Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu


Mimi kila kitu kiko sawa tatizo mashine kupinda
 
Sijakuelewa kwahiyo kabla ya ndoa unataka kutiwa kusex kwanza maana unavyosema unataka mashine ilinyooka haiwezekani mtu akuoneshe mashine kabla hajakuduu
 
Pw
 

Iliyo pinda ina kuumiza eeee?
 
Shughuli ipo!
 
Elezea sifa zako kwanza mama angu kuwasaidia vijana, wape sifa zako kwa ufupi ili ambao wataona hamuendani wasikusumbue.

Ukiweka tu tangazo bila vigezo na masharti unajikuta wanaokuja ndio hao unaosema hawafai.

Weka conditions zako, mtu umtakae na wewe jinai ulivyo kwa ufupi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…