisee...!! Kwa sifa hizo dada utakuja zaa hata na jini chunga sana
 
Huwezi pata mume hata ata uyo wa kukupa iyo mimba maana kama unataka wazalishaji hawapp jf nenda hosptal wapo manesi na wauguzi afu ubabe unazidisha mpaka kuandika una andika kibabe au ndo mawazo maana umri ukisha zidi 35 bila mme hakujawahi kumuacha mtu salama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake mmetushinda kwa tabia
Ebu wasiliana na huyu mwenye shida kama yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…