Chaos Master
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 636
- 1,310
Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo amepanda rank na kuwa nafasi ya 13 katika Ubora wa Mabondia duniani katika uzito wake wa super welterweight.
Mwakinyo amepanda kutoka nafasi ya 24 aliyokuwa awali kabla ya kumpiga Bondia Julius Indongo wa Namibia kwa TKO round ya nne kwenye pambano la round 12 lililochezwa Ubungo Plaza September 3 2021
CC Ayo tv
Mwakinyo amepanda kutoka nafasi ya 24 aliyokuwa awali kabla ya kumpiga Bondia Julius Indongo wa Namibia kwa TKO round ya nne kwenye pambano la round 12 lililochezwa Ubungo Plaza September 3 2021
CC Ayo tv