Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

mambo ya pm bila picha bana,unaweza kutumia nguvu kwelikweli kutongoza kumbe unamkomalia uliyempiga chini juzi
 
muwe mnaweka na sura zenu huku tuwaone.siyo mtu unaweka tangazo na masharti chungu nzima kumbe we mwenyewe sura na shepu kama tofali.shubaaaaamiiit
 
Binti yangu kihuba nimesoma kwa masikitiko sana, bahati nzuri nimekutana na Makahaba na nimeongea nao wengi sana, tumebadilishana mawili au matatu, wengi wanajutia, wengi wanalia bahati mbaya hakuna nafasi ya kurejea nyuma. Nakusihi sana sana, hilo wazo sio jema kabisa. Unataka upenedweje? Whitney Hauston (RIP) aliimba, The Greatest Love of All is learning to Love yourself, so Dear Learn to Love yourself, jione kuwa you are the best and usiruhusu mtu achukue furaha yako. Ndimi Elli
 
Najikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
Nipo mimi natafuta mke!, sharti langu lazima nionje mchuzi kama una chumvi ama laa..kama vp nikuje pm kwako tuyajenge...
 
Mapenzi ya kweli yanaanzia kwako...kuwa na mapenzi ya kweli wewe kwanza utampata tu alie tulia..mbna wanaume wanao jitambua wapo wengi sana

LOVE ABOVE ALL[emoji173]
 
Back
Top Bottom