Baada ya kukosa ushawishi kwa Wananchi, CHADEMA sasa wanaishitaki Serikali kwa Wazungu

Baada ya kukosa ushawishi kwa Wananchi, CHADEMA sasa wanaishitaki Serikali kwa Wazungu

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,506
Reaction score
16,003
Ndugu zangu,

Laana ya usaliti ni mbaya, enzi zile za Dr. Slaa, Chadema ilikuwa inategemea umma kwa dhahma yoyote waliyopata ungesikia "tunaenda kushtaki kwa wananchi" na kweli Serikali ingebadili msimamo.

Chadema hii ya sasa jambo lolote utasikia akina Lissu wakisema "tumesambaza barua kwa mabalozi wote wa EU na US pamoja na media zote za kimataifa kuishitaki serikali, ikose misaada na wazuiwe kusafiri"

Nataka niwafundishe hata hao mabwanyenye wakifanya utafiti wakigundua hamna ushawishi kwa wananchi walio wengi watawapuuza.

Hili la kukosa watu ni matokeo ya tamaa ya fedha mlioonyesha kwenye siasa za uchaguzi wa mwaka 2015 na kuendelea.
 
Acha hoja zisizo na mashiko. Uhuru wetu ulitokana na usaidizi wa mnaowaita mabeberu. Sio watu wote ni wajinga utawadanganye
 
Ndugu zangu,

Laana ya usaliti ni mbaya, enzi zile za Dr. Slaa, Chadema ilikuwa inategemea umma kwa dhahma yoyote waliyopata ungesikia "tunaenda kushtaki kwa wananchi" na kweli Serikali ingebadili msimamo.

Chadema hii ya sasa jambo lolote utasikia akina Lissu wakisema "tumesambaza barua kwa mabalozi wote wa EU na US pamoja na media zote za kimataifa kuishitaki serikali, ikose misaada na wazuiwe kusafiri"

Nataka niwafundishe hata hao mabwanyenye wakifanya utafiti wakigundua hamna ushawishi kwa wananchi walio wengi watawapuuza.

Hili la kukosa watu ni matokeo ya tamaa ya fedha mlioonyesha kwenye siasa za uchaguzi wa mwaka 2015 na kuendelea.
Mnaandikaga huku mnakunya au, nadhan uko kazini wewe
 
Acha hoja zisizo na mashiko. Uhuru wetu ulitokana na usaidizi wa mnaowaita mabeberu. Sio watu wote ni wajinga utawadanganye
Hebu nieleweshe hapa kwenye Mabeberu kusaidia Tanzania (Tanganyika) kua huru.
 
Hahaha, Wakudadavuwa ukikomalia kitu sidhani hata kama huwa unalala, umeamka tu kitu cha kwanza CDM. Jamaa yako Barbarosa yupo wapi siku hizi? Haonekani jamvini
 
Acha hoja zisizo na mashiko. Uhuru wetu ulitokana na usaidizi wa mnaowaita mabeberu. Sio watu wote ni wajinga utawadanganye
Uhuru wetu haujatokana na usaidizi wa mabeberu! Usipotoshe. Nafikiri hujui maana ya mabeberu. Ni kama, ukiibiwa mali zako baadae ukazipigania na ukazipata, huwezi kusema unawashukuru wezi - maana wamekusaidia kupata mali zako.
 
Ndugu zangu,

Laana ya usaliti ni mbaya, enzi zile za Dr. Slaa, Chadema ilikuwa inategemea umma kwa dhahma yoyote waliyopata ungesikia "tunaenda kushtaki kwa wananchi" na kweli Serikali ingebadili msimamo.

Chadema hii ya sasa jambo lolote utasikia akina Lissu wakisema "tumesambaza barua kwa mabalozi wote wa EU na US pamoja na media zote za kimataifa kuishitaki serikali, ikose misaada na wazuiwe kusafiri"

Nataka niwafundishe hata hao mabwanyenye wakifanya utafiti wakigundua hamna ushawishi kwa wananchi walio wengi watawapuuza.

