Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

espy bwana weee tumejibishana kwa hoja sasa naona unaenda kunipa wadhifa wa kamanda.
Matatizo hayo yapo siyo kwa K & J tuu.
Kuna best yangu aliowa mwanamke kwao kuna ghorofa alikataa kuishi sinza mpk wakaenda kuishi kwa ndugu kwa muda weee acha tuu.
Tunachoongea kinaeleza Maisha ya watu wengine pia.Hata ukifumba macho unaweza kuna ndoa yako kidogo inapita mistari Fulani kupitia nyuzi za humu mama.
espy relux na tudiscuss hoja My ok
Umeelezea kama vile wewe ndio mume, unaongelea maisha yao ya ndani kabisa. Hebu sema vizuri basi[emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Kwann asishirikiane kumnyanyua mumuwe kwa kufanya jambo la pamoja..instead ya kuja kumwanika kwa public...watoke kwenye gorofa wapange nyumba ya wastn wasev pesa nyngne waekeze pamoja kwenye mirad huko kuliko kupiga kelele kama mbwa koko
 
mimi sishangai sana Joyce kupigwa..

nashangaa sana kamanda mkubwa wa chadema... kukosekana kwenye payroll ya chadema.. je kina nani wapo kwenye payroll kama kamanda mkubwa kama mume wa joyce hayupo...

Joyce alisherehekea Talaka na Dj nelly ambaye ndie aliemtoa kwenye u house girl....

so sishangai hata akimtukana mumewe mpya... na alivyo na bahati akiachika tu anaolewa tena.. huku kuna wanawake walifunga na kusali na ndoa hawajaipata maishani mwao yote
HV una uhakika hayupo kwenye payroll? Haya mambo msipende kusikiliza upande mmoja mkaanza kufanya conclusion.
Inawezekana analipwa lkn kutokana na mwanamke kutaka makubwa mume ana shindwa kukidhi mahitaji.
 
bora nukta kuliko kulipa bill mwaka mzima mkuu? unaweza kukuta umetiwa hata na muuza genge siku watoto wamekosa chakula
Kutafunwa ni hulka tu ya MTU kwani wake za watu wote tunaowagegeda unadhani wanaNjaa? sema huyo JOY akili yake anaijua mwenyewe alidhani kuishi na MwanaSiasa wa Upinzani kwa Africa ni Kazi ndogo?
 
Kunaitajika amendment kidogo kwenye mume/mke kwenye shida na raha napendekeza iwe kwenye raha tu shida kila mtu ana wazazi au mlezi ake aende na akaendelee na maisha yake mpk raha kwa pamoja irudi ndipo ndoa irudi
...na hao wazazi shida zikiwakuta waende wapi
 
unapozungumzia shida au raha unamaanisha nini? yaani uache majukumu yako useme una shida? mwanaume unapoacha kujishughulisha na huku una nguvu wewe ni mzigo kwa jamii.fine mkeo atakuvumilia .je watoto? au wazazi wako na ndugu kama wapo. usijiangalie mwenyewe mkuu.shida zipo mkuu kama ugonjwa ,ulemavu ,kifungo etc ila kama una nguvu pambana .
Unahakika kwamba mume wa wake hajishughulishi?
 
Kwani mkiishi maisha ya kawaida kuna tatizo gani?Huo ufahari mnakuwa mnautaka kumfurahisha nani?Mimi sijaoa,ila nikija kuoa mwanamke wa kuanika mambo yetu hadharani,nadhani talaka itamuhusu.MTOA MADA,UMENIFANYA NIMKUMBUKE MFALME SOLOMONI,MWANA WA MFALME DAUDI,AMBAE LICHA YA KUPEWA HEKIMA ISIYO NA KIFANI NA MWENYEZI MUNGU,NA KUPEWA UTAJIRI AMBAO,HATA WAFALME WOTE WA ISRAELI PAMOJA NA WATAWALA WOTE WA DUNIA HII HAWAJAWAHI KUFIKIA UTAJIRI WAKE.ALIPOIACHA NJIA YA MUNGU,ALISONONEKA SANA.NA AKAGUNDUA KUWA KUMBE KWA KUFANYA MAMBO KWA UTASHI WAKE.VYOTE ALIVYOKUWA NAVYO VILIKUWA NI UBATILI MTUPU.WAPENDWA,NI VYEMA KUMSHIRIKISHA MWENYEZI MUNGU KATIKA KILA JAMBO TULIFANYALO.NDIO MAANA WAZUNGU HUSEMA,THINK TWICE EVEN THRICE.VINGINEVYO NI KUJIDHALILISHA KIJINGA KABISA.ALUTA CONTINUA!
 
Mie naona anajifariji tu hapo ila ujinga aliusababisha mwenyewe tangia mwanzo kwa kujipachika majukumu ambayo kwa upande mwingine wangeweza kuwa wanasaidiana.

Pia nampa pole sana sababu kama ni kweli analipa hadi kodi ya nyumba ni hela nyingi sana ambayo ameshaipoteza.

Ila wanaume na nyie hebu jifunzeni kusimama kama wanaume basi. Khaaa.
50/50
 
Wanawake kama hawa,ni rahisi sana kucheat,ili kutimiza haja na matakwa yao.Its so so so stupidity and shamefull!
 
hivi unapangishaje ghorofa la millioni kadhaa? bora nipange chumba kimoja nijenge hata mbagala huko.wadada wa mjini wana mashow off sana .kumbe wanateketea kwa ndani
Wanapenda Maisha yakufikirika....
 
Huyo mdada ni punguani mbona wakati kamanda analipa hzo bills hakua anakuja kutangaza kwenye mitandao, ktu wasichokijua wanawake ni kwamba kuna siku mmeo ataishiwa na hiko ndo kipimo cha upendo.. Sasa kuja kumuanika kwenye mitandao ndo nin, akina dada wa sku hz sjui akili zao zipo wapi,


Wakat nakua nakumbuka mdingi aliyumba almost 2 years bi mkubwa anaamka saa 11 anachoma maandazi, saa 2 anachoma chapati naomba hela ya shule napewa na bi mkubwa, for 2 years, lakin hawa wa sasa hv ukikosa hela week tu utatombewa had na wauza karanga za sh. 50.
Ukiona mwanamke anaongea ujinga kwamba sijui analipa Kodi ujue anashindwa kutamka tu kwamba kuna
Jamaa amgegeda nandie anaelipa hiyo Kodi ndio maana tunawaambia Vijana watafute HELA...sababu Mwanamke hata akiwa na HELA kama BOT wewe ukiwa na Elf50 basi yako itakuwa na Thamani sana kuliko maBILION yake kupitia hii naamini vijana watajifunza
 
Bila wanawake dunia yani kungekua na ixo uduma zenu alaf zina zaa wanaume wote duniani wangekua matajir kwa akili yako ya kusema kulelewa na si kwel nyie mnapenda kupewa muda mwingi kuliko kuacha muda mwingi wa kutafuta ndo mana unataka kiben ili ukae nae muda wote tu anakubembeleza na mavitu kibao xikikata mnaanza kulia eti unamlea bila kujali muda wake aliopoteza kuwa na we karibu si angekua anatafuta maisha yake
ni kweli
 
Back
Top Bottom