Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Niache hizo zipi?Babu acha hizo bahna[emoji12] [emoji12]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niache hizo zipi?Babu acha hizo bahna[emoji12] [emoji12]
Ukishusha miaka unicheki pmHabari zenu wadau
Naimani mu wazima wa afya,nimejitokeza tena kuwapa nafasi wale ambao wanataka kuoa mwaka 2018,sifa awe na rangi ya maji ya kunde au mweupe mrefu na mwili wa haja, umri 29--- christian RC atachukuliwa kipao mbele
Sitaki awe na mali nyingi mali ntatafuta nae mimi moja mpaka mia awe mjasiliamali,pombe,sigara asitumie
Ntampa mapenzi ya dhati kama akiwa na sifa za kiume zote.
Sifa zangu mpole mwenye mapenzi ya dhati nikipenda nimependa ila kinyume na hapo mwepesi kuchukua maamudhi ya kuto kuludi nyuma kwa mtu mludiaji wa kosa nina msimamo thabiti pia
sio utani mwenye nia aje pm ukija kimasiara ntakupuuuza
Maneno rahisi tu hayo, Sema enzi zenu haya kuepo HayaNiache hizo zipi?
Umeusha kuwa kiporo nani akuoe wewe..! Tulia utafute mgane ukamalizie uzee wako huko...!Habari zenu wadau
Naimani mu wazima wa afya,nimejitokeza tena kuwapa nafasi wale ambao wanataka kuoa mwaka 2018,sifa awe na rangi ya maji ya kunde au mweupe mrefu na mwili wa haja, umri 29--- christian RC atachukuliwa kipao mbele
Sitaki awe na mali nyingi mali ntatafuta nae mimi moja mpaka mia awe mjasiliamali,pombe,sigara asitumie
Ntampa mapenzi ya dhati kama akiwa na sifa za kiume zote.
Sifa zangu mpole mwenye mapenzi ya dhati nikipenda nimependa ila kinyume na hapo mwepesi kuchukua maamudhi ya kuto kuludi nyuma kwa mtu mludiaji wa kosa nina msimamo thabiti pia
sio utani mwenye nia aje pm ukija kimasiara ntakupuuuza
Anhaa.... basi sawa.Maneno rahisi tu hayo, Sema enzi zenu haya kuepo Haya
Wewe tu ila kama hela za pension zipo barida tuAnhaa.... basi sawa.
Ila mi bado nakupenda. Jitahidi tulirudishe penzi letu
Sijachukua hata nusu ya robo. Infact natafuta mtu wa kunisaidia kutapanya maliWewe tu ila kama hela za pension zipo barida tu
Shaka ondoaSijachukua hata nusu ya robo. Infact natafuta mtu wa kunisaidia kutapanya mali
Naam! Umeniita mkuuBeinsingle
Nimekuja fastabeingsingle unaitwa huku na mdau.