Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Mwanaume habadilishwi kwa malalamiko ya mitandaon yeye Kama anaona Maisha yameshabadilika angeomba talaka baada ya hapo yeye Kama mwanaharakati angetoa Hiyo video ya blah blah zake kuwashaur wanawake wasikae Kwenye ndoa za mateso wafanye maamuzi magumu .

Hivi kila mwanamke akiaza kujirecord nakutupia matatizo yake na mume wake kwenye mitandao si patakuwa hapatoshi.

najua bas shogangu alichotupia! ohh umesema kweli !so alitupia vidoe gan! pole yake zaid zaidi HONGERA YAKE
 
Kabla hujaoa jitahidi sana kumchunguza mtu unayeenda kufunga nae ndoa.

Siku moja mzee wa upako alisema hawa wanawake wanaojifanya wanaharakati wa kupigania haki za kina mama hawafai kabisa,tena nakumbuka alikuwa katika mahojiano na huyu Joyce!

Hii ni hasara!
 
Inasikitisha sana...

Huyu mwanamke ana mambo mengi sana ya ajabu...

Na anapotosha sana wanawake wenzake wakati ya kwake yanamshinda...


Cc: mahondaw
Halafu nashangaa haombi talaka Kama anavyoshaur .au ampeleki Mahakaman huyo mume wake kwa Kosa la kumpiga kama alivyokuwa anashupalia waume wa wenzake.
 
Kupapaswa kidogo tu kwa vibao kelele nyiiingi,je akipigwa itakuwaje? Wanawake ni viumbe wa ajabu sana,akimzidi mumewe kipato tu basi inakuwa nongwa,kwani Joyce hana wajibu wa kuitunza familia yake ikiwa ni pamoja na kulipa kodi ya nyumba? Yeye apambane na hali yake kwa kumtunza huyo KARAI kula kulala wake...!!!
 
Kupapaswa kidogo tu kwa vibao kelele nyiiingi,je akipigwa itakuwaje? Wanawake ni viumbe wa ajabu sana,akimzidi mumewe kipato tu basi inakuwa nongwa,kwani Joyce hana wajibu wa kuitunza familia yake ikiwa ni pamoja na kulipa kodi ya nyumba? Yeye apambane na hali yake kwa kumtunza huyo KARAI kula kulala wake...!!!
Sio wote Mkuu Sema baadhi ya......
 
Back
Top Bottom