Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binti yangu tulia,Najikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
Hawaogop ukimwi labda ARV ziondoleweEndelea tuu ukishapata UKIMWI utakuja na uzi mwingine ukisema unatamani kuokoka kwani huoni kigeni kwenye maisha kama ni ufuska umeshafanya sana
What do you mean uwe kahaba tu? Ukahaba ni tatizo. Bora kujibanza nyuma ya tela wakati lori linaenda taratibuNajikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
good pointmkuu kwanza kabisa jikubali acha kukata tamaa kizembe watu wanalilia jinsi ulivyo we unataka kujirahisisha.
azae na nani sasa? NAULIZA tu mieunatamanije kuwa kahaba? ndugu yangu unaumri gani na elimu yako kazi yako jee? vinatosha kukufariji ukivuta muda mzuri kwako atatokea tuu.ukahaba haupendezi kwanza hata nafsini tu.ukiona hatokei chukua nafasi zaa mtoto wako nahakika atakuelekeza namna ya kuishi kuliko ukiwa bila mtoto na upweke.ukizaa utajipenda na kujitunza kwa dhamana ya ulezi wa mtoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
unajua kuwa lonely ni ugonjwa mkubwaIla kuna watu mnashangaza ina maana furaha yako ipo kwa mwanaume? Hebu kua busy na kutafuta hela na maendeleo utampata mwanaume unaemtaka...hao wanaume wenyewe.... siku hizi wanapenda kulelewa....
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana. Vuta subira utapata tu.Najikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
Najikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
Mteja nipo wewe tu!Najikuta natamani kuwa kahaba tu kwakuto kupata mwanaume wa kweli naombeni ushauri wenu maana nimesha kata tamaa na hawa wanaume
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kama nakupata hivii!ooooohhhh
hawaja respond kwenye ombi lako jomoni
[emoji1] [emoji1]Usiwe kwanza kahaba, naomba hiyo nafasi.. Wenye mapenzi ya kweli bado tupo..