Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Taja wasifu wako wa nje (USO nje) km urefu wako, rangi yako, unatokea ukanda gani, unajishughulisha na nn!! Nk
Mkuu hapo kwente, UKNDA Je, wewe nifundi wa Kudetect kama mimi? Coz demu akiniambia anatokea kanda ya kaskazini bajua how she looks like.

Kusini najuapia, so far napatapicha.
 
Wewe kimeo aisee, yaan mwanaume akuzalishe nanmtoto hatakiwi hata kuja kumwona. Utamlipa sh. Ngpi, na kama ni hivyo why usijilengeshe hata kwa mateja huyo ndo hatakufuatilia
 
Haa! Huyo mtoto utamlea kwa mbwembwe na bashasha utafika wakati hutaweza kumzuia kumtafuta baba yake .lamsingi kuwa mnyenyekevu muombe mungu akupe MTU utimize malengo yako.
 
Njoo pm
 
 
Mumeo Adam aliishia wapi baada ya kumpa kitumbua chako?
.
.
Usipotuliza akili watakufunua wanaume wote humu jf kasoro mimi na naniii....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…