MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Yaani Tanzania hii ya Mabeki wabovu akina Dickson Job na Bakari Nondo Mwamnyeto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Yaani Tanzania hii ya Kiungo mbovu na Mrembua Macho muda wote Feisal Salum Fei Toto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Yaani Tanzania hii yenye Wachezaji wabovu kama akina Farid Mussa, Zawadi Mauya na Kibwana Shomary ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Tanzania itashinda tu ( na hata kuwa Bingwa wa AFCON 2023 ) kama tu Wachezaji 12 Wazawa wa Simba SC wataitwa kwani kwa Experience na Exposure Kubwa waliyonayo nina uhakika wa 100% kuwa Tanzania ( Taifa Stars ) itakuwa Bingwa kama ambavyo Simba SC nayo inaenda kuwa Bingwa wa CAFCC baadae mwaka huu wa 2022.
Yaani Tanzania hii ya Kiungo mbovu na Mrembua Macho muda wote Feisal Salum Fei Toto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Yaani Tanzania hii yenye Wachezaji wabovu kama akina Farid Mussa, Zawadi Mauya na Kibwana Shomary ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Tanzania itashinda tu ( na hata kuwa Bingwa wa AFCON 2023 ) kama tu Wachezaji 12 Wazawa wa Simba SC wataitwa kwani kwa Experience na Exposure Kubwa waliyonayo nina uhakika wa 100% kuwa Tanzania ( Taifa Stars ) itakuwa Bingwa kama ambavyo Simba SC nayo inaenda kuwa Bingwa wa CAFCC baadae mwaka huu wa 2022.