Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

VigeZo vyote nimetimiza kasoro cha urefu tu...mim ni mrefu mno
Wewe ni dume, bisha
Jamaa.ana miaka mi 3 anatafuta tu
 

Umecopy na kupaste kutoka kwa kihuba ama ni wewe huyo kihuba
 
Umecopy na kupaste kutoka kwa kihuba ama ni wewe huyo kihuba
Unalo lingine la kusema?
Huyu dada kaanzia mbali sana.
Na c ajabu anaweza kuwa asiyr julikana!!
 

Ungeweka tu hiyo link ulivyotuquote

Kuanza mbali sio big deal hata wewe uwezo wa kuanza mbali unao
 
We fundi wa masiara utaiweza ndoa. Maana ndoa haitaji masiara. Kila la kheri lakini katika mawindo yako.
 

Mrejesho huu ungetupia na kapicha ungependeza kweli [emoji3]
 
Bikra ipo
 
Weka picha ndio tuje PM,utaanzaje kupropose kununua kitu hukijui wala hujawahi kukiona??,"NDIO YALE YA KUUZIWA MBUZI KWENYE GUNIA UNAKUTA NI KONDOO"
 
Ah Jisemee mwenyewe!!
Mbona wengine hawajalalamika?
Ungeweka tu hiyo link ulivyotuquote

Kuanza mbali sio big deal hata wewe uwezo wa kuanza mbali unao
Cm yangu mkono n wangu
Nauwezo wa ku quote watu wote na hakuna wa kunizuia
 
nakuombea kwa Mungu akupe hitaji la moyo wako....ila nadhani huku mitandaoni sio sehemu sahihi.....ina maana mtaa unaoishi hakuna wanaume...? yani kuja kuwazalilisha wanaume wa mtaani kwenu...?
 
Boss we si una mke yule mwenye miaka 19?
Cc Marianah

Mkuu mimi sina sifa tajwa hapo juu. Hasa sifa ya Umri. Nimemuita PM kwa makusudi ya kuona kama tutasaidiana vipi. Yeye anakuja na habari ya kumkosa. Mimi sijawahi kosa nikitakacho(Sio kwa umuhimu).

Nina kaka zangu kadhaa nao wanatafuta Wake. Kaka yangu mmoja yupo NSSF anamtoto mmoja. Anahangaika kutafuta Mke huu mwaka wa Pili.

Mwanamke aliyezaa naye ni moja ya waandishi wa habari katika moja ya Chombo kikubwa cha habari. Wameachana.

Kaka yangu wa pili ni Mwalimu. Yupo Dsm. Naye anatafuta mke. Anamtoto mmoja ambaye ninaishi naye hapa na Mke wangu.

Nina mabraza wengi. Sasa mtu unamwambia njoo Pm tujue tunasaidiana vipi kwani huwezijua Mipango ya Mungu. lakini anadhani kila anayeenda PM ni mhuni mhuni tuu.
 
Mkuu niunganishie kaka yako mmoja kama hao kaka zako wako tofauti na wewe
 
Me nilikosa sifa kwenye kabila leo tena nimekosea sifa kwenye rangi. Mimi ni mweupe haswaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…