Baada ya kumbamiza Mnamibia, Mwakinyo apanda chati za ubora duniani hadi namba 13

Baada ya kumbamiza Mnamibia, Mwakinyo apanda chati za ubora duniani hadi namba 13

Chaos Master

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2021
Posts
636
Reaction score
1,310
Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo amepanda rank na kuwa nafasi ya 13 katika Ubora wa Mabondia duniani katika uzito wake wa super welterweight.

Mwakinyo amepanda kutoka nafasi ya 24 aliyokuwa awali kabla ya kumpiga Bondia Julius Indongo wa Namibia kwa TKO round ya nne kwenye pambano la round 12 lililochezwa Ubungo Plaza September 3 2021

CC Ayo tv
 
wakati anahojiwa alisema "watanzania ruksa... tukutane mitandaoni" alijua

ila lazima WATANZANIA tujue kwamba boxing sio netball... maboxer wanatengenezwa na boxing ina siasa zake.

njia anayopita MWAKINYO ni njia sahihi kwenye siasa za boxing nyie pigeni kelele na DULA TU.
 
wakati anahojiwa alisema "watanzania ruksa... tukutane mitandaoni" alijua

ila lazima WATANZANIA tujue kwamba boxing sio netball... maboxer wanatengenezwa na boxing ina siasa zake.

njia anayopita MWAKINYO ni njia sahihi kwenye siasa za boxing nyie pigeni kelele na DULA TU.
Champez!! ⭐️ one time, na siasa za boxing Mwakinyo anazijua haswa na anajua kujenga brand yake na kuilinda pia
 
Apige na Kiduku hata pambano la kirafiki....kimyakimya tumjue bongwa halisi wa ndondi TZ

Ile inaitwa Boxing na sio Fighting...

Kama ni kutaka kujua mbabe wa taifa basi Kiduku apigane tu na mtu yoyote yule kwa kanuni za kimtaa...

Lakini kama ni boxing, mpiganaji aliye juu huwa ndiye muamuzi wa mapambano yake
 
Back
Top Bottom