Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una umri gani mama?Najisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
Weka pichaNajisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
NipmNajisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
Unaweza kukuta ni kabinti ka miaka 19 tu. Haya maisha yanabadilika kwa kasi sanaPole mwaya
Siku zote zijunze kuamini kuwa kila jambo linawezekana.
Kulalamika na kulaumu haisaidii, ifike mahali umuombe Mungu wako, mueleze hitaji lako mama... Amini yuko wako mahali ni muda tuu haujafika!!!
Punguzeni maringo,tamaa,jeuri,kiburi na uhuni usio na maana ujiweke kuwa wife material utapata mume wengi wenu huwa hamujielewi ndio maana mnaishiwa kutumika na kutemwaNajisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
[emoji3] [emoji3]Bora uwe mwenyewe kuliko uje unase kwa dume kama gudume!utasalitiwa hadi ujute kumfaham
Sio rahisi bwana!!!Unaweza kukuta ni kabinti ka miaka 19 tu. Haya maisha yanabadilika kwa kasi sana
Ushauri wa kuushika ni huu unajua Mungu hachoki kuombwa bali anafurahi mja wake kumuomba rudi kwake tu utafanikiwa kwan uko mji gan wwPole mwaya
Siku zote zijunze kuamini kuwa kila jambo linawezekana.
Kulalamika na kulaumu haisaidii, ifike mahali umuombe Mungu wako, mueleze hitaji lako mama... Amini yuko wako mahali ni muda tuu haujafika!!!
Kutokana na maandiko ya Qur'an " hakika ya kila binadam anaijua nafsi yake" basi bila ya shaka unalijua ttz liko wapi solve ttz utapata mume.Najisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
Pole. Kuna tatizo unalo. Watakiwa ufundwe kidogoNajisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke
Maandiko yanasema mke mwema anatoka kwa BWANA, naamini hata mume mwema anatoka kwa BWANA. Mpelekee Mungu dua zako naye atakupa haja za moyo wako.Najisikia kulia tuuuuu nimechoka kuwa mpweke