Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume habadilishwi kwa malalamiko ya mitandaon yeye Kama anaona Maisha yameshabadilika angeomba talaka baada ya hapo yeye Kama mwanaharakati angetoa Hiyo video ya blah blah zake kuwashaur wanawake wasikae Kwenye ndoa za mateso wafanye maamuzi magumu .
Hivi kila mwanamke akiaza kujirecord nakutupia matatizo yake na mume wake kwenye mitandao si patakuwa hapatoshi.
Amshauri nani sasa wakati mhusika hataki ushauri?Beef Lasagna kama sijakuelewa shogangu!
hebu toa ushauri kwanza ulitaka afanyeje
Njoo hapanajua bas shogangu alichotupia! ohh umesema kweli !so alitupia vidoe gan! pole yake zaid zaidi HONGERA YAKE
Ndoa yao ilifungwa CHADEMA? Mijitu mingine bwana?Apigwe aumizwe akae kimya, kwasbabu aliyempiga ni mchaga na katibu wa CHADEMA.
Halafu nashangaa haombi talaka Kama anavyoshaur .au ampeleki Mahakaman huyo mume wake kwa Kosa la kumpiga kama alivyokuwa anashupalia waume wa wenzake.Inasikitisha sana...
Huyu mwanamke ana mambo mengi sana ya ajabu...
Na anapotosha sana wanawake wenzake wakati ya kwake yanamshinda...
Cc: mahondaw
Mwanamme unasaidiwa majukumu yote na mwanamke na bado unamdunda?Apigwe aumizwe akae kimya, kwasbabu aliyempiga ni mchaga na katibu wa CHADEMA.
Anataka sympath na attention.Sasa kama hatakii kushauriwa nini ilikuwa lengo lake kutuwekea video.. Angekaa nayo ndani tu
Labda attention Hiyo nyingine Sidhani kama ataipata.Anataka sympath na attention.
Sio wote Mkuu Sema baadhi ya......Kupapaswa kidogo tu kwa vibao kelele nyiiingi,je akipigwa itakuwaje? Wanawake ni viumbe wa ajabu sana,akimzidi mumewe kipato tu basi inakuwa nongwa,kwani Joyce hana wajibu wa kuitunza familia yake ikiwa ni pamoja na kulipa kodi ya nyumba? Yeye apambane na hali yake kwa kumtunza huyo KARAI kula kulala wake...!!!