Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Ukishusha miaka unicheki pm
 
Umeusha kuwa kiporo nani akuoe wewe..! Tulia utafute mgane ukamalizie uzee wako huko...!
 
Toa na we sifa zako km zinakidhi masharti na vigezo!sio unachagua mwanaume unaemtaka asie na kasoro wakati we uko binadam wa kale.
Sisi vidume ndio umeona wa kuoa demu libovu ila nyie mchague mzuri mnaetaka shubamiiitt hata si tunataka vizuri hata km wabaya
 
Haya matangazo nashauri muwe mnaweka na picha zenu, siyo mnaleta story nyingi mnawapa vijana kazi ya kuanza kuingia huko PM.

Mwanamke anayejiamini anajiachia tu! Kutokana na mambo yalivyo sasa ni ngumu sana mtu mwenye uhitaji kuja huko pm maana yawezekana mkawa mawindoni kusaka tarakimu za raia humu.

Bon voyage..., utampata tu kwenye muda sahihi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…