Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Sijuagi kwa nini kila siku unahangaika na huo upande ambao umeshaona huna bahati nao. Achana na mapenzi yatakuwehusha.

Kama muajiriwa tafuta shughuli nyingine ambayo utakuwa unaifanya kwenye muda wa ziada ili angalau uzidi kuwa busy mana kila siku mapenzi. Lol
Kama ni dushee mshauri akanunue dildo, maana hivi vitot vya siku hizi vimeharibika sana
 
Mpo na uzima wakuu leo naleta uzi kwenu,

Natafuta mume'

Mkristo na umri wake 29-40.
Awe maji ya kunde au mweupe.

NB: Mwenye sifa tuma picha yako na namba za simu jieleze kwa ufupi kuhusu wewe tofauti na hapo sito jibu sms yoyote.

Sifa zangu nina umri wa 26;
Mcheshi
Mnene kiasi
Mwenye msimamo thabiti
Siteteleki kwa mwanaume asiejielewa
Sina mtoto na sijawai zaa
Mweusi kiasi

NB; Napenda mziki, mtunzi wa story na ninapenda kupika sana nipo shap kwa kazi za nyumbani naweza kumlea mwanaume kama mtoto.

Kila la kheri
 
ana thread 5?? kuna shida hapo
Shida inakuja wapi ujue,, ndani ya hizo 5 amekosa hata mmoja..huko PM si nahisi kulikuwa na mafuriko??

Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
 
Sijuagi kwa nini kila siku unahangaika na huo upande ambao umeshaona huna bahati nao. Achana na mapenzi yatakuwehusha.

Kama muajiriwa tafuta shughuli nyingine ambayo utakuwa unaifanya kwenye muda wa ziada ili angalau uzidi kuwa busy mana kila siku mapenzi. Lol
Hili litakuwa popoma
 
..........................................

brain is the beautiful part of the body.
 
Sijuagi kwa nini kila siku unahangaika na huo upande ambao umeshaona huna bahati nao. Achana na mapenzi yatakuwehusha.

Kama muajiriwa tafuta shughuli nyingine ambayo utakuwa unaifanya kwenye muda wa ziada ili angalau uzidi kuwa busy mana kila siku mapenzi. Lol
Dada yake mambo..huyu ni mwanaume kaamua tu hakunaga mwanamke was kukazania kutafuta mpenz hivyo.
 
Habari yenu wana jf
Hahaaaaaaaaaaaaaaaa nafurai kukamilisha kutafiti wangu

Kwa jf kuna tabia inayojitokeza eti ukitoa tangazo la kutafuta mchumba wa kike au kiume basi watakaokuja pm itaitajika nguvu kubwa ya kuwabembeleza

"Sio wanapenda kuwa hivyo bali ni mgogoro wa saikolojia kwamba ikiwa mtu anatafuta basi ana shidaa hivyo thamani yake hushuka"

Ndio maana inatokea watu hawapati watu sahiii sana mara nyingi huwapata watu wenye mawazo mafupi ambao wakitegemea wakutanapo na watafuta weza basi watajishusha na kuwa kama wehu wa kujipendekeza kwa waliotafutwa

Ushauri wangu mbadilike acheni kukwama na hiii saikolojia

Ni kama mtu aliyesoma na asiyesoma lazima watajikuta na ugovi wa saikolojia tu na nyie ndo yanaowakuta
kihuba
 
Kwa hiyo kipindi kile ulikuwa unatuchora na huo utafiti wako kuwa unatafuta Mume au ??
 
Hata sisi tulikua tunakuchora tu,yaani tukutafute wewe tusiekujua?
Au hutujui sisi wanaume?
Unadhani Mungu alikosea kuanza kutuumba?
 
Majina yote umemaliza,mara
kihuba
monabir
mara unatafutia wadada wenzio wachumba,
tunakuona tu,tunakuona tu.unavyochunguza watu wasiochunguzika
 
Back
Top Bottom