Gezuz
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 1,010
- 1,349
Huhuhuh acha utani wa shingo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huhuhuh acha utani wa shingo mkuu
Hahaaaa ama kweli kaamulia JF, pamoja na kukazia kwa kila hzi bado hakuna aliejitokeza
Sasa utajuaje kama mashine yake imenyooka au imepinda? Mtaonjana kwanza ndio mfunge ndoa?Nipo na umri wa kuitaji kuitwa mama,na Mwenye kuitaji kuitwa baba aje pm
Umri 29-100 mie 27 mkristo rc atapewa kipao mbele mrefu kiasi maji ya kunde kifua cha mahaba
Mashine yake iwe imenyoka sitaki iliyo pinda
Awe muwazi
Mie mpole mcheshi na Mwenye msimamo thabit
Awe mchapa kazi haswa mjasiliamali
Mlango wazi pm
Kama huko mtaani kwenu hawataki kuzaa naww ujue una matatizo
Asbh yote hii...nmepata wasiwasi kuna kitu kimekuamshaLabda anakaa mtaa wa wakurya, hakuna mweupe ama shombeshombe 5' 00"
Hajui anaidhulumu nafsi yake kwa kukosa kupendwa. Kupendwa raha sana aisee
Hehehehehe...endelea kumrusha mwenzio roho tu alfajit yote hii
Naww unajiona mzee?Atarukwa roho na mangapi?
Yeye angetafuta kupendwa tu bwana. Pesa, majumba na Magari hayawezi chukua nafasi ya kupendwa, vijana wa siku hizi wanakosea sana.
Sie tunazeeshana taratibu kwa raha zetu.
Vijana wanataka fursaHaya, kama sio kudhulumu nafsi nini hii.
Changamkia tender hapa
Natafuta gal wa kuliwazana nae awe mjasiriamali
Naww unajiona mzee?
Hehehehe shauri yakoTumekula chumvi baba. Basi tu mioyo yetu inafanya ujana wetu urejezwe kama tai.
Acha uchonganishi mwanamke...unamfitinia hata ndugu yako mimi sio kwamba sijaona ila nimejitia kutokuona