pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Na kweli aisee,Hata akiwa namba 1 kiduku anamtaka aache janja janja
Sema jamaa anakimbia sana onaonekana anamuogopa kiduku huyu,
Janja janja nyiiingi wa tanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kweli aisee,Hata akiwa namba 1 kiduku anamtaka aache janja janja
Sasa atafute mapambano nje ya nchi tuone akipigana kwa majaji wasio wa nyumbani hali itakuwaje, atafute na mabondia wenye viwango na umri wao usiwe umeenda sana.
We ushawahi kuona Mayweather akipigana nje ya Marekani?!Sasa atafute mapambano nje ya nchi tuone akipigana kwa majaji wasio wa nyumbani hali itakuwaje, atafute na mabondia wenye viwango na umri wao usiwe umeenda sana.
Kwani aliejuu ya Kiduku ni Mwakinyo peke yake?!Kama anakataa kupigana na walio chini yake hata yeye asingeweza kupata pambano la kupigana na walio juu yake maana kama wangekuwa na mawazo kama yake wasingekuwa wanakubali kukipiga naye...
Wakata vimeo nyie saizi yenu ngumi za ngomani kugombea vicheche tu ndiyo uwezo wenu kwenye mikanda siyo mikato yenu kabisaaaaaKwani aliejuu ya Kiduku ni Mwakinyo peke yake?!
Ntazipataje hizo takwimu nami nijiridhishe!Mwakinyo ~13
Kiduku~113
Dulla Mbabe ~115
Ingia BoxRecNtazipataje hizo takwimu nami nijiridhishe!
Weka Chanzo plz
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwakinyo asijifiche kwenye professionalism ,tutamleta kimabavu stejini
Unajua huu mchezo wa ngumi sheria zake zinachanganya sana zinavyosimamiwa.Yes kama Ikiwezekana siku moja hata kushindania WBC na WBO acha kuchukua kufikia level tu za kugombania tuheshimiwe na sisi
Ina mantiki I support you.Kama anakataa kupigana na walio chini yake hata yeye asingeweza kupata pambano la kupigana na walio juu yake maana kama wangekuwa na mawazo kama yake wasingekuwa wanakubali kukipiga naye...