Baada ya kukutana na Beyonce na Jay Z, NBA yamkutanisha Jokate na Thierry Henry

Picha ya kwanza naona kidari cha Jo kimenatana na kifua cha Chogo.

Picha ya pili mkono mmoja wa Jo kauzungusha kabisaa kwenye mstari wa Ikweta.
 
Reactions: MC7
Cheki alivyoshikwa shikwa kiuno.

Wanawake wetu wa kitanzania wanapenda sana kujirahisisha kwa mastaa yaani mpaka wanaboa.
 
Jokate inaelekea ajamvizia mpaka kapiga pichaa na nguo tofautii

sent from my iPhone 6
 
my dream girl.. kama ningekuwa vizuri..

in life fight to be a boss then date a boss.. hata watoto wenu watakuwa ma bosss..

ndio maana waarabu kina lake oil, home shopping wanaoana wao kwa wao kuondoa shida kuingua koo zao

demu juz alikwa usa anachejmk nba all star.. jana south africa.. baada ya wiki utamuona china ananunua kidoti stuffs.. yaani full bata na maujanja..
 
Kinacho nshangaza Joketi kabadilisha Nguo jamaa ana zilezile, Ngoja nipige Balimi kwanza za hapa Chato kisha nakuja kutos maamuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…