Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,804
- 10,715
Huwezi kupata mwanamume wa ukweli kwa sababu wewe sio mwanamke wa ukweli. Mwanamke wa ukweli hawezi wazia ujinga huu. Wewe na wa hit and run [emoji125]Najikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume