Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Najisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
MI NILIJUAGA masikhara asee haya mambo........past two weeks nilikutana na bint mmoja hvi katika fukwe moja huku upande wa kigamboni.........tukakaa nkamkaribisha vinywaji tukanywa kwa mda mrefu tu......badae kinywaji kilivokolea tukakubaliana akalale kwangu..............................huez amin yule bint analalamika kama ww anataman nimuoe au hata kama mi cwez basi kama nna rafiki yangu ambaye yupo loose nimpe amechoka kuwa mpweke.....POLE SANA JIFUNZE KUMPA MWANAUME KILA KITU HUWA TUNAPAGAWAGA SISI.
 
Bora uwe mwenyewe kuliko uje unase kwa dume kama gudume!utasalitiwa hadi ujute kumfaham
Kusalitiwa haikwepeki kinachotakiwa ni kuheshimiana.Unasema unaishi pekee yako huku **** yako Kila mtu anagegeda
 
Jamani wanajamii, watu wanachanganya sana konsonanti "u" na "hu". Sasa Dada anasema kama una mchumba njoo, hapana anamaanisha kama huna mchumba, ndo maana anasema kama unataka kuoa, hapa Yupo sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…