Hili ni nenoMalaya tu huyo toka lini mwanamke akapata ujasili kujitafutia mume kwa namna hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda tu mkuu huenda bahati ikawa yako
Hata mimi nimesha lishitukia hii likiumbe. [HASHTAG]#nakwenda[/HASHTAG] ZimbabweUyu Dada namashaka nae unaweza kuta dume linataka piga pesaa tyu uko pm..MOD mshungulikieni uyu mtu
sent from my iPhone 6
UNA UMRI GANI?Najikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
Nipo mimi natafuta mke!, sharti langu lazima nionje mchuzi kama una chumvi ama laa..kama vp nikuje pm kwako tuyajenge...Najikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume