Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

now pesa hamzitaki?
btw sikukejeli mchumba wa kweli anakuja kwa maombi baada ya kumkabidhi mungu hitaji lako


ubarikiwe
 
"Moja awe mwanaume mwenye mvuto, mweupe ikiwezekana shombe..."

Hii tu inaonesha hauko serious na kama kweli huna mchumba Mungu hajakosea , kwa akili hizi hutokuja kupata. Pumbavu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbegu zangu bora nipige nyeto kuliko kuweka kwako mwenye kiburi hivyo.

Sukari Yenu
 
Duh unataka mtoto alafu unaleta vigezo? Twambie we ukoje kwanza, urefu, rangi, kabila, elimu, na kazi. Maana naona hapo kama job description hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ni kama mchezaji anaenda kupiga penati halafu wewe ndio kipa unamuonesha upande unaoruka, ushaonesha unachotaka watakuja kwa gia hiyo hiyo, kua makini wasipige na kusepankwa kigezo cha kuoa.

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Inaonyesha utakua m'baya sana mpaka unakosa mwanaume!!?

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Kwa perseverance hii, bila shaka utapata hivi karibuni. Ubarikiwe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…