Baada ya kuliona Kundi letu F la Kufuzu AFCON 2023 lilivyo, nashauri tujiandae zaidi na lile la 2025 kwani kwa hili hatutoboi ng'o

Baada ya kuliona Kundi letu F la Kufuzu AFCON 2023 lilivyo, nashauri tujiandae zaidi na lile la 2025 kwani kwa hili hatutoboi ng'o

Acha chuki za hovyo wageni ligi nzima hata hamsini hawafiki huku wazawa wapo zaidi ya mia tano halafu unalalamikia Simba na Yanga wangekuwa na viwango hao wazawa wako timu zao zingefanya vizuri kwenye ligi
Wameandaliwa kuweza kucompete na hao wa nje? Sie tunawatamani hao wakigeni kwa sababu kwenye nchi zao wanaandaliwa vizuri
 
Yaani Tanzania hii ya Mabeki wabovu akina Dickson Job na Bakari Nondo Mwamnyeto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Yaani Tanzania hii ya Kiungo mbovu na Mrembua Macho muda wote Feisal Salum Fei Toto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Yaani Tanzania hii yenye Wachezaji wabovu kama akina Farid Mussa, Zawadi Mauya na Kibwana Shomary ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Tanzania itashinda tu ( na hata kuwa Bingwa wa AFCON 2023 ) kama tu Wachezaji 12 Wazawa wa Simba SC wataitwa kwani kwa Experience na Exposure Kubwa waliyonayo nina uhakika wa 100% kuwa Tanzania ( Taifa Stars ) itakuwa Bingwa kama ambavyo Simba SC nayo inaenda kuwa Bingwa wa CAFCC baadae mwaka huu wa 2022.
Kujua kusoma na kuandika siyo kipimo cha kuwa na akili. Mazuzu wengi tu wanajua kusoma na kuandika.
 
Yaani Tanzania hii ya Mabeki wabovu akina Dickson Job na Bakari Nondo Mwamnyeto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Yaani Tanzania hii ya Kiungo mbovu na Mrembua Macho muda wote Feisal Salum Fei Toto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Yaani Tanzania hii yenye Wachezaji wabovu kama akina Farid Mussa, Zawadi Mauya na Kibwana Shomary ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Tanzania itashinda tu ( na hata kuwa Bingwa wa AFCON 2023 ) kama tu Wachezaji 12 Wazawa wa Simba SC wataitwa kwani kwa Experience na Exposure Kubwa waliyonayo nina uhakika wa 100% kuwa Tanzania ( Taifa Stars ) itakuwa Bingwa kama ambavyo Simba SC nayo inaenda kuwa Bingwa wa CAFCC baadae mwaka huu wa 2022.
POPOMA ka POPOMA !!!
 
Yaani Tanzania hii ya Mabeki wabovu akina Dickson Job na Bakari Nondo Mwamnyeto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Yaani Tanzania hii ya Kiungo mbovu na Mrembua Macho muda wote Feisal Salum Fei Toto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Yaani Tanzania hii yenye Wachezaji wabovu kama akina Farid Mussa, Zawadi Mauya na Kibwana Shomary ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Tanzania itashinda tu ( na hata kuwa Bingwa wa AFCON 2023 ) kama tu Wachezaji 12 Wazawa wa Simba SC wataitwa kwani kwa Experience na Exposure Kubwa waliyonayo nina uhakika wa 100% kuwa Tanzania ( Taifa Stars ) itakuwa Bingwa kama ambavyo Simba SC nayo inaenda kuwa Bingwa wa CAFCC baadae mwaka huu wa 2022.
Mamaee ahaaaaa
 
Yaani Tanzania hii ya Mabeki wabovu akina Dickson Job na Bakari Nondo Mwamnyeto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Yaani Tanzania hii ya Kiungo mbovu na Mrembua Macho muda wote Feisal Salum Fei Toto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Yaani Tanzania hii yenye Wachezaji wabovu kama akina Farid Mussa, Zawadi Mauya na Kibwana Shomary ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Tanzania itashinda tu ( na hata kuwa Bingwa wa AFCON 2023 ) kama tu Wachezaji 12 Wazawa wa Simba SC wataitwa kwani kwa Experience na Exposure Kubwa waliyonayo nina uhakika wa 100% kuwa Tanzania ( Taifa Stars ) itakuwa Bingwa kama ambavyo Simba SC nayo inaenda kuwa Bingwa wa CAFCC baadae mwaka huu wa 2022.
Li zezeta limepigwa za uso, majitu yenye mdomo mrefu kama chuchunge huwa yanapataga fedheha kwenye kila jambo yanayolipanga.
 
Yaani Tanzania hii ya Mabeki wabovu akina Dickson Job na Bakari Nondo Mwamnyeto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Yaani Tanzania hii ya Kiungo mbovu na Mrembua Macho muda wote Feisal Salum Fei Toto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Yaani Tanzania hii yenye Wachezaji wabovu kama akina Farid Mussa, Zawadi Mauya na Kibwana Shomary ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Tanzania itashinda tu ( na hata kuwa Bingwa wa AFCON 2023 ) kama tu Wachezaji 12 Wazawa wa Simba SC wataitwa kwani kwa Experience na Exposure Kubwa waliyonayo nina uhakika wa 100% kuwa Tanzania ( Taifa Stars ) itakuwa Bingwa kama ambavyo Simba SC nayo inaenda kuwa Bingwa wa CAFCC baadae mwaka huu wa 2022.
Mwandiko ni ule ule wa mwandishi huyo huyo akitumia ID nyingine!! Huyu ni genta-nani vile? Ana uwezo wa kubadili ID lakini hana uwezo wa kubadili ladha na aina ya uandishi wake!!
 
Yaani Tanzania hii ya Mabeki wabovu akina Dickson Job na Bakari Nondo Mwamnyeto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Yaani Tanzania hii ya Kiungo mbovu na Mrembua Macho muda wote Feisal Salum Fei Toto ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Yaani Tanzania hii yenye Wachezaji wabovu kama akina Farid Mussa, Zawadi Mauya na Kibwana Shomary ndiyo iwafunge kweli Algeria, Uganda na Niger?

Tanzania itashinda tu ( na hata kuwa Bingwa wa AFCON 2023 ) kama tu Wachezaji 12 Wazawa wa Simba SC wataitwa kwani kwa Experience na Exposure Kubwa waliyonayo nina uhakika wa 100% kuwa Tanzania ( Taifa Stars ) itakuwa Bingwa kama ambavyo Simba SC nayo inaenda kuwa Bingwa wa CAFCC baadae mwaka huu wa 2022.
Ikawaje sasa?
 
Back
Top Bottom