Baada ya kuliona Kundi letu F la Kufuzu AFCON 2023 lilivyo, nashauri tujiandae zaidi na lile la 2025 kwani kwa hili hatutoboi ng'o

Baada ya kuliona Kundi letu F la Kufuzu AFCON 2023 lilivyo, nashauri tujiandae zaidi na lile la 2025 kwani kwa hili hatutoboi ng'o

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Yaani Tanzania hii ya Mabeki wabovu akina Dickson Job na Bakari Nondo Mwamnyeto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Yaani Tanzania hii ya Kiungo mbovu na Mrembua Macho muda wote Feisal Salum Fei Toto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Yaani Tanzania hii yenye Wachezaji wabovu kama akina Farid Mussa, Zawadi Mauya na Kibwana Shomary ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Tanzania itashinda tu ( na hata kuwa Bingwa wa AFCON 2023 ) kama tu Wachezaji 12 Wazawa wa Simba SC wataitwa kwani kwa Experience na Exposure Kubwa waliyonayo nina uhakika wa 100% kuwa Tanzania ( Taifa Stars ) itakuwa Bingwa kama ambavyo Simba SC nayo inaenda kuwa Bingwa wa CAFCC baadae mwaka huu wa 2022.
 
Tukiondoa ushabiki wa Simba na yanga (kwangu ningependa clubs hizi ziendeshwa zaidi kama kampuni au vibinafishwe)timu yetu ya taifa kwa Africon tumo kundi gumu mno, tujiandae mapema
 
Hapa kama uganda anapig mahesabu yake ya point sita za tanzania, na point moja moja kwa niger na algeria za nyumbani.....hapa tukune mbupu tuu
 
Hapa kama uganda anapig mahesabu yake ya point sita za tanzania, na point moja moja kwa niger na algeria za nyumbani.....hapa tukune mbupu tuu
Ndugu yaani nimecheka mpaka basi kwa hii Comment yako. Kuna Watu mlifaa sana muwe Comedians ili mtuongezee Siku za Kuishi.
 
Ndugu yaani nimecheka mpaka basi kwa hii Comment yako. Kuna Watu mlifaa sana muwe Comedians ili mtuongezee Siku za Kuishi.
Mzeya tunaweka kama jokes ila inauma sana...yaanni kweli ka nchi kama comoros kanatuzidi sie kweli?
Wewe utapata timu gani nzuri ya taifa wakati tanzania football failures wanaruhusu usajiri wa wachezaji wakigeni 10.

Seriously juzi katika infield players wa simba only 3 ndio wabongo walioanza kweli una expect kufanya vizuri kwa national team? Tutaishiaga na kamati zetu za kukuna mbupu tuu
 
Hahaha

Unaichangamsha sana jf

Tutawaomba mods wapunguze kukupiga ban za mara Kwa mara
 
Mzeya tunaweka kama jokes ila inauma sana...yaanni kweli ka nchi kama comoros kanatuzidi sie kweli?
Wewe utapata timu gani nzuri ya taifa wakati tanzania football failures wanaruhusu usajiri wa wachezaji wakigeni 10...
Acha chuki za hovyo wageni ligi nzima hata hamsini hawafiki huku wazawa wapo zaidi ya mia tano halafu unalalamikia Simba na Yanga wangekuwa na viwango hao wazawa wako timu zao zingefanya vizuri kwenye ligi
 
Mzeya tunaweka kama jokes ila inauma sana...yaanni kweli ka nchi kama comoros kanatuzidi sie kweli?
Wewe utapata timu gani nzuri ya taifa wakati tanzania football failures wanaruhusu usajiri wa wachezaji wakigeni 10.

Seriously juzi katika infield players wa simba only 3 ndio wabongo walioanza kweli una expect kufanya vizuri kwa national team? Tutaishiaga na kamati zetu za kukuna mbupu tuu
Wazawa wanashindwa nini kuwa bora kama hao wageni, kwanza wageni wameubadilisha sana mpira wetu hadi simba anaota kuingia nusu fainali na hatimaye achukue ubingwa.
 
we jamaa una gubu la chuki kinoma wewe kwako huoni jema wala zuri unakuwa mtu wa kukandia tu unawaza mabaya mda wote huyo mkeo sijui anawezaje kuishi na mtu mwenye chuki kwa hata usivyovijua hatima yake utadhani wewe ndo utakuwa uwanjani kucheza! eti mwenyewe unajiona umeandika point kabisa hapo nyie ndo mnaitia gundu timu kwa mineno yenu hiyo..
 
Back
Top Bottom