Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Moja awe mwanaume mwenye mvuto, mweupe ikiwezekana shombe kabisa ulefu futii 5
Baada ya hapo mahusiano yafe.
mtoto ntamlea mwenyewe.
Sitaki kufatiliana kwa lolote
Mwenye sifa hizo ani pm haraka ntajibu sms 20 tu za mwanzo sitaki blabla nyingi na maswali mengi pm
Kama unazalisha njoo pm sema nazalisha tuma picha na namba yako ntakutafuta mimi nikivutiwa na picha yako
Narudia sitaki maneno mengi pm
sms ya kwanza andika nazalisha
ya pili tuma picha
ya tatu namba yako ntachagua mimi wa kuzaa nae


PM IPO WAZI

Kwa lipi sasa?? Yaani wewe unadhani kwanini watu wanashida ya kuzaa na wewe? wewe una vigezo gani? kama hata kupata mchumba tu umeshindwa?
Weka vigezo vyako tuone kama kuna haja hata ya kuja huko PM, maana kukosa mchumba kabisa laweza kuwa tatizo, ikiwezekana wewe pia weka picha...
 
Wewe mbona husemi ukoje? Hata mwanaume hataki kuzaa na mwanamke mbaya

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Hawa ndo wanaoharibu image ya jf. Kwel mtaan kwako umekosa wa kukupa mimba?....na kiuhalisia hamna mwanaume atakaekataa ukijilengesha lkn kuja kutaftia humu it means kuna kitu nyuma ya pazia. Kazana utampata tuu ukikosa pambana na genye zako
 

Attachments

  • IMG_20170804_102016_163.jpg
    IMG_20170804_102016_163.jpg
    92.9 KB · Views: 88
Maeneo unapoish wamekupotezea ausio, pole lakini

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
ewaaaaaaaaaaaa kumbuka mwanamke ata awe kichaaa anapata mwanamke zikiwapanda hamchaguiii
 
Moja awe mwanaume mwenye mvuto, mweupe ikiwezekana shombe kabisa ulefu futii 5
Baada ya hapo mahusiano yafe.
mtoto ntamlea mwenyewe.
Sitaki kufatiliana kwa lolote
Mwenye sifa hizo ani pm haraka ntajibu sms 20 tu za mwanzo sitaki blabla nyingi na maswali mengi pm
Kama unazalisha njoo pm sema nazalisha tuma picha na namba yako ntakutafuta mimi nikivutiwa na picha yako
Narudia sitaki maneno mengi pm
sms ya kwanza andika nazalisha
ya pili tuma picha
ya tatu namba yako ntachagua mimi wa kuzaa nae


PM IPO WAZI
Weka namba, tuwasiliane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ewaaaaaaaaaaaa kumbuka mwanamke ata awe kichaaa anapata mwanamke zikiwapanda hamchaguiii
Poa njoo PM basi mimimuarabu ila nawewe uwe mzuri kinyume na hapo utatoa kiasi cha pesa kikubwa ili nikupe mimba

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
hahaha kwa huu ujeuri ulojaa kwenye uandish wako inaelezea kwann hupati mume na naamin hata huyo wa kukuzalisha utamkosa pia

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaonekana una kiburi sana. (Hii ni kutokana na maandishi yako). Ninaweza nikawa mtabiri ktk hili. Watakuja kula tunda na kuondoka hawatakaa. Hata hivyo hilo ndio hitaji lako la moyo. Ila kumbuka Mungu humpa mja wake kile anachokikiri mara kwa mara toka moyoni mwake. So don't get suprised when you çan't sustain a stable relationship. All the best.
 
Back
Top Bottom