Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Maisha buana MUNGU Endelea kunipa moyo huu wa kulidhika na nachokipata na nisije kuishi maisha ya kuingiza kama ya wasanii wa Tanzania ambao wana njaa kali
 
Sana....kama unalimiliki limariooo hiyo mwanamke ni aibu yako na siri yako!

Unakuja kutangaza insta ili iweje? Yy anafikiri anamdhalilisha Kilewo kumbe yy ndo liaibu lake milele!
Unajua kuna muda elimu ina umuhimu wake sana.....binafsi nimeona aibu yani mambo ya familia yake anatangaza kwenye public!!! It's a shame
 
Thread nyingi za wanawake humu JF zinaakisi maisha ya akina J.....ila leo 99% watamponda J
Hii issue imeshafanywa kuwa ya kisiasa ndio maana anapondwa kwa kuwa inamuhusu kamanda, ingekuwa muhusika ni kutoka upande wa pili karibu wote wangekuwa upande wa Joy.
 
Wanawake ambao awako kwenye ndoa uwa ni wakosoaji wa kiwango cha ujinga

Ujinga ni nini?
Ujinga ni pale unajifanya mkosoaji kwenye ndoa za watu huku wewe mwenyewe hata barua ya posa unaiona kwenye movie za kikorea
Wewe una ndoa una nini? Huna hata robo ya maisha yangu
 
Hovyo sana...kulipa kodi ndio anajiona sijui nn..mpk umdhalilishe mwenzio tena wa ndoa.alivyoapa kwa shida na raha ...alidhan maigizo..wkt anapewa good tym mbona hakusema..pumbavu...angejua kwenye uvumiliv kuna mbivu asingejochoresha...mwanamke unatakiwa uwe na stara...mstiri mumeo na shida zake.hajui huyo ni baba wa wanae...na iko kipigo kakipata sababu ya dharau...ukiishi na mwenzio vzr kipigo utakisikia...
 
Ukijichanganya ukakosea kuoa/kuolewa na ukakosa ujasiri wa kupiga chini basi jiandae kua na maisha ya ovyo mpaka unalamba mchanga.
Mwamba alikosea kuoa uyu mchumia tumbo maana ndoto za mwanamke ni tofauti na hustle za mshikaji ki-ukweli uyu mwanamke tamaa yake ni kua mkubwa na maarufu kwa njia yoyote yaani anatamani angekua mke wa Mengi ivi ili tu awakomeshe wenzie ila ndio ivyo tena Mungu sio Kileo
 
Yaan mimi nimpige mke wangu akaanike mtandaoni..nampiga tena na tena..akipost napiga tena..akipost napiga tena,akipost napiga tena..mpaka akili imkae sawa atakua kashanyooka
mario tunawajua nyie, hamna lolote, manenoo meeengi ukiwa huku ukifika home utafikiri umenyeshewa na mvua, mxiuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…