Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeelezea kama vile wewe ndio mume, unaongelea maisha yao ya ndani kabisa. Hebu sema vizuri basi[emoji85] [emoji85] [emoji85]espy bwana weee tumejibishana kwa hoja sasa naona unaenda kunipa wadhifa wa kamanda.
Matatizo hayo yapo siyo kwa K & J tuu.
Kuna best yangu aliowa mwanamke kwao kuna ghorofa alikataa kuishi sinza mpk wakaenda kuishi kwa ndugu kwa muda weee acha tuu.
Tunachoongea kinaeleza Maisha ya watu wengine pia.Hata ukifumba macho unaweza kuna ndoa yako kidogo inapita mistari Fulani kupitia nyuzi za humu mama.
espy relux na tudiscuss hoja My ok
Word...Thread nyingi za wanawake humu JF zinaakisi maisha ya akina J.....ila leo 99% watamponda J
HV una uhakika hayupo kwenye payroll? Haya mambo msipende kusikiliza upande mmoja mkaanza kufanya conclusion.mimi sishangai sana Joyce kupigwa..
nashangaa sana kamanda mkubwa wa chadema... kukosekana kwenye payroll ya chadema.. je kina nani wapo kwenye payroll kama kamanda mkubwa kama mume wa joyce hayupo...
Joyce alisherehekea Talaka na Dj nelly ambaye ndie aliemtoa kwenye u house girl....
so sishangai hata akimtukana mumewe mpya... na alivyo na bahati akiachika tu anaolewa tena.. huku kuna wanawake walifunga na kusali na ndoa hawajaipata maishani mwao yote
U are narudia tena U are one in a million..Hongera sana Joyce kwa kuanika your dirty laundry out in the open for every one to see. Job well done.
Asante mkuuU are narudia tena U are one in a million..
U are so smart..
Comment yako imeakisi how smart you are, your Man amepata mke smart sanah inabid awe proud
Kutafunwa ni hulka tu ya MTU kwani wake za watu wote tunaowagegeda unadhani wanaNjaa? sema huyo JOY akili yake anaijua mwenyewe alidhani kuishi na MwanaSiasa wa Upinzani kwa Africa ni Kazi ndogo?bora nukta kuliko kulipa bill mwaka mzima mkuu? unaweza kukuta umetiwa hata na muuza genge siku watoto wamekosa chakula
...na hao wazazi shida zikiwakuta waende wapiKunaitajika amendment kidogo kwenye mume/mke kwenye shida na raha napendekeza iwe kwenye raha tu shida kila mtu ana wazazi au mlezi ake aende na akaendelee na maisha yake mpk raha kwa pamoja irudi ndipo ndoa irudi
Unahakika kwamba mume wa wake hajishughulishi?unapozungumzia shida au raha unamaanisha nini? yaani uache majukumu yako useme una shida? mwanaume unapoacha kujishughulisha na huku una nguvu wewe ni mzigo kwa jamii.fine mkeo atakuvumilia .je watoto? au wazazi wako na ndugu kama wapo. usijiangalie mwenyewe mkuu.shida zipo mkuu kama ugonjwa ,ulemavu ,kifungo etc ila kama una nguvu pambana .
50/50Mie naona anajifariji tu hapo ila ujinga aliusababisha mwenyewe tangia mwanzo kwa kujipachika majukumu ambayo kwa upande mwingine wangeweza kuwa wanasaidiana.
Pia nampa pole sana sababu kama ni kweli analipa hadi kodi ya nyumba ni hela nyingi sana ambayo ameshaipoteza.
Ila wanaume na nyie hebu jifunzeni kusimama kama wanaume basi. Khaaa.
Wanapenda Maisha yakufikirika....hivi unapangishaje ghorofa la millioni kadhaa? bora nipange chumba kimoja nijenge hata mbagala huko.wadada wa mjini wana mashow off sana .kumbe wanateketea kwa ndani
Ukiona mwanamke anaongea ujinga kwamba sijui analipa Kodi ujue anashindwa kutamka tu kwamba kunaHuyo mdada ni punguani mbona wakati kamanda analipa hzo bills hakua anakuja kutangaza kwenye mitandao, ktu wasichokijua wanawake ni kwamba kuna siku mmeo ataishiwa na hiko ndo kipimo cha upendo.. Sasa kuja kumuanika kwenye mitandao ndo nin, akina dada wa sku hz sjui akili zao zipo wapi,
Wakat nakua nakumbuka mdingi aliyumba almost 2 years bi mkubwa anaamka saa 11 anachoma maandazi, saa 2 anachoma chapati naomba hela ya shule napewa na bi mkubwa, for 2 years, lakin hawa wa sasa hv ukikosa hela week tu utatombewa had na wauza karanga za sh. 50.
ni kweliBila wanawake dunia yani kungekua na ixo uduma zenu alaf zina zaa wanaume wote duniani wangekua matajir kwa akili yako ya kusema kulelewa na si kwel nyie mnapenda kupewa muda mwingi kuliko kuacha muda mwingi wa kutafuta ndo mana unataka kiben ili ukae nae muda wote tu anakubembeleza na mavitu kibao xikikata mnaanza kulia eti unamlea bila kujali muda wake aliopoteza kuwa na we karibu si angekua anatafuta maisha yake
huenda hujakoseaHujitambuwi