Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Sasa hivi mimi ndiye nalipa kodi ya nyumba.

Sasa hivi??? Sio siku zote sio. Maisha yanachangamoto zake kama baba unaweza kuset mipango yako kama binadamu zikayumba kwanini mke usishike kwa muda mme alipoyumba?

Wanawake huwa mnatulaumu kuendelea kushikilia ujadi na umfumo dume, ajabu ni kuwa huwa mnausapoti saana mfumo dume kuliko sisi tufanyavyo.. ukizingatia kauli za Mwanaharakati mkubwa wa wanawake nchini.

kuna kukosa, kuna kufeli kwa mipango. Biashara zangu zikifeli kwa miezi sita kama unamshahara hauwezi kucover penye mapungufu?

Halafu kwenye ndoa hii kauli ya umimi inatoka wapi. Kwenye ndoa hakuna mimi napeleka watoto shule, mimi nalisha familia..likifanyika ni la familia.
 
Wanawake wapumbavu sana mkiambiwa mkae tu nyumbani hamtaki mnataka na nyinyi muwe watafutaji, mkizipata kidogo mnaleta nyodo, mae sana. Ngoja wife anipikie na kunifulia tu, ngoja nitafute mwenyewe mapene
 
Na dj nelly inasemekana pia alikua anamtia mambata nadhan uyu binti ni tatizo sana alaf ndio mshaur wa dada zetu bomboclat
 
Mimi kusema mwanamke.asipigwe hilo tutawaonea wanaume huwezi jua alikua anaongea nini au ni dharau gani anazomuonyesha. Mwanaume yamemfika shingoni ndo maana akampa kipigo acha apigike. Kweli sisi wanawake jamani sasa ndo nini kuongea public vitu hivyo?? Wanawake wa dizaini hii wanafanya tusiaminike wengine wenye akili zetu kwa waume zetu.
 
Binafsi sijawahi kumkubali Joyce Kiria kiviile japo ana mambo ambayo huwa anafanya yana positive impact kwa jamii ila kuna mahali huwa anajichanganya sana hadi mtu unajiuliza huyu mama vipi?!

Jana kapewa kichapo kitakatifu na mume wake, yule jamaa handsome sana nadhani yule mwanamke alimpush to the limit.

Anadai eti yeye mwanamke ndo analipa bills zote za familia hadi kodi ya nyumba. Sasa nimetafakari japo mimi huwa sijali mambo ya watu, huyu mwanamke anaishi nyumba ya kupanga Mbezi Beach tena ghorofa(Mimi nilidhani nyumba yao)

Anaishi maisha ya juu sana, je hasara kwa nani? Acha alipishwe mwenyewe hizo bills.

Na nyie wanaume unaishije nyumbani hata sabuni hununui jamani? Kweli? Acheni hizo makamanda!

Ndo maana mimi sipendi wanaume wa CHADEMA bora wazee wa Lumumba buku saba daily sio mbaya.

VIdeo akimchamba mume asiyelipa hata kodi ya nyumba


Huyu mwanamke hafai hata kuitwa mpenzi wa fulani, huko kuwa mke ni kumpa hadhi asiyostahiki.


Hivi ndo alivyofundishwa kutoa siri za ndani akiwa anaandaliwa mke?
 
Binafsi sijawahi kumkubali Joyce Kiria kiviile japo ana mambo ambayo huwa anafanya yana positive impact kwa jamii ila kuna mahali huwa anajichanganya sana hadi mtu unajiuliza huyu mama vipi?!

Jana kapewa kichapo kitakatifu na mume wake, yule jamaa handsome sana nadhani yule mwanamke alimpush to the limit.

Anadai eti yeye mwanamke ndo analipa bills zote za familia hadi kodi ya nyumba. Sasa nimetafakari japo mimi huwa sijali mambo ya watu, huyu mwanamke anaishi nyumba ya kupanga Mbezi Beach tena ghorofa(Mimi nilidhani nyumba yao)

Anaishi maisha ya juu sana, je hasara kwa nani? Acha alipishwe mwenyewe hizo bills.

Na nyie wanaume unaishije nyumbani hata sabuni hununui jamani? Kweli? Acheni hizo makamanda!

Ndo maana mimi sipendi wanaume wa CHADEMA bora wazee wa Lumumba buku saba daily sio mbaya.

VIdeo akimchamba mume asiyelipa hata kodi ya nyumba


Wanawake ambao awako kwenye ndoa uwa ni wakosoaji wa kiwango cha ujinga

Ujinga ni nini?
Ujinga ni pale unajifanya mkosoaji kwenye ndoa za watu huku wewe mwenyewe hata barua ya posa unaiona kwenye movie za kikorea
 
Baada ya Kupost Video yake Kwenye mtandao wa Kijamii Instagram , kulalamika anapigwa na mumewe wakati yeye Ndio anasimamia kila kitu ndani ya nyumba mpaka kodi ya nyumba wanayoishi analipa yeye.

Wadau mbalimbali waliotoa mtazamo wao kwa alichokifanya Ila mwanaharakati huyu wa wanawake alisema Hataki ushaur wa namna yoyote ile.

Nb
**Kama hawa Ndio mfano wa aina ya wanaharakati tulionao wanawake, Basi wanawake tunasafari ndefu Sana.

View attachment 681349
Huyo Joyce Kiria ni zaidi ya Mmachame kwa Ukatili na Kiburi.
 
Mwanaume habadilishwi kwa malalamiko ya mitandaon yeye Kama anaona Maisha yameshabadilika angeomba talaka baada ya hapo yeye Kama mwanaharakati angetoa Hiyo video ya blah blah zake kuwashaur wanawake wasikae Kwenye ndoa za mateso wafanye maamuzi magumu .

Hivi kila mwanamke akiaza kujirecord nakutupia matatizo yake na mume wake kwenye mitandao si patakuwa hapatoshi.
Yaani hanaga akili huyo.
 
Back
Top Bottom