Hili la kukosa watu ni matokeo ya tamaa ya fedha mlioonyesha kwenye siasa za uchaguzi wa mwaka 2015 na kuendelea.
Ni hivi kwa taarifa yako:
1. Kitendo cha Samia kumfunga Mbowe kimezidisha uamsho wa watanzania kuipenda Chadema na Mbowe.
2. Samia alikuwa ameanza kujijengea heshima kubwa na kukubalika kwa watanzania wengi, sasa amenyea kambi kwa kumfunga Mbowe maana wanaona ni kuwa ameonewa hawezi kuwa gaidi
3. Ukitaka kuona kuwa chadema inakubalika, itisha uchaguzi huru na haki tumalize ubishi.
4 Mwisho: Mapenzi kuwa nayo kwa uwpendao including CCM lkn usiwe lofa hata kwa vitu ambavyo viko wazi.
Vipi Samia amekusahau?
 
Ni hivi kwa taarifa yako:
1. Kitendo cha Samia kumfunga Mbowe kimezidisha uamsho wa watanzania kuipenda Chadema na Mbowe.
2. Samia alikuwa ameanza kujijengea heshima kubwa na kukubalika kwa watanzania wengi, sasa amenyea kambi kwa kumfunga Mbowe maana wanaona ni kuwa ameonewa hawezi kuwa gaidi
3. Ukitaka kuona kuwa chadema inakubalika, itisha uchaguzi huru na haki tumalize ubishi.
4 Mwisho: Mapenzi kuwa nayo kwa uwpendao including CCM lkn usiwe lofa hata kwa vitu ambavyo viko wazi.
Vipi Samia amekusahau?
Raisi kvp kamfunga mboye mbona mna mzingizia Samia watu
 
Nimekuja kugundua kumbe mihogo na samaki wakavu uweke na kachumbari vinashuka sana
 
Ni hivi kwa taarifa yako:
1. Kitendo cha Samia kumfunga Mbowe kimezidisha uamsho wa watanzania kuipenda Chadema na Mbowe.
2. Samia alikuwa ameanza kujijengea heshima kubwa na kukubalika kwa watanzania wengi, sasa amenyea kambi kwa kumfunga Mbowe maana wanaona ni kuwa ameonewa hawezi kuwa gaidi
3. Ukitaka kuona kuwa chadema inakubalika, itisha uchaguzi huru na haki tumalize ubishi.
4 Mwisho: Mapenzi kuwa nayo kwa uwpendao including CCM lkn usiwe lofa hata kwa vitu ambavyo viko wazi.
Vipi Samia amekusahau?
Mwambie a some CV kwa huyo anayejipendekeza atagundua kitu muhimu sana
 
Ndugu zangu,

Laana ya usaliti ni mbaya, enzi zile za Dr. Slaa, Chadema ilikuwa inategemea umma kwa dhahma yoyote waliyopata ungesikia "tunaenda kushtaki kwa wananchi" na kweli Serikali ingebadili msimamo.

Chadema hii ya sasa jambo lolote utasikia akina Lissu wakisema "tumesambaza barua kwa mabalozi wote wa EU na US pamoja na media zote za kimataifa kuishitaki serikali, ikose misaada na wazuiwe kusafiri"

Nataka niwafundishe hata hao mabwanyenye wakifanya utafiti wakigundua hamna ushawishi kwa wananchi walio wengi watawapuuza.

Hili la kukosa watu ni matokeo ya tamaa ya fedha mlioonyesha kwenye siasa za uchaguzi wa mwaka 2015 na kuendelea.

Hivi wewe mzee mwenzangu bado uko kwenye siasa tuu? Staafu utafute kitu kingine cha kufanya.....Maisha yanakwenda hivo....
Ni ushauri tuu...
 
Kamanda hadi sasa Rais Samia anaupiga mwingi kwelikweli
Ni hivi kwa taarifa yako:
1. Kitendo cha Samia kumfunga Mbowe kimezidisha uamsho wa watanzania kuipenda Chadema na Mbowe.
2. Samia alikuwa ameanza kujijengea heshima kubwa na kukubalika kwa watanzania wengi, sasa amenyea kambi kwa kumfunga Mbowe maana wanaona ni kuwa ameonewa hawezi kuwa gaidi
3. Ukitaka kuona kuwa chadema inakubalika, itisha uchaguzi huru na haki tumalize ubishi.
4 Mwisho: Mapenzi kuwa nayo kwa uwpendao including CCM lkn usiwe lofa hata kwa vitu ambavyo viko wazi.
Vipi Samia amekusahau?
 
Unafanya nini humu mstaafu?sio kila Mzee anastaafu Namhala!
Hivi wewe mzee mwenzangu bado uko kwenye siasa tuu? Staafu utafute kitu kingine cha kufanya.....Maisha yanakwenda hivo....
Ni ushauri tuu...
 
Back
Top Bottom