Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Sifa tele mtu mwenyew ndo huyu
2bb2db3c89b2bfa9bc55fbff5695da01.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Huhuhuh acha utani wa shingo mkuu
 
Nipo na umri wa kuitaji kuitwa mama,na Mwenye kuitaji kuitwa baba aje pm
Umri 29-100 mie 27 mkristo rc atapewa kipao mbele mrefu kiasi maji ya kunde kifua cha mahaba
Mashine yake iwe imenyoka sitaki iliyo pinda
Awe muwazi
Mie mpole mcheshi na Mwenye msimamo thabit


Awe mchapa kazi haswa mjasiliamali
Mlango wazi pm
Sasa utajuaje kama mashine yake imenyooka au imepinda? Mtaonjana kwanza ndio mfunge ndoa?
 
Atarukwa roho na mangapi?
Yeye angetafuta kupendwa tu bwana. Pesa, majumba na Magari hayawezi chukua nafasi ya kupendwa, vijana wa siku hizi wanakosea sana.

Sie tunazeeshana taratibu kwa raha zetu.
Hehehehehe...endelea kumrusha mwenzio roho tu alfajit yote hii
 
Atarukwa roho na mangapi?
Yeye angetafuta kupendwa tu bwana. Pesa, majumba na Magari hayawezi chukua nafasi ya kupendwa, vijana wa siku hizi wanakosea sana.

Sie tunazeeshana taratibu kwa raha zetu.
Naww unajiona mzee?
 
Back
Top Bottom