MI NILIJUAGA masikhara asee haya mambo........past two weeks nilikutana na bint mmoja hvi katika fukwe moja huku upande wa kigamboni.........tukakaa nkamkaribisha vinywaji tukanywa kwa mda mrefu tu......badae kinywaji kilivokolea tukakubaliana akalale kwangu..............................huez amin yule bint analalamika kama ww anataman nimuoe au hata kama mi cwez basi kama nna rafiki yangu ambaye yupo loose nimpe amechoka kuwa mpweke.....POLE SANA JIFUNZE KUMPA MWANAUME KILA KITU HUWA TUNAPAGAWAGA SISI.Najisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
Sasas mtani si ufanye fanye basi makalatee umuoe kihuba?!nilivyoona title tu nikajua lazima atakuwa kihuba
cc kihubaTrue ana thread kama 5+ za kutafuta Mume ila cha ajabu hadi leo hajapata... Kuna tatizo mahali inabidi aliseme na awe muwazi (asaidiwe)la sivyo kila siku atajilaumu
Umeweka vigezo vingi mnoNajisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
Kusalitiwa haikwepeki kinachotakiwa ni kuheshimiana.Unasema unaishi pekee yako huku **** yako Kila mtu anagegedaBora uwe mwenyewe kuliko uje unase kwa dume kama gudume!utasalitiwa hadi ujute kumfaham
Pole sana na Mahangaiko ya Dunia!Najisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
Adam kakuacha, baada ya majigambo yote hayo!Najisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
Muoe basii[emoji17] [emoji17]Wakuu dada yuko siriaz huyu..
Najisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
Mi nna mmke...na hayuko tayari kuwa mchepukoMuoe basii[emoji17] [emoji17]