Kama ni dushee mshauri akanunue dildo, maana hivi vitot vya siku hizi vimeharibika sanaSijuagi kwa nini kila siku unahangaika na huo upande ambao umeshaona huna bahati nao. Achana na mapenzi yatakuwehusha.
Kama muajiriwa tafuta shughuli nyingine ambayo utakuwa unaifanya kwenye muda wa ziada ili angalau uzidi kuwa busy mana kila siku mapenzi. Lol
Mpo na uzima wakuu leo naleta uzi kwenu,
Natafuta mume'
Mkristo na umri wake 29-40.
Awe maji ya kunde au mweupe.
NB: Mwenye sifa tuma picha yako na namba za simu jieleze kwa ufupi kuhusu wewe tofauti na hapo sito jibu sms yoyote.
Sifa zangu nina umri wa 26;
Mcheshi
Mnene kiasi
Mwenye msimamo thabiti
Siteteleki kwa mwanaume asiejielewa
Sina mtoto na sijawai zaa
Mweusi kiasi
NB; Napenda mziki, mtunzi wa story na ninapenda kupika sana nipo shap kwa kazi za nyumbani naweza kumlea mwanaume kama mtoto.
ana thread 5?? kuna shida hapoYaani haiingii akilini kabisa THREAD 5+ za kutafuta mchumba/mpenzi/mume ZOTE AMEKOSA??? HAPANA AISEE
kumbe ndo huyu?? labda ndo utungaji stori wenyewe anatufanyia hapaNafurahaa ya dhati kupata mwanaume mashine na mwenye mapenzi ya dhati
MAPENZI YA DHATI YAMEENDA WAPI ULIYOKUWA UNAMSIFIA ADAM
Shida inakuja wapi ujue,, ndani ya hizo 5 amekosa hata mmoja..huko PM si nahisi kulikuwa na mafuriko??ana thread 5?? kuna shida hapo
Huenda mkuu...you never knowkumbe ndo huyu?? labda ndo utungaji stori wenyewe anatufanyia hapa
hahahah aisee na kweliShida inakuja wapi ujue,, ndani ya hizo 5 amekosa hata mmoja..huko PM si nahisi kulikuwa na mafuriko??
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
ngoja tuone mwisho wake itakuwa vipihahahah aisee na kweli
Hili litakuwa popomaSijuagi kwa nini kila siku unahangaika na huo upande ambao umeshaona huna bahati nao. Achana na mapenzi yatakuwehusha.
Kama muajiriwa tafuta shughuli nyingine ambayo utakuwa unaifanya kwenye muda wa ziada ili angalau uzidi kuwa busy mana kila siku mapenzi. Lol
Kabisa yaani.Hili litakuwa popoma
Dada yake mambo..huyu ni mwanaume kaamua tu hakunaga mwanamke was kukazania kutafuta mpenz hivyo.Sijuagi kwa nini kila siku unahangaika na huo upande ambao umeshaona huna bahati nao. Achana na mapenzi yatakuwehusha.
Kama muajiriwa tafuta shughuli nyingine ambayo utakuwa unaifanya kwenye muda wa ziada ili angalau uzidi kuwa busy mana kila siku mapenzi. Lol