boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 6,287
- 4,738
Unajua kuna muda elimu ina umuhimu wake sana.....binafsi nimeona aibu yani mambo ya familia yake anatangaza kwenye public!!! It's a shameSana....kama unalimiliki limariooo hiyo mwanamke ni aibu yako na siri yako!
Unakuja kutangaza insta ili iweje? Yy anafikiri anamdhalilisha Kilewo kumbe yy ndo liaibu lake milele!
Hats kama siyo mhaya, say ni mmasai au mpare kwa katerero response yao huwa ni nzuri sana, believe me.Ni kweli mkuu. Ila kama ni Muhaya anapigwa katerero
Sasa nawewe utaachaje kumpiga Mwanamke?Kuna wanawake bila ya kumnasa kibao atamtukana hadi mama yako
Yap! Hana akili kabisaSasa kama hatakii kushauriwa nini ilikuwa lengo lake kutuwekea video.. Angekaa nayo ndani tu
UmehitMwanamke ameumbiwa "Haya", hii ndio Sifa kuu ya Mwanamke bora, kukosa haya hakufanyi usiwe Mwanamke, lahasha! Ila unakuwa bora Mwanamke!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]Sasa nawewe utaachaje kumpiga Mwanamke?
Mweke at least Ngeu 2 kwa mwaka ili asijisahau...[emoji12]
Hii issue imeshafanywa kuwa ya kisiasa ndio maana anapondwa kwa kuwa inamuhusu kamanda, ingekuwa muhusika ni kutoka upande wa pili karibu wote wangekuwa upande wa Joy.Thread nyingi za wanawake humu JF zinaakisi maisha ya akina J.....ila leo 99% watamponda J
Wewe una ndoa una nini? Huna hata robo ya maisha yanguWanawake ambao awako kwenye ndoa uwa ni wakosoaji wa kiwango cha ujinga
Ujinga ni nini?
Ujinga ni pale unajifanya mkosoaji kwenye ndoa za watu huku wewe mwenyewe hata barua ya posa unaiona kwenye movie za kikorea
Mwanamke wa kichaga huyu...wanakuwaga jeuri ...halafi huyu ANATAKA PESA...wakifulia anawadiss[emoji12] [emoji12]She is stubborn in nature,alimsema dj Nelly hivyo hivyo ,now anamsema tena mmewe wa sasa kuna kitu huyu dada kimepita pembeni
Ndio maana[emoji57] [emoji57] [emoji57]Huyo Joyce Kiria ni zaidi ya Mmachame kwa Ukatili na Kiburi.
Inawezekana kabisa ni mpuuzi( samahani kwa ilo)Mwanamke wa kichaga huyu...wanakuwaga jeuri ...halafi huyu ANATAKA PESA...wakifulia anawadiss[emoji12] [emoji12]
mario tunawajua nyie, hamna lolote, manenoo meeengi ukiwa huku ukifika home utafikiri umenyeshewa na mvua, mxiuuuYaan mimi nimpige mke wangu akaanike mtandaoni..nampiga tena na tena..akipost napiga tena..akipost napiga tena,akipost napiga tena..mpaka akili imkae sawa atakua kashanyooka