Umewaandaa?Wazawa wanashindwa nini kuwa bora kama hao wageni, kwanza wageni wameubadilisha sana mpira wetu hadi simba anaota kuingia nusu fainali na hatimaye achukue ubingwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewaandaa?Wazawa wanashindwa nini kuwa bora kama hao wageni, kwanza wageni wameubadilisha sana mpira wetu hadi simba anaota kuingia nusu fainali na hatimaye achukue ubingwa.
Wameandaliwa kuweza kucompete na hao wa nje? Sie tunawatamani hao wakigeni kwa sababu kwenye nchi zao wanaandaliwa vizuriAcha chuki za hovyo wageni ligi nzima hata hamsini hawafiki huku wazawa wapo zaidi ya mia tano halafu unalalamikia Simba na Yanga wangekuwa na viwango hao wazawa wako timu zao zingefanya vizuri kwenye ligi
Kujua kusoma na kuandika siyo kipimo cha kuwa na akili. Mazuzu wengi tu wanajua kusoma na kuandika.Yaani Tanzania hii ya Mabeki wabovu akina Dickson Job na Bakari Nondo Mwamnyeto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Yaani Tanzania hii ya Kiungo mbovu na Mrembua Macho muda wote Feisal Salum Fei Toto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Yaani Tanzania hii yenye Wachezaji wabovu kama akina Farid Mussa, Zawadi Mauya na Kibwana Shomary ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Tanzania itashinda tu ( na hata kuwa Bingwa wa AFCON 2023 ) kama tu Wachezaji 12 Wazawa wa Simba SC wataitwa kwani kwa Experience na Exposure Kubwa waliyonayo nina uhakika wa 100% kuwa Tanzania ( Taifa Stars ) itakuwa Bingwa kama ambavyo Simba SC nayo inaenda kuwa Bingwa wa CAFCC baadae mwaka huu wa 2022.
POPOMA ka POPOMA !!!Yaani Tanzania hii ya Mabeki wabovu akina Dickson Job na Bakari Nondo Mwamnyeto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Yaani Tanzania hii ya Kiungo mbovu na Mrembua Macho muda wote Feisal Salum Fei Toto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Yaani Tanzania hii yenye Wachezaji wabovu kama akina Farid Mussa, Zawadi Mauya na Kibwana Shomary ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Tanzania itashinda tu ( na hata kuwa Bingwa wa AFCON 2023 ) kama tu Wachezaji 12 Wazawa wa Simba SC wataitwa kwani kwa Experience na Exposure Kubwa waliyonayo nina uhakika wa 100% kuwa Tanzania ( Taifa Stars ) itakuwa Bingwa kama ambavyo Simba SC nayo inaenda kuwa Bingwa wa CAFCC baadae mwaka huu wa 2022.
Mamaee ahaaaaaYaani Tanzania hii ya Mabeki wabovu akina Dickson Job na Bakari Nondo Mwamnyeto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Yaani Tanzania hii ya Kiungo mbovu na Mrembua Macho muda wote Feisal Salum Fei Toto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Yaani Tanzania hii yenye Wachezaji wabovu kama akina Farid Mussa, Zawadi Mauya na Kibwana Shomary ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Tanzania itashinda tu ( na hata kuwa Bingwa wa AFCON 2023 ) kama tu Wachezaji 12 Wazawa wa Simba SC wataitwa kwani kwa Experience na Exposure Kubwa waliyonayo nina uhakika wa 100% kuwa Tanzania ( Taifa Stars ) itakuwa Bingwa kama ambavyo Simba SC nayo inaenda kuwa Bingwa wa CAFCC baadae mwaka huu wa 2022.
Li zezeta limepigwa za uso, majitu yenye mdomo mrefu kama chuchunge huwa yanapataga fedheha kwenye kila jambo yanayolipanga.Yaani Tanzania hii ya Mabeki wabovu akina Dickson Job na Bakari Nondo Mwamnyeto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Yaani Tanzania hii ya Kiungo mbovu na Mrembua Macho muda wote Feisal Salum Fei Toto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Yaani Tanzania hii yenye Wachezaji wabovu kama akina Farid Mussa, Zawadi Mauya na Kibwana Shomary ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Tanzania itashinda tu ( na hata kuwa Bingwa wa AFCON 2023 ) kama tu Wachezaji 12 Wazawa wa Simba SC wataitwa kwani kwa Experience na Exposure Kubwa waliyonayo nina uhakika wa 100% kuwa Tanzania ( Taifa Stars ) itakuwa Bingwa kama ambavyo Simba SC nayo inaenda kuwa Bingwa wa CAFCC baadae mwaka huu wa 2022.
Mwandiko ni ule ule wa mwandishi huyo huyo akitumia ID nyingine!! Huyu ni genta-nani vile? Ana uwezo wa kubadili ID lakini hana uwezo wa kubadili ladha na aina ya uandishi wake!!Yaani Tanzania hii ya Mabeki wabovu akina Dickson Job na Bakari Nondo Mwamnyeto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Yaani Tanzania hii ya Kiungo mbovu na Mrembua Macho muda wote Feisal Salum Fei Toto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Yaani Tanzania hii yenye Wachezaji wabovu kama akina Farid Mussa, Zawadi Mauya na Kibwana Shomary ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Tanzania itashinda tu ( na hata kuwa Bingwa wa AFCON 2023 ) kama tu Wachezaji 12 Wazawa wa Simba SC wataitwa kwani kwa Experience na Exposure Kubwa waliyonayo nina uhakika wa 100% kuwa Tanzania ( Taifa Stars ) itakuwa Bingwa kama ambavyo Simba SC nayo inaenda kuwa Bingwa wa CAFCC baadae mwaka huu wa 2022.
Ikawaje sasa?Yaani Tanzania hii ya Mabeki wabovu akina Dickson Job na Bakari Nondo Mwamnyeto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Yaani Tanzania hii ya Kiungo mbovu na Mrembua Macho muda wote Feisal Salum Fei Toto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Yaani Tanzania hii yenye Wachezaji wabovu kama akina Farid Mussa, Zawadi Mauya na Kibwana Shomary ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?
Tanzania itashinda tu ( na hata kuwa Bingwa wa AFCON 2023 ) kama tu Wachezaji 12 Wazawa wa Simba SC wataitwa kwani kwa Experience na Exposure Kubwa waliyonayo nina uhakika wa 100% kuwa Tanzania ( Taifa Stars ) itakuwa Bingwa kama ambavyo Simba SC nayo inaenda kuwa Bingwa wa CAFCC baadae mwaka huu wa 2022.
Aisee...Mpaka muda huu tumeshatoka kabla ya michuano kuanza