KadogooCate
JF-Expert Member
- Dec 16, 2017
- 484
- 1,100
Umewaza kama mimi aiseeUkute ni mwanaume anatumia I'd ya kike tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewaza kama mimi aiseeUkute ni mwanaume anatumia I'd ya kike tu
Una chura?Mwenye mapenzi ya dhati anaitajika urefu futi 5 asiwe mwembamb wala mnne awe na kifua cha aja rangi yake awe maji ya kunde,
dini yake kristo ila RC watachukulwa kipao mbele hasa akiwa na mjasiliamali
Awe na uwezo wa kujitambua na kutambua majukumu yake ya familia.
Sifa zangu ni binti wa miaka 27 mpole,mcheshi na Mwenye msimamo thabiti,furaha yangu ni upendo na amani katika maisha yangu pia ni mpenzi wa biashara[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
Ntajibu pm30 za mwanzo tu karibuni wakui
100% I blv thatUmewaza kama mimi aisee
[emoji16] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bro..Hapo kwenye Kifua cha Aja amenitoa kwenye mashindano tayari..Mi nikutakie kila la kheri
Uko na 27 eeh alafu unasema utajibu first 30 messages as if ni nafasi ya ajira umetangaza[emoji23] [emoji23]Mwenye mapenzi ya dhati anaitajika urefu futi 5 asiwe mwembamb wala mnne awe na kifua cha aja rangi yake awe maji ya kunde,
dini yake kristo ila RC watachukulwa kipao mbele hasa akiwa na mjasiliamali
Awe na uwezo wa kujitambua na kutambua majukumu yake ya familia.
Sifa zangu ni binti wa miaka 27 mpole,mcheshi na Mwenye msimamo thabiti,furaha yangu ni upendo na amani katika maisha yangu pia ni mpenzi wa biashara[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
Ntajibu pm30 za mwanzo tu karibuni wakui
Mwananguu umefulah hatariiHahahahahahahahaha.......
Hivi hii kitu bado inaulizwa tena?Mabinti wanatolewa bikra wakiwa bado shule za misingi!!!Wewe unaiuliza kwa ji-ma-ma la 27 years?Acheni masihala bandugu!!!😀😀😀Una bikra?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]noma sana mzee babaUko na 27 eeh alafu unasema utajibu first 30 messages as if ni nafasi ya ajira umetangaza[emoji23] [emoji23]
Hivi ungekua marketable kiasi hicho ungefikisha 27 at home?
Chanzo cha wewe kufika 27 bila kuelewa ni kwa sababu You think you're beautiful and valuable such that most of men would compete for you.
Hayo ni marupurupu subiri gharika inakuja, at 30 utasema unajibu first 1000 messages[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hata wenzio walikua wanaringa hivyo hivyo siku ya siku wakasema wanahitaji mwanaume yeyote