Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

We dada mbona ile namba inayoishia na 5 nikipiga sikupati?
Nipe nyingine
Cc Inna
 
Mm nafikiri usihangaike hapa jf ww nenda waliko najua unafahamu wanapatokana wapi tofauti na hapo unataka kumuibia mtu hapa wallet yake tu.
Na hauna jipya jingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akamuulize kwanza kama baba yake ana sifa hizo ndio aje humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja awe mwanaume mwenye mvuto, mweupe ikiwezekana shombe kabisa ulafu futi 5 baada ya hapo mahusiano yafe, mtoto nitamlea mwenyewe na
sitaki kufatiliana kwa lolote.
Bora tu umekosa huyo mchumba...

Kwa kiburi na jeuri uliyonayo ungemtoa roho mchana peupe...

Pole mama,pambana na hali yako.
 
Hata wakuzaa naye hutampata,unaongea kama binti aliyekulia stand! Come down
 
Weka pc tukuone kama nawe uko na sifa Za kutosha.
 
Siku zote huwa naamini na daima nitaamini kuwa ikifika 28 yrs Dada hujaolewa jipime tena uwe mrembooooo alafu huna mume ni balaaaaa.
Kama sio tabia ya dharau, kibri majivuno, papuchi mbovu basi kuna namna maana wanaume wote tunapenda wanawake warembo ila huwa tunashindwana tabia tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatuzalishi hovyo...maana hata Mtoto nasi tunataka tukae naye. Njoo pm ww tuzungumze
 
Pole sana ni hatari. Ndo sababu kubwa ya wewe kukosa wa kukuowa...
Sasa umefikia..
Point of no return...

Apple i
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…