Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Hii ni thread ya 6 uliyoanzisha, na zote unataka mwanaume. Ni jambo jema, ila mimi naomba akikosa mume, utafute majibu ya maswali yafuatayo:
1. Je, Ndoa ni mpango wa Mungu au mwanadamu?
2. Je, Mungu aliyekupa ulivyonavyo kwa nini hakukuamini kupita kiasi akakupa kwa wakati uupendao?
3. Ni udhaifu upi unaofanya wanaume wanaokufahamu wasikuoe mpaka utafute huku? Unaweza kufanya lipi ubadilike?
Huyu anacheza na akili za wanaume wa jf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Avatar yako inakuhukumu mkuu....mana inaonyesha waziwazi unatupa LOVE kwenye dustbin....so what goes around comes around.....badilisha avatar utapata mume...otherwise utasugua bench mpaka utasanda....
 
Hongera sana.
Kila la kheri.
Utapata tu mume humu humu JF.

Baadhi ya sifa hapo nazikosa, ningekuwa nazo huenda ningejaribu bahati yangu.
 
Yani Wiki moja tu ya kutafuta umekata tamaa??
Kuna watu wako na miaka 7 na bado wanatafuta
Mwanaume rijali hawezi kukubali kuzaa na stranger aafu asije kujua mtoto wake ataendeleaje.

Huwa nawaogopa Sana wanawake wanaojiita wako vizuri na wanataka kutiwa mimba tu. Akishajua ana mimba Maisha yako yapo hatarini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wanachama wa JF,

Natafuta mwanaume ambae Mungu akitujalia awe mwana ndoa wangu, umri kuanzia miaka 27 kuendelea, awe na kazi yoyote inayo weza kumuingizia kipato kujituma maji ya kunde urefu futi 5, Mkiristo awe na mapenzi ya dhati.

Kwa upande wangu sijawahi zaa, sijawahi olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.

Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm
Karibuni mliovutiwa na ujumbe wangu
Mungu awabariki sana
 
Back
Top Bottom