Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wetu wakiafrika malimbukeni sana tatizo wameshakariri wao nikufanyiwa kila kitu,ikitokea Kamnunulia mwanaume hata Vocha tu ya simu basi atatangaza Afrika Mashariki yote na kati.Mnakera sana!Mie naona anajifariji tu hapo ila ujinga aliusababisha mwenyewe tangia mwanzo kwa kujipachika majukumu ambayo kwa upande mwingine wangeweza kuwa wanasaidiana.
Pia nampa pole sana sababu kama ni kweli analipa hadi kodi ya nyumba ni hela nyingi sana ambayo ameshaipoteza.
Ila wanaume na nyie hebu jifunzeni kusimama kama wanaume basi. Khaaa.
Le mutuz analala kwenye noah yake.Wazee wa Lumumba ndio hao wa kina Le Mutuz ambao wana vinukta...
Sijambo mwenza miss u[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwenza nakusabahi.
Hakuna kosa kubwa sanaa kama Mwanaume umwachie Mwanamke afanye majukumu yako ujue mkija gombana lazima aliseme hilo. Wanaume tujitahiji tutimize majukumu yetu japo wanawake huwa wanapenda maisha ya juu sanaa zaidi ya uwezo wenu.
Pamoja na hayo tunawapenda hivyohivyoWatoto wa kike kuweni makini makamanda wanapiga, makamanda hawalipi kodi makamanda ni akina Marioooooo ukiona kijamaa kinajiita kamanda kinatanuatanua vidole [HASHTAG]#VUNJA[/HASHTAG] [HASHTAG]#MAZOEA[/HASHTAG] Fukuza ukaribu ni mzigo katika maisha yako Kimeta kanivunja mbavu.
Hapo ndipo umuhimu wa shule unapojidhihirishaUkiamua kuishi na mtu basi uvumilie kwelikweli.
Wakati anakubali kuolewa alikuwa hajui kama huyo mumewe hawezi kulipa bills?! Na kama huyo mwanaume hafai kwann haachani nae atafute mwingine wa kulipa bills.
Wakati huyo jamaa anagombania ubunge mbona alikuwa hasemi haya yote sifa zilikuwa kedekede nw ndio jamaa kawa mbaya. Huyu kweli bado ana akili ya kibeki 3
Hatariiiibora nukta kuliko kulipa bill mwaka mzima mkuu? unaweza kukuta umetiwa hata na muuza genge siku watoto wamekosa chakula
Binafsi sijawahi kumkubali Joyce Kiria kiviile japo ana mambo ambayo huwa anafanya yana positive impact kwa jamii ila kuna mahali huwa anajichanganya sana hadi mtu unajiuliza huyu mama vipi?!
Jana kapewa kichapo kitakatifu na mume wake, yule jamaa handsome sana nadhani yule mwanamke alimpush to the limit.
Anadai eti yeye mwanamke ndo analipa bills zote za familia hadi kodi ya nyumba. Sasa nimetafakari japo mimi huwa sijali mambo ya watu, huyu mwanamke anaishi nyumba ya kupanga Mbezi Beach tena ghorofa(Mimi nilidhani nyumba yao)
Anaishi maisha ya juu sana, je hasara kwa nani? Acha alipishwe mwenyewe hizo bills.
Na nyie wanaume unaishije nyumbani hata sabuni hununui jamani? Kweli? Acheni hizo makamanda!
Ndo maana mimi sipendi wanaume wa CHADEMA bora wazee wa Lumumba buku saba daily sio mbaya.
VIdeo akimchamba mume asiyelipa hata kodi ya nyumba
Tena wanakamua kweli kweli hadi wanawasahau waume zaoMuuza genge wewe unamchukuliaje? Dharau
Yule kwa kumuangalia na kusikiliza maongezi yake, utabaini kuwa yule ni Mshenzi wa Tabia!!!Dada kajidhalilisha sana asee