Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Hali ngumu mpaka wanaume wamegoma kutongoza watu wanajifia na genye mitaani kweli tunaisoma namba, wanawake tutembee na mabango Kama Yule mama WA kikenya Hali tata.
Kundu unanitoa roho kwa kicheko[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji23] [emoji13] [emoji23] [emoji13]
 
Natafuta mwanaume wa kuniiwaza na kunipa raha na si vinginevyo nimechoka kuwa mpweke awe na sauti nzuri ya kimahaba maumbile ya mvuto na kifua cha kuvutia asiwe mweusi sana
mwenye kupenda aje pm
Kama uko serious njoo pm ila mimi nitakuandaa kuwa mke kwa siku za usoni na si vinginevyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
a3ada12f309be19af333ef6853368031.jpg
Mungu anaziona struggle zako kwakweli akusaidie sana
hahahahahahahaaaa... aseeehh mambo ni motooo
inasaidia nini
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mashart kibaoooo wakati wew ndo mwenye shidaaaa.............msichana mwenye sura...nzuri....kitu gani kinakufanya usioleweeee.............

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yani wewe unalitupa lavu kwenye dastibini unategemea utapata lavu.......sahau.......
 
Embu litaje Jina Langu mpaka Mwisho unaharibuu ladha 😎😎😎
Me napenda kutaja majina kwa vifupi.
Mf
Joy
Dulla
Sam

Sa nkitaja lako kwa kifupi linapendeza saaana

Ku
Afu
Ndu

Yaaani


KUNDU
[emoji23] [emoji13] [emoji23] [emoji13] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Huy manzi si alishakuja na style kama 3 tayari za kutafuta bwana. Hii ya 4
 
Back
Top Bottom